brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 990
- 1,505
Mambo yakizidi kwenda left Hilo jumba bovu lazima ataangushiwa mtuYeah niliuona pia...
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa hii issue ni wananchi tu.
Maana hata ukiangalia reaction ya mamlaka ni kama vile inatoa reaction kwa block ingine kuliko wananchi directly
Moreover, Japo wanajua public support/favour hawana kwa hiyo devide and rule imekuwa part ya kupata watu at least wengi wa kuwaunga mkono pasipo kuangalia long term impact ya wanachokifanya.
Na kwa upande mwingine hii inaonesha, pamoja na kuwa na pesa, power na international support. Lakini bado wanaogopa hasira ya umma kwa sababu power yao imeegemea hapo katika kuaminisha umma upo powerless lakini OCT29 imefungua kurasa ingine ambayo wao hawakuitarajia.
So kwa hesabu za kawaida tu, hali iliyopo haiwapi assurance yoyote kwa 2030 na mbaya zaidi wananchi wamesukumwa kama kete. So hawana wa kumuangushia zigo au individuals wa kudeal nao pasipo hasira ya wananchi kuamka.
Hivyo kuondosha watu kimya kimya ni best option lakini internet inawapa edge hiyo block nyingine uwezo wa kutumia hizo kete za kimya kimya kuipaka serikali matope zaidi "utekaji" tofauti na zama za traditional media.
So huu mchezo kwa nje na Yoga anavyosema, fate yote inaegemea kwa walio na power lakini mimi naona, hiyo BLOCK nyingine inawachezesha mchezo wao kwa hiyo ni kama fair game unless Yoga awe anaijua hiyo block ingine na athibitishe kuwa wao ni powerless na hawana back ya mataifa makubwa. Kitu ambacho si rahisi kwa nchi inayokaa katikati ya mabepari na wajamaa.
Do I play with fire!!?be specific missus!Please Be careful,
Wafanye jambo mambo yarudi kama zamani haya sio maisha ata kidogoJamanieee, natumaini mko poa sana
Ila watu wanadharau nyieee...... yaani Mgejua ........... Kuwa anacheka zake sana tu,
🤔"
Nawajuza tu kuwa kwenye kikome chao wamekubaliana kuwa hata iweje hakuna kuonesha kuwa Kwa namna yoyote Ile eti wao wamekosea, na mmoja kamjaza anamwambia
"inabidi meseji iwe clear kuwa your the CEO na hakuna mtu wa kuku chezea chezea, ukiwasikiliza hao watakutikisa kweli kweli"
Na kwa taarifa yenu hao kamaba mnao waamini na kuaminishwa wako na nyingi, ndio watawalengesha kwa wale wa kika!
kaaa kwa utayari, wameagizwa watumie gari za kijapani kuwanyakuwa nyakuwa huko mitaani!
Mkitaka kuwashinda msije na hisia, critical analysis is needed vinginevyo jambo linaenda kujirudia na hawana soni.
Mbuga zinauma nyie!!!🤔😂
Love y'all
Mpo jukwaa la intelligence hamjui CIA na wengine vile wanaoperate kwenye LDCs poor Gadafi trusted BRN T with his 6 akidhan spirit ya pan africanisim bado imo akilini mwake!Kina nani hao? Ndo inatakiwa tuwajue sasa
Oya JF, Wekeni kitufe cha kutranslate.Si quieren que ellos se bajen del carro, solo quedan dos jugadas:
👉Hacer silencio y dejar que la marea acomode todo, o
👉Que suene la tambora…
Así es la pura candela.
Wakina BASHIRU KAKURWA hawa , wako hengi!Nasikia ata waliokuwa wanamsifia boss aliepita wameanza kumgeuka. Hakuna watu wanafiki kama wafanyakazi wa chini kwenye kampuni.
This is sadJamanieee, natumaini mko poa sana
Ila watu wanadharau nyieee...... yaani Mgejua ........... Kuwa anacheka zake sana tu,
🤔"
Nawajuza tu kuwa kwenye kikome chao wamekubaliana kuwa hata iweje hakuna kuonesha kuwa Kwa namna yoyote Ile eti wao wamekosea, na mmoja kamjaza anamwambia
"inabidi meseji iwe clear kuwa your the CEO na hakuna mtu wa kuku chezea chezea, ukiwasikiliza hao watakutikisa kweli kweli"
Na kwa taarifa yenu hao kamaba mnao waamini na kuaminishwa wako na nyingi, ndio watawalengesha kwa wale wa kika!
kaaa kwa utayari, wameagizwa watumie gari za kijapani kuwanyakuwa nyakuwa huko mitaani!
Mkitaka kuwashinda msije na hisia, critical analysis is needed vinginevyo jambo linaenda kujirudia na hawana soni.
