Daraja la Mabatini Mwanza linazinduliwa leo

Daraja la Mabatini Mwanza linazinduliwa leo

Weee Kijana wa mirongo ? au Mchakaoge?...ivo unawafahamu akina Mrisho matwisti, Mrhem.Mushini Chupa? na wanduguzake?
au wamjua Saleh Hazaa?,na akina wembo, na Mwl.Saidi Haylala,Shabaani sijda? hapo ndo ntajua Mzawa!!
Teh teh teh vijana wa Mwanza, huyu namjua sana ndugu zake kina Ahamad, Jidawi, Mbaraka.
 
Teh teh teh vijana wa Mwanza, huyu namjua sana ndugu zake kina Ahamad, Jidawi, Mbaraka.
MaShallah Shk. Ritz naona unaUmaarufu sana na kwa elmu yako kaBahari kumbe unaunganisha Jamii na MaTaifa......! Bila Shaka uliambulia darsa la ALMarhum Sheikh Al-Amin? Mwenyeezi Mungu akujaalie Tawfiq na Hassanat katika mizani yako.AMIN dua'a zako kwa Umma....
 
MaShallah Shk. Ritz naona unaUmaarufu sana na kwa elmu yako kaBahari kumbe unaunganisha Jamii na MaTaifa......! Bila Shaka uliambulia darsa la ALMarhum Sheikh Al-Amin? Mwenyeezi Mungu akujaalie Tawfiq na Hassanat katika mizani yako.AMIN dua'a zako kwa Umma....
Ameen Ameen Ameen kaka! Ni kweli Sheikh Amin Abdalah, Sheikh Maftah Lumumba, Sheikh Kassim Memon haya yalikuwa magogo ya Mwanza kipindi kile, hawa wote wameishatangulia mbele ya haki.
 
Ameen Ameen Ameen kaka! Ni kweli Sheikh Amin Abdalah, Sheikh Maftah Lumumba, Sheikh Kassim Memon haya yalikuwa magogo ya Mwanza kipindi kile, hawa wote wameishatangulia mbele ya haki.
Ahsant; Ritz kuniwajibisha kuwaombea Wazee wetu rehma naAamani na Maghafira juu yao na hapo mchangani.AMIN pamoja bila kumsaha Al-Alim Shk. Iddi Uledi "Rahmatullah 3aleh" Wallahi umenikumbusha kwa Shk.Qassim Memon mie alinipa faida nyingi zenye mafao katika maisha yangu, Na Sheikh Al-Amin alijenga imani yangu kuwa imara popote, Naam Shk. Amir Al-Maftah ndo alikuwa mlezi na kiburudisho cha roho kwani Suati yake ikifuatana na tabasamu yake hadi sasa sijapata sikia au kuona....!! tutaendelea kuwa kumbuka. " YaaRab Dhakirna mimaNaseyna"Amin, Hivyo shk ritz Madamu nyie mupo ninamini Umma upo bukheri mtasimamia amana za walotangulia Allah ibarikfikum.
 
Nashukuru mkuu kumbe mwenyeji MZ.! nafikiri wakati ule bado kuwa jiji...? blessings

Naam! Wakhti huo mza bado ni mkoa tu. Sio jiji!
Brbr karibu zote wakati huo zilikuwa vumbi.
Nakumbuka wakhti huo pale kunariz lumumba street ndio ilikuwa maskani zetu! Na ndio siku za mwanzo wale salma cone wanafungua.
Mza ilikuwa mza kwelikweli.
Na mazishi ya Marhum imam Amin Abdallah nilikuwepo na Nakumbuka sana kuwa tulimzika Saleh mabraza kwanza halafu kaburi la pili ni sheikh Amin Abdallah.
Subhannallah.
 
