Unaona vita mbeleasylum for all kakis and their famillies living in the society, they have been told to live in those hemas from first Dec till further notice since their intelligence told them their the target!!
huyu kamchanganya na Dotto James..Mkuu umeanza kutupanga, Dotto Biteko na magufuli hawana undugu wowote, Wala hawakua poia na urafiki wala ukaribu wowote.
Mkuu Dotto Biteko hana undugu wowote na magufuli, wala pia hawana ukaribu wowote, utakua unanichanganya Dotto biteko na Dotto James aliyekua katibu wa wizaraDotto ni mpwa kwa Magufuli mtoto wa dada yake
Nimemkumbusha hilohuyu kamchanganya na Dotto James..
Kwa hio Magufuli alikuwa na dada mmoja ?Mkuu Dotto Biteko hana undugu wowote na magufuli, wala pia hawana ukaribu wowote, utakua unanichanganya Dotto biteko na Dotto James aliyekua katibu wa wizara
Huyu chini hapa ndio dada yake na magufuli anaitwa Monica magufuli, alifariki 2018
View attachment 3506611
Huyu chini hapa ni mama yake na Dotto Biteko, anaitwa Elizabeth Biteko, alifariki 2020
View attachment 3506613
Kaki ndio wakina nani ?Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
we nae hebu tuliza ukilaza wako…huu uzi sio level yako…Kwa hio Magufuli alikuwa na dada mmoja ?
hebu cheki…si upige kimya tuu..Kaki ndio wakina nani ?
Kaki ndio wakina nani ?
Hili ni tango poriasylum for all kakis and their famillies living in the society, they have been told to live in those hemas from first Dec till further notice since their intelligence told them their the target!!
Mkuu itakua historia ya magufuli huifahamu kabisa. Magufuli alikua na dada mmoja, huyo dada yake mmoja ndio alikua mtoto wa kwanza kuzaliwaKwa hio Magufuli alikuwa na dada mmoja ?
Yes nawezaHili jibu lake utaweza kulihandle?
tupe jibu tuta handle tuHili jibu lake utaweza kulihandle?
Hao wahuni hawapo peke yao.Ume andika kama vile hao watu wachache wana nguvu saana ya kupambana na watanzania woote , ni hivi hakuna cha nature bilq misukule ya PT na JW hii kazi inaisha mapema sana
PoliccmKaki ndio wakina nani ?
Siku ya maandamano vijana waliimba wanamtaka Polepole.Ukweli mchungu ila jamaa ameshasahaulika vibaya mno.
Benard rabiu saananeDr Ulimboka alitekwa na akapatikana nitajie watu waliotekwa na kupotea kabla ya Magufuli.
Ben Saanane alipotezwa kipindi cha Magufuli. Azory Ngwanda naye alipootezwa kipindi cha magufuli .Daudi Mwangisi alipatikana na kuzikwa kipindi cha Kikwete.Benard rabiu saanane
Azroy ngwanda
Mwangosi
Pole pole wameshamuua na kashasahaulika.Siku ya maandamano vijana waliimba wanamtaka Polepole.
Inawezekana wamemuuwa ila hajasahaulika mioyoni mwetu.Pole pole wameshamuua na kashasahaulika.