mselambaya
Senior Member
- Jan 10, 2017
- 106
- 77
Ahsante
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Tuko pamoja mwalimu.asanteSomo la pili Sehemu ya pili (lesson two, part two).
Leo mwalimu ameamua kukuletea huu mwendelezo bila kuchelewa akiamini kuwa mwanadarasa una kiu na njaa ya kujifunza mengi.
Katika sehemu hii ya pili ya somo la pili tutaenda kuendelea kuangalia baadhi ya vitu tulivyovianza katika sehemu ya kwanza leo tutaenda kuanza na kundi la kwanza kwenye sababu za kupuuza sauti ya ndani (inner voice).
Sehemu ya kwanza kuna AYA ililitaja kundi hilo la kwanza nayo ilikuwa hivi;
"Kundi hili la kwanza sauti hii inapuuzwa na msingi ambao umemjenga mwanajamii ambao uko juu ya neno KAWAIDA hapa uhusika zaidi na sauti inayohusika na shughuli za kuyajenga maisha zinazomuingizia kipato"
Ni imani ya mwalimu kuwa Aya hiyo unaikumbuka vyema na kama haukumbuki rejea kusoma sehemu ya kwanza ili uweze kwenda sawa na mwalimu.
Hapa tuliongelea kwamba mwanadarasa amejengwa katika msingi ambao shughuli zake azifanyazo kila siku ili aweze kuwa hai (alive) basi shughuli hizo ni zile za KAWAIDA ambazo tayari zipo na zinafanywa katika jamii, au kwa lugha rahisi zinafanywa kwa mazoea au zimezoeleka kufanyika katika jamii, hebu tazama kulia na kushoto mwanadarasa hicho unachokifanya kikoje au nawewe unakifanya kwasababu umekuta kipo kinafanyika? Basi hapo utakubaliana na mwalimu kuwa unalitukuza neno KUIGA kama mwalimu alivyolizungumzia katika masomo yaliyopita, na kwa njia hiyo unazidi kumpa raha SUPERIOR.
Jinsi ya kutoka kwenye huu msingi uliojengeka kwenye neno KAWAIDA au mazoea ni kuiruhusu akili yako iende mbali zaidi kufanya REASONING nje ya zile 20%, kwasababu kuendelea kudumu katika msingi wa neno KAWAIDA au mazoea REASONING inayofanyika hapo ni chini ya 20% kwasababu akili inaenda kwa KUIGA ambapo hapo kutajitokeza neno lingine linaloitwa "ULIZA"
Neno ULIZA ni kijimsingi kidogo ndani ya msingi KAWAIDA kijimsingi hiki kinaenda kinyume na REASONING, wakati kitendo cha reasoning kimesimamia neno KUJIULIZA huu msingi unaenda kijimsingi kinachosimamia neno ULIZA haya ni meneno mawili tofauti ambayo moja linakutaka wewe utumie uwezo wako huku lingine likikutaka utumie uwezo wa mwingine na nirahisi kutumia uwezo wa mwingine kwasababu kitu ni KAWAIDA kimezoeleka hapa ndipo mwanadarasa anapokuwa na utegemezi wa kifikra na utumwa wa kifikra.
Mwalimu anakukumbusha mwanadarasa kuwa mtu tunaemzungumzia hapa ni yule ambae anataka kufaulu maisha kwa njia halali (legal ways) hivyo mwalimu hahusiki na wale ambao kuyamudu maisha ni kwa njia ambazo ziko zaidi ya UBINADAMU.
Kutokana na kuwepo ndani ya msingi KAWAIDA mwanadarasa lazima ufeli maisha, wote unaowaona ambao wako ndani ya msingi huu hawapo hata kwenye 10% ya kufaulu maisha yao mwanadarasa anaweza kuona kuwa mbona wapo ambao wapo kwenye huu msingi ambao wanajishughulisha na ualimu kwasababu walikuta kuna kitu kinachoitwa ualimu au ni polisi kwasababu walikuta kitu kinachoitwa polisi na wana nyumba na usafiri wa kutembelea mwanadarasa ukaona hawa watu wamefaulu,
Mwalimu anakwambia mwanadarasa kuwa hawajafaulu hivyo kipimo cha kufaulu maisha ni nini???..................
Itaendelea
<H.FARADAY> (0625934471)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ujue we jamaa ni comedy sana...shusha vitu
Mwalimu anakupongeza kwa hilo endelea kukaa dawati la mbele, akitaka kuchagua monita wewe hata kusahau pia usisahau kumtafuta kwa namba hiyo kwa masomo yatakayokuwa yanaendelea whatsap.Asante sana mwalimu. Nahisi mimi ni muhudhuriaji namba moja wa darasa!
Angalau mwalimu anafurahi kupata maswali ya akili kidogo kutoka kwa mwanadarasa wake anaukumbuka msemo wa mwanafilosofia mmoja anaeitwa "Voltaire" <anakwambia judge man by his questions rather than his answers>.Mwalimu kuna sehemu umesema utegemezi wa kifikra na utumwa wa kifrika lakina kwenye maisha kuna kitu kinaitwa kushare idea unakizungumziaje?
makinikia
You're welcome.Mwalimu nimekuelewa sana
makinikia
Ngoja niichukue ilitubonge kwa undanYou're welcome.
Pia usisahau kuivaa hiyo namba mwisho wa somo kwa ajili ya masomo mengine yatakayokuwa yanaendelea whatsap.
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Unaquote Uzi wote huo kwa maneno ya kijinga kijinga tu na wewe unafurahia?shusha vitu
Kesho mwalimu ata-upload somo linalofuata mwanadarasa hivyo uwahi tu kesho kuingia darasani ukae dawati la mbeleMwalimu bdo tuna kiu na pindi