Watu wa zamani #13

Watu wa zamani #13

kafumo

Member
Joined
Aug 30, 2026
Posts
26
Reaction score
15
Sayari ya dunia ni kiumbe chenye uhai, ni hai kutokana maisha yanaendelea.

Kiumbe ni kitu chenye viungo, mfumo wa fahamu na kiumbe pia kina sehemu nyeti zake na hata sehemu ambazo kiumbe akiguswa anaweza kupoteza uhai wake.
Zaidi katika viumbe ni mfumo wa fahamu ambao kitaalamu wanaita mfumo wa neva.

Basi hata kiumbe sayari ya dunia ni hivyo hivyo kwa maana ya kuwa na vitovu vya nishati katika maeneo yake mbalimbali.

Elimu ya mashuleni wanaandika hilo pia na kufundisha habari ya mistari ya gridi katika somo la jiografia. Wakisema mistari ya gridi ni mistari ya kufikilika ya ulalo na wima na mistari hiyo hukutana katika maeneo maalumu na nilazima ikutane kutokana mingine ni wima na mingine ni ya ulalo.

Kwenye elimu ya shuleni wanafundisha ilipo kutana mistari hii ni sehemu maalumu lakini kwenye mafundisho ya kiroho sehemu hizo ndio vitovu vya nishati za kiroho.

Na makutano hayo ndio humo mara nyingi kuna shughuli za matambiko na minara ya mawasiliano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom