Dare if you can. This is the tallest building in East and Central Africa kissing the sky.

Siku likishuka mtalia na kusaga meno,na hivi mmejengewa na mchina,lifespan yake hata 20 halitazidi.
 
Si wivu, that thingy is not appealing to my eyes.
Bora umeelewa what I meant then its okay, imekaa ama wollefa
Hii nyumba ni classic bro,macho yako yamezoea kuona zege sio?


Ukicheck pembeni utaona Mzizima towers nazo zinakuja kwa kasi ya 5G ....35,32 flrs respectively View attachment 1123228
tapatalk_1560020047416.jpeg
 
Huu mwaka ni very possible,
Na mkimaliza hizo gorofa mko na zingine mnajenga?
Na how comes all your tall buildings are built by the government?
Zilikua priority za mifuko ya kijamii kuwekeza kwenye nyumba ndefu back then, nowadays gov is stressing more on infrastructures ,some ar now investing in sugar industries and others Hii ni kulingana na sera zinavyobadilika
 
Zilikua priority za mifuko ya kijamii kuwekeza kwenye nyumba ndefu back then, nowadays gov is stressing more on infrastructures ,some ar now investing in sugar industries and others Hii ni kulingana na sera zinavyobadilika
Yeah mmekuwa na boom ya highrise buildings.
But your street plannings hazinifurahishi. Government should work on those city roads
 
nyie kunguni wa kenyata mnakuja kututisha kwa vipicha picha vyenu,,eti nyie funza,,,

Acheni dharau na ushamba,,hayo majengo yamejaa hapa bongo,,njooni basi myapige picha mrushe kwenye media na ushamba wenu nyang'au nyie,,
 
nyie kunguni wa kenyata mnakuja kututisha kwa vipicha picha vyenu,,eti nyie funza,,,
Acheni dharau na ushamba,,hayo majengo yamejaa hapa bongo,,njooni basi myapige picha mrushe kwenye media na ushamba wenu nyang'au nyie,,
ah aah... sio kwa uchafu ule wa Manzese, Bugruni, Mwananyamala na Mbagala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom