simjui sana Jairo ila inaonyesha jamaa anipeleka nchi kishkaji sana achilia mbali pengine competence ya mtu lakini tuangalie mlolongo wa washkaji zake jamaa yetu
hawezi kuwawajibisha, hiyo ni weakness ya kila binadamu kuoneana aibu
noma sana hili nchi linavyoongozwa!!!
mimi nasikitika sana haya mambo ukiyasikia mpaka nataka nikachukue msitu wangu nilima kilimo cha kisasa kuliko kukaa tunashuhudia uchafu wa viongozi
hawezi kuwawajibisha, hiyo ni weakness ya kila binadamu kuoneana aibu
noma sana hili nchi linavyoongozwa!!!
mimi nasikitika sana haya mambo ukiyasikia mpaka nataka nikachukue msitu wangu nilima kilimo cha kisasa kuliko kukaa tunashuhudia uchafu wa viongozi