Mbuga zinauma nyie!!!🤔😂
Love y'all
She's going down with her bossJamanieee, natumaini mko poa sana
Ila watu wanadharau nyieee...... yaani Mgejua ........... Kuwa anacheka zake sana tu,
🤔"
Nawajuza tu kuwa kwenye kikome chao wamekubaliana kuwa hata iweje hakuna kuonesha kuwa Kwa namna yoyote Ile eti wao wamekosea, na mmoja kamjaza anamwambia
"inabidi meseji iwe clear kuwa your the CEO na hakuna mtu wa kuku chezea chezea, ukiwasikiliza hao watakutikisa kweli kweli"
Na kwa taarifa yenu hao kamaba mnao waamini na kuaminishwa wako na nyingi, ndio watawalengesha kwa wale wa kika!
kaaa kwa utayari, wameagizwa watumie gari za kijapani kuwanyakuwa nyakuwa huko mitaani!
Mkitaka kuwashinda msije na hisia, critical analysis is needed vinginevyo jambo linaenda kujirudia na hawana soni.
Mbuga zinauma nyie!!!🤔😂
Love y'all
“When people lose fear of losing, fear stops controlling them.”
Wanachokihofia zaidi ni kuendelea kuishi katika hali wanayoona haina haki.
Nimesoma yote kwa tabasamu kuu!Matumizi ya nguvu huwa na lengo la kuogopesha
Katika nchi nyingi duniani (si Tanzania pekee), serikali inapokabiliwa na maandamano makubwa, hutumia nguvu kubwa ili:
Kuwatisha watu wasirudi barabarani
Kuwafanya wajisikie hawana nguvu
Kuzuia momentum ya umma
Kutoa “mfano” kwamba gharama ya maandamano ni kubwa sana
Kwa mantiki ya kawaida, baada ya watu kuuawa, wengi wangetegemewa “kukaa kimya.”
Lakini mara nyingi mambo huwa tofauti.
-Kwanini watu wanaendelea kuandamana LICHAA YA WOGA?
Hapa ndipo tunapoingia kwenye human nature na collective psychology.
(a) Woga unaweza kubadilika kuwa hasira
Katika baadhi ya jamii, badala ya kuogopa, watu wanajikuta wakiuliza:
“Kwa nini ndugu yetu ameuliwa?”
“Kwa nini haki haikutendeka?”
“Ikiwa tumenyamaza leo, kesho inaweza kuwa mbaya zaidi.”
Hasira + maumivu = watu kuamua kufeel wana deni la kupigania kilichopotea.
(b) Ukandamizaji ukizidi, watu wanaweza kukosa cha kupoteza
Katika saikolojia ya maandamano:
Watu wanaweza kuona maisha yao tayari ni magumu, wamenyang'anywa sauti, haki, na usalama — hivyo wanahisi hata kukaa kimya hakuwalindi.
(c) Kifo cha watu kinaumiza jamii nzima
Matukio makubwa ya mauaji huwa kama "spark."
Hivyo, badala ya kuzuia maandamano, mara nyingi yanaongeza hamasa — jeuri ya dola inapoonekana wazi, watu wengine hutaka kuonyesha mshikamano.
(d) “Generational bravery” — mara nyingi vijana hawana woga wa zamani
hawajapitia hofu ya enzi za nyuma
wana mitandao
wana anger ya kukosa ajira na haki
Youth bulge = motivation yangi ya kuchukua majukumu kijamii.
(e) Maandamano huwa si decision ya mtu mmoja — ni ya UMATI
Psychology ya umati ni tofauti kabisa na psychology ya mtu mmoja.
Umati unapoanza kuamini:
“tuko wengi”
“haiwezekani tukafa wote”
“hii ni nchi yetu”
hamasa inakuwa kubwa kuliko hofu.
3️⃣ Human nature ina sehemu kubwa hapa
Kwa mujibu wa tafiti, binadamu huwa na tabia tatu za msingi zinazoendesha upinzani:
1️⃣ Haki (Justice drive)
Watu wanapohisi haki imepindishwa, wanakuwa tayari kuchukua hatari.
2️⃣ Utambulisho (Identity drive)
Uneness — kuwa sehemu ya kitu kikubwa kuliko mtu mmoja.
3️⃣ Hofu ikizidi kiwango fulani, haina tena nguvu
Hofu ina limit.
Ikizidi, inageuka kuwa “nimechoka.”
4️⃣ Kwa nini hii inaweza kutokea Tanzania sasa
Kwa ujumla (bila kuchochea), Tanzania sasa ina mchanganyiko wa:
Uchungu wa mauaji
Hasira ya uchaguzi
Youth frustration
Feeling of injustice
Symbolism ya tarehe 9 Dec
Wananchi kutaka dunia ijue kilichotokea
Hivyo, watu wengine hawaoni tena woga kama kinga — wanaona kama mzigo.
5️⃣ Usichukulie kuwa watu hawajui hatari
Watu wanaofanya maandamano si kwamba hawaogopi risasi.
Ni kwamba:
Hicho ndicho kinachofanya human beings, popote duniani, kuendelea kupambana licha ya nafasi ya madhara.
We wont stop until we winPanick mode initiated.....
Told ya........... Hit them were it hurts more........
#Mbuga zinauma nyieeeee
Loliondo.Panick mode initiated.....
Told ya........... Hit them were it hurts more........
#Mbuga zinauma nyieeeee
Mabakamabaka.kamaba
Umezoea kuchomolewa ndo unye?We watu wakipangwa inakuuma nini,, chomoa unye basi au kama rahisi wapange wewe