Naam! Wakhti huo mza bado ni mkoa tu. Sio jiji!
Brbr karibu zote wakati huo zilikuwa vumbi.
Nakumbuka wakhti huo pale kunariz lumumba street ndio ilikuwa maskani zetu! Na ndio siku za mwanzo wale salma cone wanafungua.
Mza ilikuwa mza kwelikweli.
Na mazishi ya Marhum imam Amin Abdallah nilikuwepo na Nakumbuka sana kuwa tulimzika Saleh mabraza kwanza halafu kaburi la pili ni sheikh Amin Abdallah.
Subhannallah.
YaaRabi Salama... Shk. Al-Qahtan, kumbe alwatan wa Mz... ulichakaraza hadi Lumumba? yaani kina Donge/Musa Maziwa/Big Mayai/Survye inn na akina Mazali hao ndo wakaribu..!!na msikiti wa Roudha upo jirani... Sasa vipi hukuaga ulvoondoka usukumani? itakupasa likizo moja tukawape re-union ikhwanna !! kutembeleana ni wajib, au siyo! ikibidi uozeshwe binti wa MZ.? ntafurahi kusikia the old golden days. BarakaAllah fikum.
 
YaaRabi Salama... Shk. Al-Qahtan, kumbe alwatan wa Mz... ulichakaraza hadi Lumumba? yaani kina Donge/Musa Maziwa/Big Mayai/Survye inn na akina Mazali hao ndo wakaribu..!!na msikiti wa Roudha upo jirani... Sasa vipi hukuaga ulvoondoka usukumani? itakupasa likizo moja tukawape re-union ikhwanna !! kutembeleana ni wajib, au siyo! ikibidi uozeshwe binti wa MZ.? ntafurahi kusikia the old golden days. BarakaAllah fikum.

Akhyi l kareem jazakka llah kheir kwa dua zako njema,
wewe unaonekana waifahamu mwanza nje ndani!
Mashaallah umenikumbusha mbali mno ulipowataja kina big mayai na mazali!
Wallah zamani ilikuwa raha sana.

Maisha yametupeleka kwenye bara zingine kabisa! Lkn wazo lako la reunion ni zuri mno.

Panapo majaaliwa twaweza kulipanga hilo bi idhni llah.

Allah akupe furaha fee deen wadunia km ulivonifurahisha mimi.

Shukran
 
Akhyi l kareem jazakka llah kheir kwa dua zako njema,
wewe unaonekana waifahamu mwanza nje ndani!
Mashaallah umenikumbusha mbali mno ulipowataja kina big mayai na mazali!
Wallah zamani ilikuwa raha sana.

Maisha yametupeleka kwenye bara zingine kabisa! Lkn wazo lako la reunion ni zuri mno.

Panapo majaaliwa twaweza kulipanga hilo bi idhni llah.

Allah akupe furaha fee deen wadunia km ulivonifurahisha mimi.

Shukran
Amin Walijamii3 alMuslimeen ! Al-habibu, Furaha yako ndo faraja yangu; Madamu tupo juu ya mgongo wa Ardhi hii.. Mie nilitalii MZ enzi hizo sikuwa na makaazi ya kudumu kila mkoa ilikuwa mpita njia !! Tutaonana One-day!!
Lakini hujanijibu ofa ya kupatiwa 2wife from Mwanza ? Yaa salaam Salm..... au mmoja akutosha? 3alaaKuli-Hali Maisha ndiyo yalivyo ArdhiiLLaah Wasi3 Muhimu 3amalli Saleha. Take care and wish you all success.AMIN
 
Amin Walijamii3 alMuslimeen ! Al-habibu, Furaha yako ndo faraja yangu; Madamu tupo juu ya mgongo wa Ardhi hii.. Mie nilitalii MZ enzi hizo sikuwa na makaazi ya kudumu kila mkoa ilikuwa mpita njia !! Tutaonana One-day!!
Lakini hujanijibu ofa ya kupatiwa 2wife from Mwanza ? Yaa salaam Salm..... au mmoja akutosha? 3alaaKuli-Hali Maisha ndiyo yalivyo ArdhiiLLaah Wasi3 Muhimu 3amalli Saleha. Take care and wish you all success.AMIN

Teh teh teh!
Al akhyi mashkur kwa ofa lkn naogopa masuuliya ya Uadilifu! Na mapirika ya dunia niliyonayo naweza pata dhambi bure ya kutokamilisha ule uadilifu. inshaalah kwa sasa huyu mmoja anitosha, lkn inshaallah I will keep that in mind; siku nikijiona niko tayari kubeba masuuliya basi ntakutafuta inshallah uwe mshenga wangu.

