udagadagaa
Senior Member
- Nov 21, 2013
- 118
- 48
karibu mkuu.
Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema
Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema.
Kafulila alithibitisha taarifa hizo na kusema tayari ameshawasilisha barua ya kujivua uanachama wa NCCR na kujiunga Chadema leo.
“Nimewashukuru kwa kuwa pamoja katika kujenga chama na nafasi ya uenezi waliyonipa mara zote. Nimeweka wazi kuwa natarajia kujiunga na Chadema. Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.” alisema
View attachment 446944
SOURCE: Mwananchi
Karibu tena
Nimependa uchambuzi wako mkuu
Sema waangalie jinsi gani ya kuunganisha nguvu na kuwa Chama kimoja. Chadema na NCCR.Mbatia itambidi kuhamia CDM kama anataka kujiimarisha kisiasa
L_U_Z_U_K_U I-N-A-K-O-E-L-E-A N-D-I-K-O M-N-U-S-O U-L-I-K-OKaenda kwa mkewe, sioni kama ita muimarisha yeye kisiasa bali ita msaidia mkewe zaidi.
Halafu kama wote NCCR na CDM ni UKAWA kuna haja gani ya Kafulila kuhama!? Au ndio umoja wa mashaka wenyewe!!
CNN ndio mnyama gani huyoNimeipenda safu ya ushambuliaji ya chadema nikama CNN ya FC Barcelona
huu umoja nilishtukia sio chadema waliposimamisha mgombea segerea wakati wanajua kuna julius mtatiro wa cuf yule mama wa cdm kazigawanya kura za ukawa akasababisha ccm ikashinda halafu yy akapewa kiti maalum iliniuma sana ile kitu.Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?
L_U_Z_U_K_U I-N-A-K-O-E-L-E-A N-D-I-K-O M-N-U-S-O U-L-I-K-O
ukiwa ndani ya UKAWA waweza chezea timu yoyote ruksa,bora lengo ni moja tu kumpiga bao Faru JohnUKAWA wameanza kuchukuliana Wachezaji!
Sawa wafanye utaratibu formaly wakiue NCCR waungane wote CDM ila wasichukuane mmoja mmoja tuuHaka kajamaa ni kichwa sana..nimependa alivyotoa sababu ya nzuri kabisa tena yenye mashiko na inaweza kuimarisha zaidi UKAWA.
"Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.”
Hata mimi nilijiuliza kama wewe ila hiyo sababu imemaliza swali langu