Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,314
Heshima kwenu wakuu,
Nampongeza sana mbunge wa Viti maalumu ccm mkoa wa mwanza Mama Maria Hewa kwa jitihada zake za kufuatilia Daraja la watu kupita juu (fly over )Mabatini Mwanza .Bungeni ameshauliza maswali mara mbili na sasa mkandarasi ameshaanza maandalizi.
Na sasa weka jitihada barabara ya sabasaba hadi PPF iwekwe lami .
wakati Wenje akitujazia machinga hadi kwenye njia za waenda kwa miguu na nje ya maduka yetu,wewe lete maendeleo kwa wote .
Nampongeza sana mbunge wa Viti maalumu ccm mkoa wa mwanza Mama Maria Hewa kwa jitihada zake za kufuatilia Daraja la watu kupita juu (fly over )Mabatini Mwanza .Bungeni ameshauliza maswali mara mbili na sasa mkandarasi ameshaanza maandalizi.
Na sasa weka jitihada barabara ya sabasaba hadi PPF iwekwe lami .
wakati Wenje akitujazia machinga hadi kwenye njia za waenda kwa miguu na nje ya maduka yetu,wewe lete maendeleo kwa wote .