Daraja la Mabatini Mwanza linazinduliwa leo

Daraja la Mabatini Mwanza linazinduliwa leo

Watanzania kweli wengi hamjitambui, ukiangalia mnavyo ongelea hili daraja!
Ndio maana mnatoka dar na msafara wa magari kwenda kuzindua visima na madarasa, badala ya kufikri miradi ya vizazi vingi kama kutoa maji ziwa victoria kwenda dar, kujenga ukanda wa viwanda, kutambua kuwa ktk dunia ya leo huwezi shindana kwenye soko ajira na uchumi wa maarifa ya digital kwa kutumia kiswahili na mara moja kubadilisha mfumo mzima wa elimu, bado mna umaskini mkubwa wa mawazo.
 
Watanzania kweli wengi hamjitambui, ukiangalia mnavyo ongelea hili daraja!
Ndio maana mnatoka dar na msafara wa magari kwenda kuzindua visima na madarasa, badala ya kufikri miradi ya vizazi vingi kama kutoa maji ziwa victoria kwenda dar, kujenga ukanda wa viwanda, kutambua kuwa ktk dunia ya leo huwezi shindana kwenye soko ajira na uchumi wa maarifa ya digital kwa kutumia kiswahili na mara moja kubadilisha mfumo mzima wa elimu, bado mna umaskini mkubwa wa mawazo.
 
Ustaadhi mliishi mwaka gani MZ.? hebu ikumbusheni ni barabara ya musoma? karibu na polisline?

Ndugu yangu mimi nilikuwa huko miaka ile ya 80s wakati MWATEX imepamba moto sana pale NYAKATO!
Na biashara ya pamba ndio ilikuwa kileleni kabisa.

Stand ya basi ilikuwa bado ni vumbi na matope matupu!

Na mabasi maarufu wakati huo yalikuwa ni tanganyika bus. Na moja nakumbuka pale mjini lilikuwa limeandikwa "geza ulole!"
Those were Good old days.
 
Hongera sana SEREKALE YA CCM kwa kutuletea sehemu nzuri ya KUPIGA PICHA kama pale Manzese!
 
Wakikamilisha ndo tutajua kama wamewakumbuka walemavu
 
Ile barabara ilikuwa na vumbi sijapata kuona, zamani tulikuwa natoka Mwanza kwenda Nairobi barabara ilikuwa mbovu sana lami unaipatia Magu, teh teh teh.

Vipi pale mlango moja bado wanauza mapuya na gongo na mataputapu.

Cc; kahtaan

Teh teh teh teh!
Aisee shariff Ritz wallahi una kumbukumbu ya ajabu! Mapuya ndio yenyewe pale mlango mmoja! Pale walikuwa wakishalewa wanakwenda liberty hall ( lile jumba la sinema ) hapo ni ngumi mpaka asubuhi!

Kuna mjomba wangu mmoja alikuwa anaitwa mabraza alikuwa anaishi pale mitaa ya uhuru!

Jamaa alikuwa mbabe balaa!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Aisee shariff Ritz wallahi una kumbukumbu ya ajabu! Mapuya ndio yenyewe pale mlango mmoja! Pale walikuwa wakishalewa wanakwenda liberty hall ( lile jumba la sinema ) hapo ni ngumi mpaka asubuhi!

Kuna mjomba wangu mmoja alikuwa anaitwa mabraza alikuwa anaishi pale mitaa ya uhuru!

Jamaa alikuwa mbabe balaa!
Teh teh teh teh!
Duuu!! kahtaan hujue wewe na gombesugu huenda ni ndugu zangu tena tunajuana, umemtaja huyo mjomba wako Mabraza na Mafuu nawajua vizuri, kuna mdogo wake alikuwa anaitwa Islam aligongwa na gari Dar pale Zanaki alifariki tulimzika Kisutu.
 
Last edited by a moderator:
Duuu!! kahtaan hujue wewe na gombesugu huenda ni ndugu zangu tena tunajuana, umemtaja huyo mjomba wako Mabraza na Mafuu nawajua vizuri, kuna mdogo wake alikuwa anaitwa Islam aligongwa na gari Dar pale Zanaki alifariki tulimzika Kisutu.

