Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
CCM ni haki kuendelea kuongoza hii nchi, wasomi wetu ndiyo hawa.Hakukuwa na ulazima ku-quote picha zote hizo
CCM ni haki kuendelea kuongoza hii nchi, wasomi wetu ndiyo hawa.Hakukuwa na ulazima ku-quote picha zote hizo
MKO. MJINI MIAKA KUMINATANO MMESHINDWA HATAKUWAJENGEA MAAZENU NYUMBA VIJIJINI MNATULETE PICHAZA NYUMBA ZA AMA ZA WATU WORD NOT FAIR KABISA... MWACHENI A ENJOY NA WAZAZIWAKEMFANYABIASHARA KIJANA DAUDI KANYAU AMEJENGA MSIKITI NA KITUO CHA WATOTO YATIMA-MKOA WA PWANI !!! HUU NI MFANO WA KUIGWA KWA VIJANA TUNAPOPATA MAFANIKIO KUJARIBU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTOA SADAKA
Tulianza kwa kutembezwa, hii ni sehemu ya watoto yatima watakaolelewa hap, idadi yake ni 40 tu!!
Hii ni nyumba ya Daudi....!!
Kwa ndani
Hii ni servant quarter
Parking ya magari
Nyumba ya bi mkubwa, mama yake Daudi
Kwa ndani
kwa ndani
kwa nje
ukuta embu ona kwa karibu!!!
Nilipenda sana kichuguu eeh!!
huu ndio msikiti....!!
Kisima kwa ajili ya kutawadha!!!
Nyumba ya Imamu wa msikiti!!
http://4.bp.blogspot.com/-hmzi8zStn78/UCj6BUC_9nI/AAAAAAAAuQ4/tYzNfZxDq2w/s1600/DSC_0789.JPG
Daudi akiwahudumia wageni!!!
Faiza. Daudi, Phares & Tanisa
Dad's Daughter
Daudi na watoto wake wapenzi!!!, awali awali hakuna mbovu!!!
Inaongoza ligi MkuuManchester iko nafasi ya ngapi vile?
MFANYABIASHARA KIJANA DAUDI KANYAU AMEJENGA MSIKITI NA KITUO CHA WATOTO YATIMA-MKOA WA PWANI !!! HUU NI MFANO WA KUIGWA KWA VIJANA TUNAPOPATA MAFANIKIO KUJARIBU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTOA SADAKA
Tulianza kwa kutembezwa, hii ni sehemu ya watoto yatima watakaolelewa hap, idadi yake ni 40 tu!!
Hii ni nyumba ya Daudi....!!
Kwa ndani
Hii ni servant quarter
Parking ya magari
Nyumba ya bi mkubwa, mama yake Daudi
Kwa ndani
kwa ndani
kwa nje
ukuta embu ona kwa karibu!!!
Nilipenda sana kichuguu eeh!!
huu ndio msikiti....!!
Kisima kwa ajili ya kutawadha!!!
Nyumba ya Imamu wa msikiti!!
http://4.bp.blogspot.com/-hmzi8zStn78/UCj6BUC_9nI/AAAAAAAAuQ4/tYzNfZxDq2w/s1600/DSC_0789.JPG
Daudi akiwahudumia wageni!!!
Faiza. Daudi, Phares & Tanisa
Dad's Daughter
Daudi na watoto wake wapenzi!!!, awali awali hakuna mbovu!!!
Hii post niliiona kitambo, sikuchangia chochote, nadhani Leo ndo wakati wake- TRA chukueni tin yake muone kiwango cha kodi anayolipaSafi sana!!
Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!
Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
mapungufu yako ni makubwa kuliko binadam yeyoteSawa tumeona,na shule vp?hao watoto wanatakiwa kusoma,ajenge na shule!
Ni hitaji lake mwenyeweHilo ndilo hitaji la maendeleo ya watu wa kibaha?
Takataka tu!
Madrasa ni skuli ya niniHivi hujui kuwa Madrasa ni shule !? Wagala bana !
Ok poaHeri yake Mungu atamzidishia.
Fafanua kidogoDah.........jamaa ana mengi sna na maisha yake........ikiwemo kuibiwa mke na mtoto wa Mwinyi.........pia ni mdau sana katika kuuza ule unga wetu usioweza pikika ugali wala maandazi...anyway ni maisha yake na mola wake
skuli (English word = School) hujui kuna nini !? GamaMadrasa ni skuli ya nini
..........shule kabla ya Msikitini !? .....hata Yesu hakusoma lakini 'athari' yake ipo mpaka leo, ana Kitabu Kinaitwa Injil. Yaani huyo anae abudiwa Msikitini ndiye anae gawa elimu. Kwetu IringaSafi sana!!
Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!
Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
We nenda kale kitimoto upate minyoo ya kichwaSafi sana!!
Anafanya biashara gani? Isijekuwa unga!!
Lkn angejenga shule kwanza kabla ya msikiti
MFANYABIASHARA KIJANA DAUDI KANYAU AMEJENGA MSIKITI NA KITUO CHA WATOTO YATIMA-MKOA WA PWANI !!! HUU NI MFANO WA KUIGWA KWA VIJANA TUNAPOPATA MAFANIKIO KUJARIBU KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTOA SADAKA
Tulianza kwa kutembezwa, hii ni sehemu ya watoto yatima watakaolelewa hap, idadi yake ni 40 tu!!Hii ni nyumba ya Daudi....!!
Hii ni servant quarterParking ya magariNyumba ya bi mkubwa, mama yake DaudiKwa ndanikwa ndanikwa njeukuta embu ona kwa karibu!!!Nilipenda sana kichuguu eeh!!huu ndio msikiti....!!Kisima kwa ajili ya kutawadha!!!
kanisa alilojenga liko wapi? acheni kujipiga promo pengine hela zenyewe hizo ni za magaidi either wa somalia au al quaeda...huwa mnaaminika nyie? subiri, muda si mrefu mtamsikia kama papa msofe.