kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,241
- 18,506
Na kina kirefu pia....!!!hivi pale kumbe kuna mamba
Na kina kirefu pia....!!!hivi pale kumbe kuna mamba
Usijibu kirahisi rahisi wewe ndugu, swala sio kupitishwa, swala ni kazi hiyo kufanyika, kuna vitu vingi tumewahi kuambiwa hiki kimeidhinishwa lakini kufanyika kunabaki kuwa historiaMbona imeshapitishwa lijengwe jipya
Mbona imeshapitishwa lijengwe jipya
Daraja lile LA zamani laweza kuachwa tukajenga jipya the other side tena likiwa limenyooka na lisisimamishe shughuli yeyote ya usafiri pale.....Wakwere nisameheni naheshimu culture zetu za kiafrica ila ukweli ni kwamba maendeleo ni muhimu sana kwa kizazi kijacho
Hapana, Mjusi.umewahi ona kenge pale?
Aftaroo hilo daraja si linaelekea Kaskazini? Hebu wasubiri kwanza tupeleke maendeleo kwingine. Kwanza hawakutupigia kuraNgoja kwanza tumalizie fleiova, huko tutajibusti na rambi rambi ndio tupate nguvu ya kujenga.
So sad!!
Cha kushangaza pia huko huko ndio wanaounga mkono juhudi awamu hii wapo wengiAftaroo hilo daraja si linaelekea Kaskazini? Hebu wasubiri kwanza tupeleke maendeleo kwingine. Kwanza hawakutupigia kura
Nadhani zamani ndio walukuwepo. Ila kwa sasa watu wameyasogelea makazi yao nao guwa pia wanaondoka.Pale hamna mamba,mbona kuna watu wanaoga kule chini,tuache utani na mamba
Yap wajenge daraja pana zaidi linalopitisha magari mawili mawili. Ili isiwe tabu magari kupishana na wananchi kuvukaDaraja lile LA zamani laweza kuachwa tukajenga jipya the other side tena likiwa limenyooka na lisisimamishe shughuli yeyote ya usafiri pale.....Wakwere nisameheni naheshimu culture zetu za kiafrica ila ukweli ni kwamba maendeleo ni muhimu sana kwa kizazi kijacho
n kweli kbsa aisee, lile eneo linaongoza kwa break failure, yan unakuta roli/basi limepinduka au limeingia chaka ukiuliza unaambiwa break failure, tulishawah kurud kinyume nyume na basi mpk porini(Nilijua tumepanda weng wa kaskazn lakn ndo siku nilisikia sala za makabila karbun yote tz kwa wakat mmoja na din zote na wakimtaja Mungu kwa lugha zao kuna sister duu alikua amevaa ma headphone tangu ubungo lakn ghafla alipauka uso na michiriz ikamtoka mithiri ya paka aliyetoka kulamba chungu akanyeshewa na mvua huku akisali 'hope kile n kisambaa' nakat ubungo wakat tunasalimiana alinipungia tu mkono akiniambia tu "Hiiii" ), kuuliza eti break failure, asa nikajiuliza unapanda mlima break za nini? Nikaambiwa lilishndwa kupanda mlima dereva alipojarb na break nazo zikafail, na kale kamlima ni kadogo sana lakn ukpta pale bla kukuta gar limeponea chup chup n bahat. kuhusu mamba wapo kipind cha nyuma ulikua ukiwaona kbsa wakipanda kwenye vichuguu(asahv sivioni) na chakushangaza pembeni wenyej walikua wanafua.Wapajenge yani pale Kama kuna nuksi. Ukikutana Na lory breki zimekataa lazima lilete vihoja katikati pale
Seriously? Umeanza vzr sana ndugu, ila hapo pa kuacha watu wafe kwa sababu ya mazingira hatarishi in the name of kivutio/utalii na kumbukumbu ya vizazi vijavyo sijakuelewa ki vileNimependa UZI wako ila nimesikitika kidogo hapo uliposema " mita chache ukishavuka eneo la mafunzo ya Kijeshi Msata ". Mkuu usiamini Watu humu kwani kwa UBUNIFU na aina mpya ya UJASUSI uliopo duniani kwa sasa unaweza ukajikuta hicho ulichokisema tayari umesharahisisha Kazi za Watu. Vitu vingine tena hasa maeneo NYETI kama hayo epuka sana kuyaweka hadharani namna hiyo. Naomba radhi kama maelezo yangu haya yatakukwaza ila nirudie tu kukusihi tena kuwa USIAMINI kila Mtu humu Mtandaoni na hata hapo ulipo dunia ya sasa IMESHAHARIBIKA na Watu hadi Mataifa wanawindana / yanatafutana.