Inna lilahi wainna ilaihi rajeuun!

Shariff hao ni wajomba zangu kabisa.

Kule mza kulikuwa na saleh na mahfuu! Wote marhum!

Na huyo islam ndo alikuwa dar anahangaika tu!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh!
Aisee shariff Ritz wallahi una kumbukumbu ya ajabu! Mapuya ndio yenyewe pale mlango mmoja! Pale walikuwa wakishalewa wanakwenda liberty hall ( lile jumba la sinema ) hapo ni ngumi mpaka asubuhi!

Kuna mjomba wangu mmoja alikuwa anaitwa mabraza alikuwa anaishi pale mitaa ya uhuru!

Jamaa alikuwa mbabe balaa!
Teh teh teh teh!
Marehem Saleh Mabraza...aliipiga kichwa nguzo ya umeme ikaanguka
 
Last edited by a moderator:
Marehem Saleh Mabraza...aliipiga kichwa nguzo ya umeme ikaanguka

Mungu amrehemu! Jamaa na ubabe wake woote alikuwa muungwana sana!
Alishawahi kunipakia kwenye baskeli yake toka pale NATA hoteli (opp agakhan mpaka nyakato b.
I never forget that day!
 
Inna lilahi wainna ilaihi rajeuun!

Shariff hao ni wajomba zangu kabisa.

Kule mza kulikuwa na saleh na mahfuu! Wote marhum!

Na huyo islam ndo alikuwa dar anahangaika tu!
Mzee wao namkumbuka sana alikuwa mpole sana alikuwa anaitwa Dedi, teh teh teh!
 
Mzee wao namkumbuka sana alikuwa mpole sana alikuwa anaitwa Dedi, teh teh teh!

Shariff Ritz we lazima utakuwa mtoto wa baba mkubwa mzee seif kahtaan!
Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Mungu amrehemu! Jamaa na ubabe wake woote alikuwa muungwana sana!
Alishawahi kunipakia kwenye baskeli yake toka pale NATA hoteli (opp agakhan mpaka nyakato b.
I never forget that day!

Umenikumbusha wababe wenzie kina ali mwinyi,juma mkambi,moze...duh!
 
Watanzania kweli wengi hamjitambui, ukiangalia mnavyo ongelea hili daraja!
Ndio maana mnatoka dar na msafara wa magari kwenda kuzindua visima na madarasa, badala ya kufikri miradi ya vizazi vingi kama kutoa maji ziwa victoria kwenda dar, kujenga ukanda wa viwanda, kutambua kuwa ktk dunia ya leo huwezi shindana kwenye soko ajira na uchumi wa maarifa ya digital kwa kutumia kiswahili na mara moja kubadilisha mfumo mzima wa elimu, bado mna umaskini mkubwa wa mawazo.

mkuu sisi ni masikini sana hasa wa kufikiri.
ona rais anaenda ulaya kuomba msaada wa neti kwa kubadilishana na dhahabu.
_tunawapa dhahabu wao wanatupa neti....hahahha
sasa hivi tunawapa wachina gas na meno ya tembo wao wanatupa simu za tochi
 
Ndugu yangu mimi nilikuwa huko miaka ile ya 80s wakati MWATEX imepamba moto sana pale NYAKATO!
Na biashara ya pamba ndio ilikuwa kileleni kabisa.

Stand ya basi ilikuwa bado ni vumbi na matope matupu!

Na mabasi maarufu wakati huo yalikuwa ni tanganyika bus. Na moja nakumbuka pale mjini lilikuwa limeandikwa "geza ulole!"
Those were Good old days.
Nashukuru mkuu kumbe mwenyeji MZ.! nafikiri wakati ule bado kuwa jiji...? blessings
 
Naam sheikh,ndo wazawa wenyewe tuliobaki
Weee Kijana wa mirongo ? au Mchakaoge?...ivo unawafahamu akina Mrisho matwisti, Mrhem.Mushini Chupa? na wanduguzake?
au wamjua Saleh Hazaa?,na akina wembo, na Mwl.Saidi Haylala,Shabaani sijda? hapo ndo ntajua Mzawa!!
 
Back
Top Bottom