Na jamaa anawaokota anazikusanya si mchezo wanajua story yakeBuyobe anakuja kuiba huku![]()
Wajuaje kama ndo msimuliaji huku?Na jamaa anawaokota anazikusanya si mchezo wanajua story yake
Sawa mkuuWajuaje kama ndo msimuliaji huku?
What if ndo kazi yake yeye kama yeye? What if wao ndo humpa mikasa wenyewe aje kusimulia? Na huwa si wajua mikasa kama hivyo huletwa kabisa purposely huku kwenye public? I never mind. Naamini anajua kbs kote watu wanapita na wanasoma. What if yeye ni kitengo pia? Kawaida sana.
Punguzeni ujuajiNa jamaa anawaokota anazikusanya si mchezo wanajua story yake
Ushahidi maana jamaa Twitter kaanza kupost akat uku imefka katkatPunguzeni ujuaji
Hii story hapa JF naona post ya kwanza ililetwa March 2022 wakati stori hii hii ipo telegram group ya Buyobe Since 2021 kati ya June na september Sasa hapa nani mwizi?
Huyo kijana mwenye suti nyeusi hapo kushoto yumkini ana majukumu mazito nchi hii pia sio kunguru mweusi huyo kweli sijui mwewe

Huyo ana code zake za marangi rangi kwenye ukunguru/umwewe hayupo ni kijiwe Cha Kahawa tu pakupatia infos.Huyo kijana mwenye suti nyeusi hapo kushoto yumkini ana majukumu mazito nchi hii pia sio kunguru mweusi huyo kweli sijui mwewe
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Tufanyeje sasa,kama mwanzilishi kaamua hivyo ndo tunasubiri.Naona wadau mnaisubiria December
Tarehe April 1st ni siku ya wajinga duniani usitutishe eboWakazi wote waishio mji uitwao Bandari salama mmepata neema ya kujiandaa na kujiokoa na yajayo.
Litatokea tetemeko kubwa zaidi ya lililotokea Turkeyo, maji ya Bahari yatatikiswa Nchi kavu itapasuliwa na Kutokea shimo kubwa, maji yatafunika mji wote, haitasalia nyumba juu ya ardhi iliyo salama.
Wana wa Mungu wamepewa majira ya Kutokea dhahama hiyo Ili wajiandae kuhama.
Majira ni:
Tarehe (1-20).
Mwezi: APRIL -May
Mwaka: 2024.
Safety zone: Kuanzia KIBAHA, jumba la ndege.
Source: Tembelea UNYAKUO TV channel Kwa maelekezo zaidi.
NB; Wajinga watachukua hatua maana Bado muda upo, ila werevu, wajuaji, wasioamini, viburi watasubiri yatokee.
Mungu ibariki Nyikani.
AMEN.
Majira na nyakati kuanzia(Avril 1-20, Mai 1-20) year 2024 ni siku za wajinga?Tarehe April 1st ni siku ya wajinga duniani usitutishe ebo
Huwa narudia sana comment hii SAMURAI!!somebody from west used as the bargaining chip in the new strategy which was planned long time but taking charge too fast someyears back, whatch out even what you see now and here is one of the strategy, go back too far and read me hope you will have some clues.
the dark dip state want to change the style of management for the future of their interest incase vibwengo gets head up and start to think in other way. The management of the company dip state want to be handled over to magharibi, to overthrow this need time, dedication, blood and highly intelligent trick ( even this is the trick also).
If succeded, you will be managed from west and there will be no more locals dip state, hahahahaha, the good thing, the peace will prevails under dark dip state, controlling the new boss and his guys.
The strategy is very technic and started long time though depends on strong base/roots installed since long fucker by dark dip state, this roots take most of vibwengo population as well as some important members of dip state though some of them are not into this and tried ro fight somewhere but they have got neither bases nor backups, tired and thinks of resting.
Nakukubali sana mwalimuWakazi wote waishio mji uitwao Bandari salama mmepata neema ya kujiandaa na kujiokoa na yajayo.
Litatokea tetemeko kubwa zaidi ya lililotokea Turkeyo, maji ya Bahari yatatikiswa Nchi kavu itapasuliwa na Kutokea shimo kubwa, maji yatafunika mji wote, haitasalia nyumba juu ya ardhi iliyo salama.
Wana wa Mungu wamepewa majira ya Kutokea dhahama hiyo Ili wajiandae kuhama.
Majira ni:
Tarehe (1-20).
Mwezi: APRIL -May
Mwaka: 2024.
Safety zone: Kuanzia KIBAHA, jumba la ndege.
Source: Tembelea UNYAKUO TV channel Kwa maelekezo zaidi.
NB; Wajinga watachukua hatua maana Bado muda upo, ila werevu, wajuaji, wasioamini, viburi watasubiri yatokee.
Mungu ibariki Nyikani.
AMEN.
Kwa hio tuhame dar?Wakazi wote waishio mji uitwao Bandari salama mmepata neema ya kujiandaa na kujiokoa na yajayo.
Litatokea tetemeko kubwa zaidi ya lililotokea Turkeyo, maji ya Bahari yatatikiswa Nchi kavu itapasuliwa na Kutokea shimo kubwa, maji yatafunika mji wote, haitasalia nyumba juu ya ardhi iliyo salama.
Wana wa Mungu wamepewa majira ya Kutokea dhahama hiyo Ili wajiandae kuhama.
Majira ni:
Tarehe (1-20).
Mwezi: APRIL -May
Mwaka: 2024.
Safety zone: Kuanzia KIBAHA, jumba la ndege.
Source: Tembelea UNYAKUO TV channel Kwa maelekezo zaidi.
NB; Wajinga watachukua hatua maana Bado muda upo, ila werevu, wajuaji, wasioamini, viburi watasubiri yatokee.
Mungu ibariki Nyikani.
AMEN.
Wahame bandari salama,Kwa hio tuhame dar?