MamaSamia2025 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2012 Posts 19,416 Reaction score 40,265 Jul 1, 2025 #11,661 felakuti said: Niliandika Uzi wangu wa kuwaasa watanzania haswa wakristo kupiga maombi ya vita na kuhakikisha unasindikiza maombi na sadaka unainenea kabisa Click to expand... Acha kushauri upumbavu.
felakuti said: Niliandika Uzi wangu wa kuwaasa watanzania haswa wakristo kupiga maombi ya vita na kuhakikisha unasindikiza maombi na sadaka unainenea kabisa Click to expand... Acha kushauri upumbavu.
zumbemkuu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2010 Posts 11,322 Reaction score 9,771 Jul 1, 2025 #11,662 Saint Anne said: Zile pesa ulisema unazo zinazagaa Liverpool ikishinda unapata pesa. Ndio utajiri wenyewe Boss. Click to expand... Hahahah, zimeanza ku flow, subiri ntakuita hapo Kibozone siku si nyingi.
Saint Anne said: Zile pesa ulisema unazo zinazagaa Liverpool ikishinda unapata pesa. Ndio utajiri wenyewe Boss. Click to expand... Hahahah, zimeanza ku flow, subiri ntakuita hapo Kibozone siku si nyingi.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 1, 2025 #11,663 Saint Anne said: Coca unacheka nini? Click to expand... Yaan siku hizi kila mtu kitengo, mbna naogopa Lol
Saint Anne said: Coca unacheka nini? Click to expand... Yaan siku hizi kila mtu kitengo, mbna naogopa Lol
Kingfisher JF-Expert Member Joined May 22, 2015 Posts 4,974 Reaction score 8,116 Jul 1, 2025 #11,664 Saint Anne said: Coca unacheka nini? 😁 Click to expand... Upo?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 1, 2025 #11,665 cocastic said: Yaan siku hizi kila mtu kitengo, mbna naogopa Lol Click to expand... Coca tupo na watu wa system humj Ohooo! Tujikite tu kwenye umbea selfika kwetu kule Ugomvi wa umbea siyo sawa na wa mambo ya system
cocastic said: Yaan siku hizi kila mtu kitengo, mbna naogopa Lol Click to expand... Coca tupo na watu wa system humj Ohooo! Tujikite tu kwenye umbea selfika kwetu kule Ugomvi wa umbea siyo sawa na wa mambo ya system
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 1, 2025 #11,666 Kingfisher said: Upo? Click to expand... Nipo Mkuu, Mambo vipi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 1, 2025 #11,667 zumbemkuu said: Hahahah, zimeanza ku flow, subiri ntakuita hapo Kibozone siku si nyingi. Click to expand... Sasa toka zimeanza kuflow Mkuu unazitafuna pekeyako tu Siyo sawa kabisa😄
zumbemkuu said: Hahahah, zimeanza ku flow, subiri ntakuita hapo Kibozone siku si nyingi. Click to expand... Sasa toka zimeanza kuflow Mkuu unazitafuna pekeyako tu Siyo sawa kabisa😄
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 1, 2025 #11,668 Saint Anne said: Coca tupo na watu wa system humj Ohooo! Tujikite tu kwenye umbea selfika kwetu kule Ugomvi wa umbea siyo sawa na wa mambo ya system Click to expand... Kwa kwelii, tujikite na Umbea wa selfika, haya mambo ya kuchokoza mamlaka, yanaepukika kabisaa. Lol
Saint Anne said: Coca tupo na watu wa system humj Ohooo! Tujikite tu kwenye umbea selfika kwetu kule Ugomvi wa umbea siyo sawa na wa mambo ya system Click to expand... Kwa kwelii, tujikite na Umbea wa selfika, haya mambo ya kuchokoza mamlaka, yanaepukika kabisaa. Lol
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 1, 2025 #11,669 cocastic said: Kwa kwelii, tujikite na Umbea wa selfika, haya mambo ya kuchokoza mamlaka, yanaepukika kabisaa. Lol Click to expand... Bora tuwachokoze akina Boss ledi Watatuchamba tu ila hawana virungu Haya mambo ya kuchokoza waty wa system, wana risasi hawa watatumwaga ubongo😂😂
