Dare if you can. This is the tallest building in East and Central Africa kissing the sky.

Mimi kisw nakifaham vizuri sana,japo sijabobea kwani sikukipa uzito unaostahili.
 
Hata mjenge gorofa mia tano,who cares ?
Mbona hasira?
Waambie wenzako akina tuusan
 
Mimi kisw nakifaham vizuri sana,japo sijabobea kwani sikukipa uzito unaostahili.
Kwa kawaida, Mtanzania wa kawaida anakifahamu kiswahili vizuri kushinda Mkenya wa kawaida, hilo halina ubishi. Hata Wakenya wenyewe wanakubali kwamba hilo ni ukweli.
 
Kwa kawaida, Mtanzania wa kawaida anakifahamu kiswahili vizuri kushinda Mkenya wa kawaida, hilo halina ubishi. Hata Wakenya wenyewe wanakubali kwamba hilo ni ukweli.
Wewe umewezaje maana wakenya wengine hapa bado hawewez kuunda hata sentensi moja ikanyooka
 
The building is ok but spire is 60M alone which doesn't make any sense to what you r saying...
a building ni a structure where more than 50% of its total height is habitable, so more that 50% of Britam is habitable. Na spires is a very common thing, for aesthetic purposes etc
 
Nikwel unaweza kua na macho na usione...
Ni nini cha kushinda mtu kuona hapo?

TELPOSTA TOWERS
Hiyo ni Kama kusema kwamba haya majengo mawili ya Nairobi pia ni twin towers
NSSF BUILDING
 

Attachments

  • images (66).jpeg
    28.1 KB · Views: 19
  • images (65).jpeg
    40.5 KB · Views: 19
Ndio maana katika list ya nyumba ndefu zingine hazihusishi nyumba zenye spire just get you r facts right
Hata tukitoa Britam bado Kenya inadominate list. Mlishinda mkilialia floors sahii hamuezi hata taja kitu Kama floors hapa. Tishio kubwa kwa Nairobi ni Addis Ababa. Dar mko nyuma Sana. Nairobi bado ndio kusema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…