David Djumbe (Msaidizi wa Lissu) atekwa

David Djumbe (Msaidizi wa Lissu) atekwa

Huenda Lisu anakaribia kutoka jela, sasa lengo ni kumtumia mtu wa karibu kumduru afe pole pole. Hesabu zimekataa jinsi ya kumchukua kisiri matokeo yake utekaji wao umejulikana. Upuusi kama Upuusi.
 
Kuhusu kuwachoka tumeshawachoka ni kuamua tu kuchukua nchi yetu mikononi mwao

Mbona watu kati yao hawatekwi na kupotea… tumeshawachoka kimebaki kuchukua nchi yetu mikononi mwao
 
1000424055.jpg
 
revenge ni lazima msipofanya revenge muslims watawachezea kila siku, ni lzm mmoja aning’inizwe viwanja vya mnazi mmoja in public kama D.Trump alivyosema wakati mwingine eye for an eye is necessary kwa adui zako …
 
[Ql
Watanganyika walio wengi wanamtaka nchi yao! Wameshagundua wapo kwenye muungano wa kijinga.
Pia tuko Watanzania wengi ambao ni Wazalendo wa nchi hii, wanaoupenda na kuukubali huu muungano wetu adhimu na adimu huwaambii kitu, please usiuite muungano wetu adhimu ni muungano wa kijinga !, sisi Watanzania Wazalendo na tumekula yamini muungano tutaulinda kwa gharama yoyote, hata Ikibidi kuulinda kwa gharama ya machozi, jasho na damu, tutalipia!.

P.
 
[Ql
Pia tuko Watanzania wengi ambao ni Wazalendo wa nchi hii, wanaoupenda na kuukubali huu muungano wetu adhimu na adimu huwaambii kitu, please usiuite muungano wetu adhimu ni muungano wa kijinga !, sisi Watanzania Wazalendo na tumekula yamini muungano tutaulinda kwa gharama yoyote, hata Ikibidi kuulinda kwa gharama ya machozi, jasho na damu, tutalipia!.

P.
Muungano wa kinyonyaji na usio na usawa! Muungano wa changu changu, chako changu! Muungano wenye maslahi kwa wananchi wachache pekee, nk.
Huo ni muungano wa kijinga.
 
Msaidizi wa Tundu Lissu, David Djumbe inadaiwa ametekwa usiku huu na wanaodhaniwa kuwa Maafisa wa Usalama wa Taifa ambao walikuwa na silaha za moto.

Djumbe ametekwa akiwa nje ya geti la nyumbani kwake, maeneo ya Bunju Dar es Salaam.

Wananchi waliokuwa wanalikimbiza gari hilo lililomteka, wamesema wameliona likiingia kwenye nyumba za Usalama wa Taifa zilizo maeneo ya Mbweni.

=====



======================


Kiongozi wa watekaji anasema alikuwa anaongea kiswahili cha kizanzibar watu wa Mama hao
 
[Ql
Pia tuko Watanzania wengi ambao ni Wazalendo wa nchi hii, wanaoupenda na kuukubali huu muungano wetu adhimu na adimu huwaambii kitu, please usiuite muungano wetu adhimu ni muungano wa kijinga !, sisi Watanzania Wazalendo na tumekula yamini muungano tutaulinda kwa gharama yoyote, hata Ikibidi kuulinda kwa gharama ya machozi, jasho na damu, tutalipia!.

P.

Tujiulize uzalendo ni nini? Maana tunanganania kusema tunalinda nchi wakati huo huo hatusemi pale rushwa, ukabila, utekaji, unyanyasaji, wii wa kura, undugu unapotokea. Mfonao wa watu wazalendo ni Warioba na Lissu wengine wengi ukiangalia vizuri ni wazalendo waangalia matumbo zaidi
 
