Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Nipo wasalimie wote huko wakumbushe wananzengo kuwa, wasaliti wamesalitiana, kama nzengo itaendelea hivi ilivyo kazi wanayo

By the way nampa pole wa mahakamani, yajayo yanfurahisha🫶
Para ya mwisho umenichanganya sana km watamng'ang'ania hivi 😭
 
Kwamba limetoka agizo 7/7 watu wanakula SMG au AK47 au siyo?
Hiki kiburi kinaenda kuwafikisha kwenye anguko lao.
Too much hubris has always led to the downfall of the great empires.
The empire now is CCM and it's few established members, the cabals. The oligarchs and rats will jump out of sinking ship.
Hii code na wewe ilikupita!
GSM si Makamu
 
Hii code na wewe ilikupita!
GSM si Makamu
Hiyo ilikuwa kuelekea kitisho cha 7/7.
Akaweka code GSM au 74KA akimaanisha maamuzi waliyofikia wauwaji kuwa siku hiyo mwendo wa SMG ndiyo GSM, au AK47 ndiyo 74KA.

Sub machine gun (SMG) au Avtomat Kalashnikova 1947(AK47).

Nafikiri nmepatia. Nakumbuka kuna thread ulisema ulipitia jeshini. Hivyo hapo wewe ndiyo bingwa kuliko mimi.
 
Hiyo ilikuwa kuelekea kitisho cha 7/7.
Akaweka code GSM au 74KA akimaanisha maamuzi waliyofikia wauwaji kuwa siku hiyo mwendo wa SMG ndiyo GSM, au AK47 ndiyo 74KA.

Sub machine gun (SMG) au Avtomat Kalashnikova 1947(AK47).

Nafikiri nmepatia. Nakumbuka kuna thread ulisema ulipitia jeshini. Hivyo hapo wewe ndiyo bingwa kuliko mimi.
Tulifundishwa ila akili haikua darasani
 
Back
Top Bottom