Ni kweli hilo daraja la Wami linatia AIBU ila huwezi jua yawezekana limeachwa hivyo lilivyo ili pengine liwe moja ya Kivutio cha Kale cha Watalii wa ndani ( sisi Wabongo na Wazungu ) na kumbukumbu kwa Watoto wetu akina Samora na Isabela na Vizazi vyao pia vijavyo.
Msichokijua juu ya hilo daraja ni kwamba huwa kuna mambo ya " Kiswahili " sana hapo yanatendeka kama Matambiko ya Kabila fulani maarufu kwa miaka 10 iliyopita ambapo kwa Wenyewe Madereva wanaopita hapo kuanzia usiku wa Saa 4 wanasema kama haupo " fiti " kwa " miziziology " na Wewe unaweza hilo Daraja usilione au ukashtukia tu umeangusha Gari.
Na kama haitoshi Mto Wami ndiyo Mto ulio na KINA kikubwa sana ambapo mara zote maji yake ukiyatizama kwa juu yanaonekana yametulia ila chini yake yanaenda kwa SPIDI kubwa mno. Kwa rekodi nilizo nazo hakuna Gari hapo ambalo limewahi kutumbukia na likaokolewa na nakumbuka Miaka ya 1993 hadi 1994 kuna Hiace moja ilizama hapo na ikapotea ghafla tu na Watu waliokuwa wakijiona ni Waogoleaji wazuri na Wao wakaamua kupiga " mbizi " kwa minajili ya kuliokoa lile Gari lakini na Wao walijikuta wakiwa ni " wasindikizaji " wazuri wa ile Gari ( namaanisha WALIKUFA ) na maiti zao hazikupatikana kabisa.
Na Wajuvi wa masuala ya Mito wanakuambia ni kheri udakwe na Mamba wa Mto Ruaha kuliko Mamba wa Mto Wami jibu wanalo wenyewe.
Hao "wenyeji hao". Sasa na wewe kajaribu kufua kama wao, ndio utakapojua kwa nini maji ya mto hayapaushi shati jeupen kweli kbsa aisee, lile eneo linaongoza kwa break failure, yan unakuta roli/basi limepinduka au limeingia chaka ukiuliza unaambiwa break failure, tulishawah kurud kinyume nyume na basi mpk porini(Nilijua tumepanda weng wa kaskazn lakn ndo siku nilisikia sala za makabila karbun yote tz kwa wakat mmoja na din zote na wakimtaja Mungu kwa lugha zao kuna sister duu alikua amevaa ma headphone tangu ubungo lakn ghafla alipauka uso na michiriz ikamtoka mithiri ya paka aliyetoka kulamba chungu akanyeshewa na mvua huku akisali 'hope kile n kisambaa' nakat ubungo wakat tunasalimiana alinipungia tu mkono akiniambia tu "Hiiii" ), kuuliza eti break failure, asa nikajiuliza unapanda mlima break za nini? Nikaambiwa lilishndwa kupanda mlima dereva alipojarb na break nazo zikafail, na kale kamlima ni kadogo sana lakn ukpta pale bla kukuta gar limeponea chup chup n bahat. kuhusu mamba wapo kipind cha nyuma ulikua ukiwaona kbsa wakipanda kwenye vichuguu(asahv sivioni) na chakushangaza pembeni wenyej walikua wanafua.