David Jairo wa IKULU


Tumeishachoshwa na malalamiko kwa wasaidizi, kama haya yote mnayajua, inakuwaje Jakaya hayajui.
Tatizo ni Jakaya
 
2009?

Mnaoteshwa nyie wengine?

Philemon Michael alikuja hapa kumtetea Jairo sasa kiko wapi?
 
hivi hii thread ilikuwa hapa toka lini?

je utabiri wenu umetimia?
 
Mkuu wewe tu umebaki haujala lunch ikulu, jipange uwemo na wewe, mwezi unaisha huu, au huoni!
 
GT thanks a lot for this post which you started in October 2009. wale wote waliokupinga wameona the true picture of DJ
 




kaka ulioteshwa?

watu waliokupinga wote wameingia mitini

sasa kiko wapi?
 
Huyo David Jairo asikae bure wkt
analipwa mshahara bure, NASHAURI
APEWE VIPINDI VYA HESABU KATIKA
SHULE MOJA YA SEKONDARI
AFUNDISHE!
 

Sifa ya kuvaa kuliko wengine kama wewe ni miss EAC ni nzuri sana lakini kama wewe ni Rais wa nchi hilo ni tusi.

Hebu mkumbuke Frederick Jacob Titus Chiluba alikuwa na kontena ngapi za suti, kumbuka akili yake na linganisha na huyu wetu.

Wote aina moja!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…