cocastic said: Kwa kwelii, tujikite na Umbea wa selfika, haya mambo ya kuchokoza mamlaka, yanaepukika kabisaa. Lol Click to expand... Bora tuwachokoze akina Boss ledi Watatuchamba tu ila hawana virungu Haya mambo ya kuchokoza waty wa system, wana risasi hawa watatumwaga ubongo😂😂
Kingfisher JF-Expert Member Joined May 22, 2015 Posts 4,974 Reaction score 8,116 Jul 1, 2025 #11,670 Saint Anne said: Nipo Mkuu, Mambo vipi Click to expand... Fureshi
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 1, 2025 #11,671 Kingfisher said: Fureshi Click to expand... Za siku nyingi? Umeadimika jukwaani
Afghanistan JF-Expert Member Joined Dec 18, 2022 Posts 1,307 Reaction score 2,000 Jul 1, 2025 #11,672 Huu Uzi utakuwa hai mpaka pale agano litakapotimia,yes July ndo hii Sasa..term ya kutimiliza yote yaliyonenwa na kuandikwa kwamba hayana budi kutokea
Huu Uzi utakuwa hai mpaka pale agano litakapotimia,yes July ndo hii Sasa..term ya kutimiliza yote yaliyonenwa na kuandikwa kwamba hayana budi kutokea
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 1, 2025 #11,673 Saint Anne said: Bora tuwachokoze akina Boss ledi Watatuchamba tu ila hawana virungu Haya mambo ya kuchokoza waty wa system, wana risasi hawa watatumwaga ubongo Click to expand... Haswaaa sis,
Saint Anne said: Bora tuwachokoze akina Boss ledi Watatuchamba tu ila hawana virungu Haya mambo ya kuchokoza waty wa system, wana risasi hawa watatumwaga ubongo Click to expand... Haswaaa sis,
TUJITEGEMEE Platinum Member Joined Nov 6, 2010 Posts 27,297 Reaction score 28,006 Jul 2, 2025 #11,674 Afghanistan said: Huu Uzi utakuwa hai mpaka pale agano litakapotimia,yes July ndo hii Click to expand... Ahadi tuliyonayo ni ya December 25, 2025
Afghanistan said: Huu Uzi utakuwa hai mpaka pale agano litakapotimia,yes July ndo hii Click to expand... Ahadi tuliyonayo ni ya December 25, 2025
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jul 2, 2025 #11,675 Mbabani said: Notification zinakuja nyingi, kumbe member wanazogoa tu Click to expand... Kuna wavamizi , ukiwaona hao,tulia kdg
Mbabani said: Notification zinakuja nyingi, kumbe member wanazogoa tu Click to expand... Kuna wavamizi , ukiwaona hao,tulia kdg
Kingfisher JF-Expert Member Joined May 22, 2015 Posts 4,974 Reaction score 8,116 Jul 2, 2025 #11,676 Saint Anne said: Za siku nyingi? Umeadimika jukwaani Click to expand... Mambo mengi….na uzee nao unakaribia 😂
Saint Anne said: Za siku nyingi? Umeadimika jukwaani Click to expand... Mambo mengi….na uzee nao unakaribia 😂
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 2, 2025 #11,677 Coca yaani unasema sawa huku ukiendelea kuwacheka watu wa system cocastic said: Haswaaa sis, Click to expand...
Coca yaani unasema sawa huku ukiendelea kuwacheka watu wa system cocastic said: Haswaaa sis, Click to expand...
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Jul 2, 2025 #11,678 Uzi ushakua chit chat
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 2, 2025 #11,679 Na wazee nao watasemaje?😁 Kingfisher said: Mambo mengi….na uzee nao unakaribia 😂 Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 2, 2025 #11,680 Tresor Mandala said: Kuna wavamizi , ukiwaona hao,tulia kdg Click to expand... Kabla hatujaharibu mtiriko wa uzi ngoja tuondoke😂😂😂😂 Tusameheni jamani Tulijua tupo chitchat.
Tresor Mandala said: Kuna wavamizi , ukiwaona hao,tulia kdg Click to expand... Kabla hatujaharibu mtiriko wa uzi ngoja tuondoke😂😂😂😂 Tusameheni jamani Tulijua tupo chitchat.