Barbarosa
Wengi humu na dhani hawajaelewa hoja iliyopo mezani..
Mimi kwa maoni yangu hili daraja Lingekuja pale tuu Jiji litakapoweza kutatua tatizo la msongamano hasa kwenye makutano makuu,
hilo lingewezekana kwa kufungua barabara za michepuko ambazo kwa sasa ni mbovu kutupa, Lingine tungewekeza kwenye flyovers na Lamwisho huu mradi wa DART utasaidia sana kuondoa foleni ndani ya CBD..
Kihualisia hili daraja halitakua na effect yeyote kwenye kuondoa foleni ukizingatia Hatahao wakazi waKigamboni watavuka nakuja kukwama kwenye Foleni..