DARUSO pamenuka, UDSM kugoma...

Pale UDSM pana tatizo kubwa sana ila wahusika wanashindwa kutatua mzizi watatizo badala yakewanatatua matokeo ya tatizo.
 
angalia uandishi wa mabandiko yake anayoyaweka humu especially yale yanayohusu habari za airport. Hauhitaji nguvu ya ziada kupima level aliyosoma

yaani babako akitoka nje ya ndoa nae ajafika university teeehhhhh mbona uhuni aachiiiiiiiiii
msaidie kwanza dingi bana aache nyumba ndogo
 
Tatizo lililopo sio kukataa kugoma tatizo wengi waliopo saasaaa awana mshikamano pale mlimani najua wataongeasana humu lakini ukweli utabaki wamejaa watoto wadogo wajinga awajui hata wanaenda kugomea nini siku wakianza kupigwa mstari wanaanza kutajana alituongoza huyu yuleeeeeeeeeeee
serikali itawapunguza kweli mwaka huu na wameapa awataki ujinga......
 
kama kunajambo la msingi na serikali inaleta siasa gomeni,lakni kama mitihani imekaribia kwa hiyo mnagoma ili kukwepa kufanya mitihani hapo hatuwaungi mkono kabisa
 
kikao cha tarehe 7 jana kimefikia maamuz mazito MGOMO J3 kutetea wenzao baada ya njia ya maongezi kushndwa
Hivi vyuo vikuu Tz kunani? Na je, tume iliyoundwa na rais wa Tz kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya vyuo vikuu haikutoa ufumbuzi wa kweli? Ushauri wangu:tatizo la udsm titafutiwe ufumbuzi wa haraka na usiwe ufumbuzi utakaowaathiri wanafunzi.
 
Kama ungekuwa ni mmoja wa waliofukuzwa sidhani kama ungepinga post hii, niwapongeze kwa maamuzi mliyoyafikia kwani mgomo ndio njia pekee ya kutatua matatizo yenu japo wanasiasa watawaambia hamkuwa wavumilivu. Ninakumbuka nikiwa mwaka wa pili kuna jamaa wa CIVO walidisco kutokana na carry over ya Prof mayo kama sikosei ilikuwa WR. Engineers tukaamua kupumzika na mara baada ya hapo tukaenda Nkuruma hall na kama walivyo wenzetu wanasiasa kamati ikaundwa, nashukuru jamaa wakarudishwa. So nanyinyi komaeni mpaka jamaa warudishwe kwani mkandala haeleweki leo wao kesho nyinyi. VIVA UDSM, VIVA COET
 
Ndo tatizo la kumpa ngwini aongoze chuo bora Prof Eng. Member IEEE mathew Luhanga kaongoza chuo vizuri sana alivyokuja huyu kilaza wa kashozi mambo yote yamaharibika chuo sasa kinaendeshwa kisiasa

mbona hata nyerere alikua ngwini?
 
komaeni bana,"an injury to one is an injury to all"mkishindwa kuwatetea wenzenu arobaini vp kuhusu wanyonge wa kule kwa bibi?
 
komaeni bana,"an injury to one is an injury to all"mkishindwa kuwatetea wenzenu arobaini vp kuhusu wanyonge wa kule kwa bibi?
 
Ndo tatizo la kumpa ngwini aongoze chuo bora Prof Eng. Member IEEE mathew Luhanga kaongoza chuo vizuri sana alivyokuja huyu kilaza wa kashozi mambo yote yamaharibika chuo sasa kinaendeshwa kisiasa

Kumbuka alitolewa REDET na kuwekwa hapo baada ya kufanikiwa kutuhadaa kwa takwimu za kipuuz kuhusu kupendwa kwa mkuu wa kaya wakati wa kuwania urais:smash:....
 
Tatizo lililopo sio kukataa kugoma tatizo wengi waliopo saasaaa awana mshikamano pale mlimani najua wataongeasana humu lakini ukweli utabaki wamejaa watoto wadogo wajinga awajui hata wanaenda kugomea nini siku wakianza kupigwa mstari wanaanza kutajana alituongoza huyu yuleeeeeeeeeeee
serikali itawapunguza kweli mwaka huu na wameapa awataki ujinga......

Haki itasimama tu siku zote japo mwana mapinduzi hatoyafaidi mapinduzi yenyewe. Hii inasababishwa na siasa vyuoni uccm kwa sana hawakubali wanalazimisha kukubalika
 
Hivi vyuo vikuu Tz kunani? Na je, tume iliyoundwa na rais wa Tz kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya vyuo vikuu haikutoa ufumbuzi wa kweli? Ushauri wangu:tatizo la udsm titafutiwe ufumbuzi wa haraka na usiwe ufumbuzi utakaowaathiri wanafunzi.

Kwani ni lini Tz hii ikaunda tume ikaleta suluhisho kamili? Tume inaundwa ili wale hizo hela na baadae kukaa mezani na kutengenza data zisizokuwa na ukweli na zisizokuwa na suluhisho
 
Ni bora wawafukuze wote kuliko mkubali wenzenu kuonewa kwa 7bu ya mtu flani kutumiwa na wanasiasa
 
Back
Top Bottom