Daraja la Kigamboni ni White Elephant Project, Hatulihitaji!

Daraja la Kigamboni ni White Elephant Project, Hatulihitaji!

Kwanza hakuna mahali niliposema kwamba hilo daraja halina mahitaji, najua kwamba linahitajika na watu wanaokwenda kipepepo wkend au kuangalia wanyama Dar zoo n.k ila hizo sababu ni ndogo sana ukilinganisha na mahitaji mengine ambayo hizi bilioni 200 zingeweza kufanya kama hizi hele zingeingizwa kwenye kupunguza msongamano ingetoa tofauti kubwa sana, sasa hivi tunavyoongea NSSF inashida ya fedha kwa sababu ya mradi kama huu, sasa kwa nini tufilishi shirika lenye kuweka akiba zetu za uzeeni kwa kuwekeza kwenye mradi ambao unafaidisha watu chini ya asilimia 5% ?

Na hapo ndipo Kipaumbele kinapokuwa na umuhimu, sababu kubwa ya kujengwa hilo daraja kama nilivyosema haina uhusiano wowote ule na manufaa ka Wananchi bali ni prestige project kwamba tuweze kupiga picha na kusema Dar tuna Daraja lkn siyo kumwezesha Mtz kiuchumi na hili litaonekana wazi daraja litakapofunguliwa utakuwa shahidi kama kweli vivuko vitapungukiwa na watu na ninaweza kukuhakikishia asilimia 90% ya wanaotumia vivuko wataendela kutumia hivi vivuko hata baada ya daraja kufunguliwa na watakao litumia niwachache ambao wanakwenda wk end kipepeo beach au kukagua mashamba yao, sasa dola 200 bilioni kutumika kufanya uwekazaji kama huu kwenye nchi ambayo ukifungua tu mlango umaskini umekuzunguka kila mahali na wali hata haujui uanzie wapi ni kutokuwa na uwezo wa kupanga vizuri!
Kaka Dar inakua usizichukulie hizo sababu zako za mwaka 2016 kuwa ndizo zitakuwa sababu za mwaka 2046, kuna maisha baada ya mimi na wewe kuondoka duniani. Wazungu wanaendelea kwa sababu wanao uwezo mkubwa wa kujifunza kutazama miaka mingi ijayo.
 
Oh My God! Siwezi hata kufikiri kwamba kuna kiumbe anaye weza kuja na hoja kama hii. It's a total embassment. I thought hii forum ni ya Great Thinkers. What a waste of time!

Think about congestion ya traffic in the inner city. Think about mafuta yanayo potea bure kwenye hizo foleni, think about kuboresha sehemu zingine za jiji, think about maendeleo ya satellite cities, etc. Halafu eti unasemaje???
Mkuu hata kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.
 
Daraja nadhan lina umuhim mkubwa tu kiukwel kwa kigambon mana folen ya panton kwa gari unaweza chukua hata 3 hrs unasubir kuvuka kwa panton...pia mji huu tayar uko kiuwekezaji
Kipind cha mwanzo kigambon walisema imeuzwa na plan ya mji mpya iko tayar ila sasa imekuwa reversed kidogo kuwa ...mwekezaji anayekuja atadeal mwenyewe na mwananchi kupata eneo kama ikivyo k.koo....
Ila plan ya mji mpya wa kibiashara na uchum na makaz mapya ya uwekezaj iko pale pale na daraja itakuwa source nzur zaid ya usafir zaid ya panton
Jaribu kuja na gar siku moja kigambon utakachokumbana nacho utataman daraja
 
Dsm ni fastest growing city in africa...kwa upande wa kigambn huhitaji uganga kujua kwamba huo ndo upande wa ambao unaendelezwa kwa kasi sana...na makaz yanayojengwa ni ya kisasa....hii ina maana kwamba kama daraja lisingejengwa sasa...basi miaka 5 baadae ingekuwa very serious crisis....kama tunavoshuhudia maeneo mengine ya jj. By the way kama huna kiwanja kula...basi kanunue sasahv....
 
Duh! Hata kama ni upinzani basi wa kwako umepindukia. Kwanza utambue kuwa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kwa kiasi kikubwa unatekelezwa na NSSF. Kwa maana hiyo ni kwamba ni mradi wa Taasisi Binafsi kwa kushirikiana na Serikali kupitia PPP. Ujenzi wa daraja hilo ni kama Ujenzi wa barabara ya njia sita kutoka Ubungo hadi Chalinze. Huwezi kumpangia mtu mradi ambao anataka kuwekeza.

