Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,129
- 2,982
Kwenye huu uzi hamshindwi jambo.
Naombeni picha ya mzee hassan baba/babu yake yake samia ili niitofautishe na ya mzee hasan mwinyi
Hatuna kumbukumbuku
Kwenye huu uzi hamshindwi jambo.
Naombeni picha ya mzee hassan baba/babu yake yake samia ili niitofautishe na ya mzee hasan mwinyi
Wenye Dunia yao,wazee wa masl..a...h...iNaombeni kujua nani alimuua Bob Marley
Mfyebengo mmoja kutoka kihesaNaombeni kujua nani alimuua Bob Marley
nani alimuua Bob Marley
Ukipata mkuu ,pmKiukweli kama kuna mtu anavyo vile vipande viwili vilivyonyofolewa itapendeza anitupiamo inbox.
Nahisi nimekosa vitu vya muhimu sana.
Labda unamanisha Lucky Dube, ndiye aliuawa kwa kupigwa risasi na Mhlanga (alikuwa na wenzake wengine watatu) ambapo alifyatua risasi mbili, moja ilimpata Dube kifuani na nyingine kwenye bega.Naombeni kujua nani alimuua Bob Marley
Nimewahi kusikiliza the story book ya Wasafi media huko YouTube, mwandishi kama sikose ni Mtika AbdallahNaombeni kujua nani alimuua Bob Marley
Mkuu weed na mimi naomba ukipata.Ukipata mkuu ,pm
Kauliza account za Jf mkuu, sio miaka yako.
Dahau akazane na mbio za mwenge
Inaweza kuwa , maana mama mambo ya computer anajua sana kutokana na majukum yake ya kazi ya kipindi cha nyuma,
Alafu hivi mama SSH kipindi cha Mzee Nyerere Tiyari alikua katika utumishi wa umma,?
Nauliza hivi kwa sababu ipo clip moja hivi kwenye wimbo wa dr Remmy Ongara ,katika ile nyimbo ASILI YA MZIKI WAPI,
Waweza nenda you tube na play iyo nyimbo mpaka mwisho ,kipabde flani hivi in black and white yupo mama na ushungi wake anacheza taratibu namfananisha naye ,
Chungulieni huo wimbo alafu wakongwe twambieni ndo ndie
Kesha post "Tayari" sielewi ni ni!?Na huyu yoga ndie alikuwa Kigogo wa kule Facebook...baada ya kuwa namba 1 Kigogo akapotea🤣🤣🤣