Jazakallah kheir.
 
Teh teh teh!
Al akhyi mashkur kwa ofa lkn naogopa masuuliya ya Uadilifu! Na mapirika ya dunia niliyonayo naweza pata dhambi bure ya kutokamilisha ule uadilifu. inshaalah kwa sasa huyu mmoja anitosha, lkn inshaallah I will keep that in mind; siku nikijiona niko tayari kubeba masuuliya basi ntakutafuta inshallah uwe mshenga wangu.

Jazakallah kheir.
Yaa 3eyni!! YaaSalaam !! Tushausiwa kuwahifadhi hawa na kuziba faragha za hapa na pale!!... Nawe wajitoa... Mpaka unitafute huoni mambo mangapi yatapita.!! Je, Waikimbia Sunna? Uadilifu unao shk. ujana unao, time unayo au mpaka upitwe na Treni ya MZ-TBR-DOM-DAR...? mmh yaoneka umedhibitiwa, Al-Habibi unaye wa majuu sii wa Kibongo? "masuliya wote tunatimiza... " Shk.. wapi wazee wa Zamanii !! wafikiri asingepoteza mda Yaani kusikia tuu Angesema nipelekeni leo leo au saa hivi chapchap!! Yallayalla !! 3alaa kulihali nimefurahi sana kuunganisha udugu na kubadilisha rai
Allah iBarik-fikum.. wa fiiAmaniLlah
 
Yaa 3eyni!! YaaSalaam !! Tushausiwa kuwahifadhi hawa na kuziba faragha za hapa na pale!!... Nawe wajitoa... Mpaka unitafute huoni mambo mangapi yatapita.!! Je, Waikimbia Sunna? Uadilifu unao shk. ujana unao, time unayo au mpaka upitwe na Treni ya MZ-TBR-DOM-DAR...? mmh yaoneka umedhibitiwa, Al-Habibi unaye wa majuu sii wa Kibongo? "masuliya wote tunatimiza... " Shk.. wapi wazee wa Zamanii !! wafikiri asingepoteza mda Yaani kusikia tuu Angesema nipelekeni leo leo au saa hivi chapchap!! Yallayalla !! 3alaa kulihali nimefurahi sana kuunganisha udugu na kubadilisha rai
Allah iBarik-fikum.. wa fiiAmaniLlah

Wallah Maneno yako kweli kabisa!

Subhanallah nakumbuka marhum mzee alikuwa na wanne! Lkn mi dhaifu ndugu yangu na khofu yangu ni kumkosea Allah kwa udhaifu nilionao lkn umenipa maneno ya kutia nguvu kidogo, inshallah ntakaa nitafakur kwa kina zaidi, wajua haya mambo al habeeb hayataki haraka!

Na huku nilipo wakigundua ninao wawili basi wananiweka ndani! Tuko na sheria za matwaghuti huku.

Yafaa kufanya hijra ya jumla turudi makwetu!

Basi inshallah dua zenu maulamaa zinahitajika ktk kutafuta nusra.

Jazakallah kheiran fee daraiyn.
 
Wallah Maneno yako kweli kabisa!

Subhanallah nakumbuka marhum mzee alikuwa na wanne! Lkn mi dhaifu ndugu yangu na khofu yangu ni kumkosea Allah kwa udhaifu nilionao lkn umenipa maneno ya kutia nguvu kidogo, inshallah ntakaa nitafakur kwa kina zaidi, wajua haya mambo al habeeb hayataki haraka!

Na huku nilipo wakigundua ninao wawili basi wananiweka ndani! Tuko na sheria za matwaghuti huku.

Yafaa kufanya hijra ya jumla turudi makwetu!

