Dark days 17/03/20

Nyerere amevuliwa nguo sana na CCM. Vyama vyote vilivyokuja kuweka kambi Tanzania vimeuwa nchi zao. Vita ya kagera tulipoteza hela nyingi kumuweka Obote l. Obote naye akaleta ukabila akapinduliwa na Museveni aliyesoma chuo Tanzania. Ni aibu juu ya aibu. Hakuna uzuri aliofanya Nyerere kwa hii nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…