Tujiulize uzalendo ni nini?
Uzalendo ni mapenzi ya dhati ya mtu kuipenda nchi yake na kutanguliza mbele maslahi ya taifa, kuliko kitu kingine chochote!, patriotisim
Mifano ya threads za kizalendo ni hizi
Maana tunanganania kusema tunalinda nchi wakati huo huo hatusemi pale rushwa, ukabila, utekaji, unyanyasaji, wizi wa kura, undugu unapotokea.
Hayo yote wazalendo tunayapigia kelele!.
Mfano wa watu wazalendo ni Warioba na Lissu wengine wengi ukiangalia vizuri ni wazalendo waangalia matumbo zaidi
Charity begins at home, sisi home kwetu ni humu jf, japo ni kweli, watu wazalendo ni Warioba na Lissu, kuna wazalendo wengi tuu ila they are not outspoken, uzalendo wa kweli uko ndani ya moyo wa mtu, na sio kuongea, kukemea, au kupiga kelele, kuna watu japo wako kimya, lakini ni wazalendo wa kweli wa taifa lao, mimi mwenyewe ni bonge la mzalendo humu.

P
 
Mzee wa ngonjera, unaandika utadhani uko serious. Unasubiri nini sasa kuingia barabarani? Au unataka waingie wengine??
Hizi "ngonjera" zinagonga hadi utosini mwako na kukupa mchecheto. Huo ndio uzuri wa hizi unazoziita ngonjera.

Hata kama unao upungufu mkubwa wa kusoma hali ilivyo halisi sasa hivi; kweli utashindwa kubaini hali mbovu kabisa inayomkabili Samia wakati huu?
Hicho unachokifaidi toka kwake hadi ujizime akili namna hii; wewe utakuwa bado ni binaadam?
 
Haifai kufyatuka namna hii.

Kwa nini wamuue; "lengo la kumuua" limetangazwa wapi?

Hakuna asiyejuwa uovu wa watu hawa, lakini haimsaidii yeyote kufyatuka tu namna hii jukwaani humu.

Inamsaidia nani hasa kwa maneno kama haya yaliyotumika; kama siyo hao hao waovu.

Huu siyo wakati wa kubwatuka tu hovyo hovyo na maneno ambayo waovu wanayachukulia kutokuwa na uzito wowote!

Samia yupo kwenye hali mbovu sana, ndiyo maana ya haya yote yanayofanyika. Anatafuta kila aina ya njia kupenya kikombe kinachomkabili; haitulazimu na sisi tuanze kuonyesha dalili za kutojiamini juu ya kinachosubiri kumwandama mwovu huyu.
Baadhi ya maswali yako yamejibiwa, na Djumbe
 
Baadhi ya maswali yako yamejibiwa, na Djumbe
Nilipata taabu sana, kuandika kama nilivyoandika kuhusu mada yako kama ulivyoiwasilisha.
Sikuwa na maana ya kuwa asingefanyiwa hayo uliyoandika wewe; bali kuwa haikuwa busara kuyaweka kama ulivyoyawasilisha.

Naamini hawa siyo watu wanaosikia maneno ya vitisho tena; kilichobaki kwa hawa ni shavu kwa shavu. hali hiyo haihitaji kutangazwa.

Ni muhimu zaidi sasa hivi kupima maneno kabla ya kuyatamka,/kuyaandika; tumefdika kwenye hatua mbaya zaidi sasa. Mihemko ya muda mfupi tuachane nayo.
 
Kwa mara ya kwanza bodaboda nimewapa maua yenu kwa kitendo mlichokifanya kwa tukio hili. Na ndo inavotakikana kwa mbwa hao. Bila nyie leo labda taarifa ingekuwa nyingne big up sana na mungu awape nguvu.
 
Hizi "ngonjera" zinagonga hadi utosini mwako na kukupa mchecheto. Huo ndio uzuri wa hizi unazoziita ngonjera.

Hata kama unao upungufu mkubwa wa kusoma hali ilivyo halisi sasa hivi; kweli utashindwa kubaini hali mbovu kabisa inayomkabili Samia wakati huu?
Hicho unachokifaidi toka kwake hadi ujizime akili namna hii; wewe utakuwa bado ni binaadam?
Nabii koko, kila unachotabiri hakitokei, si bora uache tu
 
Back
Top Bottom