Basi inshallah dua zenu maulamaa zinahitajika ktk kutafuta nusra.

Jazakallah kheiran fee daraiyn.
Waiyaak; kweli haki yako.... upo vizuri kabisa na linalokuja from Allah kullo kheyr!! Tuweke imani kila lijalo lina mema yake Azza WajaLLa; "AlaIna NasurAllah qareeb mina Muhsineen"
Bila shaka Dua'a zetu zipo nanyi daima, Nanyi msitusahau .... Sawa alhabib kwa leo hadi hapo mbele " Taqabalallah mina waminkum Saleh Al-Amal" AMIN
 
Ndugu yangu mimi nilikuwa huko miaka ile ya 80s wakati MWATEX imepamba moto sana pale NYAKATO!
Na biashara ya pamba ndio ilikuwa kileleni kabisa.

Stand ya basi ilikuwa bado ni vumbi na matope matupu!

Na mabasi maarufu wakati huo yalikuwa ni tanganyika bus. Na moja nakumbuka pale mjini lilikuwa limeandikwa "geza ulole!"
Those were Good old days.




Kahtaan,

Salaam.

Nilichungulia hizi bayana zenu tangia majuzi,nami pia mumenipeleka mbali mno...Shukran nyingi zikufikeni juu yenu Maulamaa wangu!

Mimi binafsi nina hakika yakuwa sisi soote lazim itakua tunafahamiana uzuri tu,au itakua families zetu zajuana kitambo kingi!?...Wallahi,ni raha ilioje! Kwi! Kwi! Kwi!

Nakumbuka kitambo ilikua family yetu ikitembeleana mno na family ya Al Marhum Balozi Idd Mtingwa pale Mwanza. Yule Bwana alikua ni Sahib mkubwa mno wa Mzee Wangu.

Mara zoote tulipokua waduchu tukifikia kwake pale Mwanza,halikadhalika nao pia ilikua wakifikia nyumbani petu hapo D'salaam.

Kuna wakti nilikua nikizungumza na Shariff Ritz humu ,yeye ndo alonambia yakuwa kumbe yeye Balozi Mtingwa alikua ameoa kwa Al Marhum Sheikh Al-Amin pale Mwanza!?

Pia alinifahamisha yakuwa,yule Rukia Mtingwa ndo yupo pale Vodacom D'salaam. Mimi nilikua nikimkumbuka zaidi yule "Masele",dah! Yaani kitambo kingi sijakutana na hawa ndugu zetu maskini!

Lakini pia nakumbuka Shariff Abdallah Al Attas,pia kuna wakti alikwenda Mwanza na kumposea/kumuoza Alhaj Issa Mtambo. Najua Mzee Wangu alikuamo kwenye ule msafara wa Bwana harusi!

Nafikiri itakua basi wamfahamu yule Abass,aliekua akichezea Pazi Basketball Team,enzi ile pale Gymkhana Club!? Nafikiri huyu ni jamaa zao katika ile family ya Mwanza alokwenda kuoa Alhaj Issa Mtambo!?

Nakumbuka pale Mwanza pia palikua na family ya yule Al Marhum Jumbe Mkila,huyu Bwana nafikiri alikua na asili ya Bagamoyo!?

Lakini aliishi kitambi kingi pale Mwanza,wakti ule pia alikua ni mmojawapo ya Wafanyibiashara wazuri pale Mwanza khasa kwenye mambo ya stationeries. Baadae yule Nyerere na yule mpuuzi mwingine Moringe Sokoine walimtia ndani ati kwa yale makhanatha ya ule "uhujumu wa uchumi"!?

Maskini,kutokana na utu uzima wake na adhabu za kifungo kile cha kinafiki,alifariki nafikiri miaka michache baada ya kutoka kizuizini!

Dah! Yaani Nyerere kaadhibu mno Wazee Wetu,takriban katika kila pembe ya hiyo Tanganyika na katika awamu tafauti za utawala wake alituletea nakma/dhuluma za kiaina nyingine!

