Mkuu maana yangu si hiyo unayodhani,
Maana yangu ni kwamba wewe ukimwita Yoga jukwaani mara moja hutiririka.
NB, Yoga hakusema ni jumamosi ya tarehe gapi, so mwacheni huenda ana darasa la yoga huko mahotelini
Huenda amejichimbia wameamua wafanye kweli kuiponya nchi maana last seen yake ni Friday japo hakucomment wala kutoa uzi wowote. TumainEl yeye hajaandika chochote tangu muda mrefu japo tabiri zake juu ya huyu aliyejitwalia urais zinazidi kutimia. Kuhusu TA yeye nadhani tangu uzi wake wa Brother hajawahi kuonekana popote humu jukwaani