Paul Buchira
R I P
- Aug 5, 2013
- 1,043
- 560
Africa ubinafsi ndo zetu angekuwa rangi nyeupe ungesingizia nini??! kajenga msikin kwa pesa yake nawe jenga kanisa kwa pesa yako tudaidiane sio maneno tu!!!! je? angekuwa kaescro ingefaidikaje wewe ??!!
Heri yake Mungu atamzidishia.
Kapwila Matulu umesahau aliyotuambia Dr Slaah ya kuwa Maaskofu wote wamenunuliwa na LOWASSA !?Daah, hii post iliwekwa mwaka 2012, leo alichoandika mkuu huyu katika post hii kimetokea kweli. Mbarikiwe wenye maono ya mbali, na wote mliokuwa mnamsifia mrudi kutueleza kama Mungu wa misikitini anaruhusu kuwaharibu wazazi then kuja kuwalea watoto wao kama yatima
toka lini mti wa pilipili ukazaa zabibu? hata nyoka ajamiiane namna gani na kuku, pamoja na kwamba wote wanataga mayai, katu nyoka hawezi kuzaa vifaranga vya kuku. mzeituni ni mzeituni tu kwa asili na mti pori ni mti pori tu kwa asili hata ulazimishe vipi matunda yake yatakuja kudhihirika siku moja.Kapwila Matulu umesahau aliyotuambia Dr Slaah ya kuwa Maaskofu wote wamenunuliwa na LOWASSA !?
Huyu Yuko sauzi kachoka inasemekana anatafuta trip ya upundaaaMakonda mwingine huyu alijenga na msikiti kabisa.
Mengi alishawahi kujenga msikiti pale Muheza mjini wakati uleJe Mengi kashawahi kujenga msikiti au ndo tuseme hela zake ni za makafiri wenzenu wamarekani
Huyu Kanyau ndiye niliemsoma katika moja ya nyuzi humu mkazi wa Mikocheni?[/QUOT]
Huyo huyo nami nimemuona kwenye Uzi wa Twilumba
Duhhhh ewaaaa haya yalisemwa subiri tuonekanisa alilojenga liko wapi? acheni kujipiga promo pengine hela zenyewe hizo ni za magaidi either wa somalia au al quaeda...huwa mnaaminika nyie? subiri, muda si mrefu mtamsikia kama papa msofe.