Mara ya mwisho binafsi kufika Mwanza ilikua kitambo kiduchu,nilifikia kwa family friend wetu/rafiki ya Mzee Wangu Mr Mwinjuma ndie aliekua GM wa ile MWATEX pale!

Pia nina hamu kubwa mno ya kurejea tena pale Tabora. Niliwahi kufika kitambo kingi mno.

Mara ya mwanzo ilikua kwenda kushuhudia wakti ule Mwenyekiti wa CCM Al Rais Bwana Ali Mwinyi,alipokwenda kuhutubia na kumpigia kampeni ndugu yetu Rostam Aziz,alipokua ndo anagombania ule ubunge wa Igunga kwa mara ya mwanzo!...lakini mie sina chama chochote cha kisiasa! Kwi! Kwi! Kwi!

Tabora pale pana personal memories nyingi mno za family yangu. Babu zangu woote wa pande zote mbili(kuumeni na kikeni),walisomea na kuhitimu pale Tabora tangia enzi ya Mjarumani.

Kuna wakti pia Mzee Wangu,alifuata foot steps naealisomea pale.

Napata khadith zilo njema mno za ndugu zetu/Wazee Wetu wa Tabora na Mwanza na kwingineko koote ndani ya Tanganyika kila mara nizungumzapo na Mzee Wangu. Hishma,mapenzi na tashrif nyingi mno alizopawa wakti mbali mbali wa shughuli zake kikazi na matembezi binafsi pia. Allah'amdulillahi...nafarijika mno nikiona/kusikia mshikamano mkubwa kama huu.

Mara ya mwisho kufika Tabora mimi binafsi,tulikwenda kumtembelea Lawrence Gama,wakti ule ndo alokua RC pale.

Huyu Mzee Gama,alikua ni mtu mstaarabu na mnyenyekevu mno. Nakumbuka ilikua ni Al Jumaa tupo pale Tabora.

Basi alitupeleka Masjid mimi na Mzee Wangu...na akatusubiria yeye na Driver wake mpaka Sala ilipokwishwa/ilipokamilika ndo tukarejea nae pamoja! Dah!

Yaani,kitambo palikua na watu waungwana mno...lakini amefariki maskini!

Nakumbuka siku ya pili yake bado tupo pale Tabora,akaja yule kichaa mwingine Augustine Mrema ati kukamata "mafisadi"!?

....hiyo story na vitimbi alivyofanza yule Mrema pale Tabora ni kichekesho na utacheka pita kiasi Akhiy! Kwi! Kwi!

Afrika
bana... yaani mpaka leo nastaajabu mno,ilikuaje mpaka Rais Mwinyi kumpa kanjanja kama yule wadhifa/cheo cha Naibu-Waziri Mkuu!? Dah!

Yuwapi CHAMVIGA nae,nimpe khabar nilipopeleka "posa" yangu pale Soni!? kwi! Kwi! Kitambo enzi ya "ujahil" nalikua na mchumba kiduchu na kibarua chake alikua ni askari/Traffic pale Soni!? kwi! Kwi!

Hii story ni ndefu na ya kuchekesha mno Akhiy...mpaka siku tukikutana kwa furaha zetu Insha Allah.

Yaani pia napapenda mno poote pale Mazinde,Mombo,Lushoto,Soni,Kilindi,Vunjo na vijiji/maeneo mengi mno yazungukayo huko.

....miaka ya early 1950's,Babu yangu alifanza maskani/makao yake pale Mazinde na alikua na biashara kubwa mno,kilimo/ardhi kubwa/nzuri...na pia akijulikana na kuheshimikana koote takriban kwenye maeneo hayo.

Kila Vijiji alivyokua akipita nduguze/Wazee Wetu wa maeneo hayo walikua wakimtaka/wakimnasihi aongeze Mke kutoka kwao! Kwi! Kwi!

