David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

ameamua kurudi kwa babaye!ni baada ya tabu na njaa nzito!!

karibu sana mheshimiwa!

ila umesajiriwa kipindi kigumuu!ambacho unatakiwa kuonesha kuwa kukusajiri hatujalamba galasa!
[HASHTAG]#freemaxmello[/HASHTAG] and [HASHTAG]#Glema[/HASHTAG],
[HASHTAG]#searchng4ben[/HASHTAG]!
 
Vipi tena?,au hakupata kuungwa mkono na mwenyekiti wake wakati wa kesi yake?..
 
Jamani vip tena kwani dirisha dogo la usajili halijafungwa bado?
Wanasema ukawa ni kitu kimoja huku wanachukuliana wachezaji
 
Amerekebisha kile walichumtimulia kipindi kile?

------------
Alisema (Kafulila) kwenye Majira Nov 8 na Mwananchi Nov 9 kuwa Mbowe na Dr Slaa wamefanya kikao kisicho rasmi cha Gheto huko Dodoma na kufikia maamuzi ya kumvua uanachama. Akaitwa na sekretariati ya chama kuhojiwa akakiri kwamba kweli amesema maneno hayo. Akaambiwa athibitishe kuwa kikao cha Dodoma kilijadili kumfukuza uanachama akasema hana ushahidi wowote ila ameelezwa maneno hayo na waandishi wa habari. Akaambiwa akanushe maneno yake, akakataa. Akaambiwa aombe msamaha, akakataa. Uteuzi wake ukatenguliwa kutokana na kukiuka maadili ya chama kifungu cha 10 kinachokataza viongozi kutoa siri za chama, kuzingatia mipaka ya kimamlaka katika kutoa kauli za chama, kuepuka kuwatuhumu viongozi wengine hadharani bila kupitia vikao halali vya chama na kuacha kutoa tuhuma za uongo

serayamajimbo
David Kafulila ajivua uanachama CHADEMA
 
Mume wa tulia ni mkurugenzi mkubwa sio jobless anayetegemea mkewe alipwe posho za vikao vya bungeni halafu alete wakanunue unga nusu kilo na robo na fungu LA mchicha wale
Kumbe da tulia ana mume du ila sisi wanaume tuna huruma sana
 
Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema
Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema.

Kafulila alithibitisha taarifa hizo na kusema tayari ameshawasilisha barua ya kujivua uanachama wa NCCR na kujiunga Chadema leo.

“Nimewashukuru kwa kuwa pamoja katika kujenga chama na nafasi ya uenezi waliyonipa mara zote. Nimeweka wazi kuwa natarajia kujiunga na Chadema. Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.” alisema

View attachment 446944

SOURCE: Mwananchi

Kabla ya NCCR, Kafulila alikuwa mwanachama wa CHADEMA. Habari. zaidi soma=>David Kafulila ahamia NCCR Mageuzi akitokea CHADEMA
Hajitambui nafikiri,vigeugeu wako wengi nchi hii mbora ccm itawale milele.
 
Wadau kuna kipindi kafulila alikua anapinga matokeo ushindi ulikuwa ni wa nani¿
 
Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?
Ndio mnajifanya hamjui malengo ya ukawa ama?
Wape pamewekwa makubaliano mwana ukawa ahamie ccm tu na si.kwa washirika wengine wa ukawa?endeleeni kuwa hamna akiki lakini wemzenu wanajua kuna nini chadema 2020!
 
Eti anafupisha Safari ya mabadiliko, nategemea kusifiwa sana na wafuasi wa Chadema
 
Huyo amehama chumba tu katoka chumbani kaingia sebuleni nyumba ni ile ile tu UKAWA.
 
Back
Top Bottom