Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,187
- 26,209
Kumbe mnamkubali MboweMbowe mtoto wa mjini kamfanyia udukuzi mbatia............
Kumbe mnamkubali MboweMbowe mtoto wa mjini kamfanyia udukuzi mbatia............
Hilo limesuasua kwasababu ya kukwepa kupoteza ruzuku.Sawa wafanye utaratibu formaly wakiue NCCR waungane wote CDM ila wasichukuane mmoja mmoja tuu
hahaha ni vichekesho tupu[/QUOTE
Mwenyekiti alitukosea sana kutuita eti wanaccm ni watu ovyo ovyo kabisa yaani mara n'gombe waliokatwa mikia yaani
UKAWA wameanza kuchukuliana Wachezaji!
Ila usisahau na kumpongeza mkewe lazima kapiga role kubwa sana hapoHilo limesuasua kwasababu ya kukwepa kupoteza ruzuku.
Acha kufuatilia maisha ya watu. Kwa mfano kabla ya Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wewe ulijua alikuwa anafanyakazi gani?
UKAWA WANAJITAFUNA WENYEWE KWA WENYEWE.Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema
Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema.
Kafulila alithibitisha taarifa hizo na kusema tayari ameshawasilisha barua ya kujivua uanachama wa NCCR na kujiunga Chadema leo.
“Nimewashukuru kwa kuwa pamoja katika kujenga chama na nafasi ya uenezi waliyonipa mara zote. Nimeweka wazi kuwa natarajia kujiunga na Chadema. Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.” alisema
View attachment 446944
SOURCE: Mwananchi
apewa heko zoteKafulila ahama NCCR, ahamia Chadema
Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema.
Kafulila alithibitisha taarifa hizo na kusema tayari ameshawasilisha barua ya kujivua uanachama wa NCCR na kujiunga Chadema leo.
“Nimewashukuru kwa kuwa pamoja katika kujenga chama na nafasi ya uenezi waliyonipa mara zote. Nimeweka wazi kuwa natarajia kujiunga na Chadema. Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.” alisema
View attachment 446944
SOURCE: Mwananchi
MSN sorryCNN ndio mnyama gani huyo
Kwenye baadhi ya kanuni za Sayansi kujila wenyewe kwa wenyewe ni sehemu ya uhifadhi na kujijenga!!UKAWA WANAJITAFUNA WENYEWE KWA WENYEWE.
Politic ndivyo ilivyoSisimizi karudi Chadema!!
UKAWA wameanza kuchukuliana Wachezaji!
katoka under 20 kahamia tim ya wakubwaKuna siku wameacha kumkubali?Kumbe mnamkubali Mbowe
Kweli.Kaenda kwa mkewe, sioni kama ita muimarisha yeye kisiasa bali ita msaidia mkewe zaidi.
Halafu kama wote NCCR na CDM ni UKAWA kuna haja gani ya Kafulila kuhama!? Au ndio umoja wa mashaka wenyewe!!