Lakini ilipofika ile nakma ya yule Nyerere,ule utumbo wa "Azimio la Arusha"-1967,"tulitaifishiwa"/tulidhulumiwa takriban nusu ya hiyo biashara/kilimo choote...wajua Babu yangu maskini haikuchukua muda mwingi alifariki maskini kwa joto la roho! Dah!

Khalaf,ati wanatokea brainwashed/mashangingi wa hoja humu JF,ati kutaka kunirubuni kwa hoja zao dhaifu ili nimpende yule khabith/maluuni Nyerere!? Thubutu thuma thubutu!!

Life is short...je nikuulize khabar za Mukaram,Sharjah,Seiyun au Sheibam mwenzetu!? kwi! kwi!

...nimefurahika Akhiy,hiyo offer ya kumuongeza Mke ndugu yetu Maulana Al Duktuur Kahtaan....lakini,naona keshajifanza kukwepa kiduchu,italazim tumfanzie hila zoote mpaka atimize wajibu huo wa kiungwana! Kwi! Kwi!

Wallahi,nimefurahika mno tumezungumza japo kiduchu.

Ahsantani sana.
 
YaaRabi Salama... Shk. Al-Qahtan, kumbe alwatan wa Mz... ulichakaraza hadi Lumumba? yaani kina Donge/Musa Maziwa/Big Mayai/Survye inn na akina Mazali hao ndo wakaribu..!!na msikiti wa Roudha upo jirani... Sasa vipi hukuaga ulvoondoka usukumani? itakupasa likizo moja tukawape re-union ikhwanna !! kutembeleana ni wajib, au siyo! ikibidi uozeshwe binti wa MZ.? ntafurahi kusikia the old golden days. BarakaAllah fikum.

Namkumbuka Marehem Saleh Donge na Hussein (Big Mayai, siku hizo ndio kwanza kaoa mid 70s), wakikaa nyumba moja na Marehem Mkwe wangu. Mtaa wa Karuta. Dah, mmenikumbusha mbali sana, Mwenyeezi Mungu awarehem wazee wetu. Hussein Big Mayai nilikutana nae wakati anakaa Livingstone pale ilipokuwa Khalid Laundry, nilienda kumuona mkewe twafahamiana sana.
 
Ritz kahtaan

Mnawataja watu wa Mwanza> wakwe zangu walikuwa huko, nikienda sana Mwanza wakati wako hai, Al Marhum Abdallah Ngozi.

Allah yarhamu jamiian, kumbe ukhti FaizaFoxy na wewe pia ni mwenyeji wa mwanza?
wallah such a small word innit??

Huenda sisi ikawa ni ndugu wa damu. manake mpaka naanza kuogopa kuuliza maswali zaidi kwa shariff Ritz.
huyu swahiba wangu kila nimjuae mimi na yeye amjua pia.

itabidi tutafute siku tuongee kwa kituo insha llah.
 
Last edited by a moderator:
Daraja hili ni mithili ya lile la Manzese , au lile la Shinyanga Railway Station.
Ni la binadamu ku'cross from one side to another .
Liko karibu na unapokatiza Mto Mirongo .
Wenyeji wanapaita Fonia .


Hahahahaaaaa

FONIA
 
Allah yarhamu jamiian, kumbe ukhti FaizaFoxy na wewe pia ni mwenyeji wa mwanza?
wallah such a small word innit??

Huenda sisi ikawa ni ndugu wa damu. manake mpaka naanza kuogopa kuuliza maswali zaidi kwa shariff Ritz.
huyu swahiba wangu kila nimjuae mimi na yeye amjua pia.

itabidi tutafute siku tuongee kwa kituo insha llah.

Mimi mume wangu wazee wake walikuwa Mwanza, si mwenyeji kiasi hicho ila nikienda sana kuwatembelea walipokuwa hai. Mwenyeezi Mungu awarehem, baba mkwe wangu akiitwa Abdallah Ngozi, alikuwa maarufu sana Mwanza na Bukoba.
 
Mlioko mwanza,ina maana hakuna aliyeweza kupiga picha ya kivuko hicho na kuibandika hapa?
 
Back
Top Bottom