Binafsi pia ni mpenzi wa hii riwaya ufundi ni mwingi sana kongole kwa mwandishi, katika hali ya kawaida tu kuna mda nimekuwa nikijaribu kutaka kujua baadhi ya mambo kuhusu huu uzi je?
.Nani mwandishi wa hii riwaya in real life.
.pili kwanini anajua hadi conversations za mdomo kwa mdomo za wahusika waliokuwa wamejifungia ndani wawili tu, hasa za new ceo.
.tatu kusudi la hii riwaya ni nini.
.nne nani mlengwa wa hii riwaya(mlaji).
.tano je ni yepi maslahi ya mtoa riwaya.
Najaribu kutafakari kuwa endapo tutaweza kuyajibu kwa usahihi haya maswali huenda tukajikuta angalau kuweza kupredict mwandishi ni yupi ama anatokea ngome ipi na pia tukajua lengo lake au lao la kuleta hiki ninachoweza kusema ni kuwaanda kisaikolojia ama kuomba kibali kwa customers ili kumu eliminate the so called BT, maana baada ya tamthilia hii ni wazi kuwa asilimia kubwa ya customers watakuwa wamemchukia BT na hawatokuwa surprised siku wakisikia he is passed away


for the sake of the company.
#nawaza kwa karamu