By the way, wanaojua umuhimu wa daraja la Kigamboni ni wakazi wa Kigamboni. Wewe Mburula ambaye upo hapo Arusha Mjini utajuaje adha ya usafiri wanayokumbana nao wakazi wa Kigamboni?
Hili ni daraja la kigamboni au la sarenda kuelekea coco beach lina gharama gani lina faida ipi
 
hivi kweli kuna mwana JF anaamini kuwa Daraja limejengwa bila feasibility study wala nini?

Lingekuwa halina umuhimu serikali isingekubali lijengwe
 
Uhuru wa kutoa maoni. Hivi watu wa Mbezi, Bunju, Tegeta nk ndiyo wenye umuhimu sana wa kusafiri kwa urahisi kuliko watu wa Kigamboni?. Watu wa Kigamboni wapoteza muda mwingi kwenye foreni wakisubiri kivuko hasa wale wenye magari. Ikitokea kuna mgonjwa (mahututi) anayehitaji huduma ya haraka muhimbili, wanafanyaje ? Wakati huo Panton imesimama kupisha meli au Panton moja mbovu nyingine inajaza mafuta.
Kwangu mimi naona daraja ni muhimu sana tena lingeeanza kutumika mapema iwezekanavyo.
 
Mabilioni yaliyowekezwa kwenye Ujenzi wa hili Daraja ni kama yamepotea bure kwa maana halihitajiki, halina umuhimu mkubwa kiasi hicho kwa maana ya kwamba halitasaidia kuboresha maisha ya wakazi wa Dar kwa walio wengi ukilinganisha na gharama ya Ujenzi wake hii ni prestige project ambayo kwa nchi masikini na yenye kila aina ya shida inayojulikana na binadamu hapa Duniani hatukupaswa kulijenga badala yake hizi fedha zingewekezwa kwenye miradi mikubwa kama DART kwa mfano hii fedha ingetosha kujenga DART nyingine kutoka Mwenge mpaka Kivukoni hivyo kuwa na DART mbili ambazo zingesadia sana wakazi wa Dar, kuliko hili Daraja!

Itatuchukuwa muda sana sisi Watanzania kuja kuendelea, mpaka tuje tuweke vipaumbele vyetu sawa tuna safari ndefu sana, mradi mwingine ambao nasikia uko mbioni na namwomba Rais Magufuli auzuie huu mradi kama ule wa bandari ya Bagamoyo ni wa kujenga daraja baharini ktk daraja la Salenda kuunganisa na Coco Beach, hili daraja hatulihitaji badala yake hizi fedha ziende kujenga DART nyingine labda ya Br. ya Mandela- Buguruni -Kariakoo!
Hizo DART unazopigia debe zitagharimu shilingi ngapi.
Kumbuka dart sio barabara na stendi zake tu. Ni pamoja na vyombo vya uchukuzi..mabasi n.k. na karakana kwa ajili ya matengenezo. Dart zinahitaji personnel wengi (madereva,wahandisi) na utatakiwa uwalipe kila siku .Piga hesabu ya muda wa kuishi 'lifespan' ya hizo dart.Uje na gharama halisia za kuendesha dart kila siku,ndio utushawishi.Vinginevvyo nafikiri utakuwa hujafanya 'home work' yako vizuri.
 
Hili
Mradi wa Bil 200 kwa wakazi wasiozidi laki tano (5)...

Ni usanii wa hali ya juu.

Hili ni tatizo la Afrika nyeusi yote, kutofikiria kwa kuitazama kesho na miaka mingine mingi mbele. Tunaishi kama vile hakuna vizazi vingine baada yetu, tunataka kila kitu kitunufaishe tu sisi tuliopo Leo, hatuko tayari kuumia kidogo kwa ajili ya wasiokuwapo Leo. Hiki ndicho kinachotutofautisha na wakoloni wachache tu waliokuja kutaabika Africa lakini vizazi vyao Leo vinakula matunda yao kwa mrija!!
 
Hilo siyo daraja,ni kivuko au panton,uliona wapi daraja unavuka kwa kulipa pesa.
 
Barbarosa watu watakupinga humu bila kukuelewa
ila nakubaliana na wewe asilimia 100

Bilioni 200 kuinvest kigamboni ni ukosefu wa mipango tu
sababu hata flyover ya tazara ambayo tumepewa msaada asilimia 70 ni bilioni 100 tu
ina maana hizi bilioni 200 za daraja la kigamboni zinaweka fly over mbili Dar,,,
na faida za kuondoa foleni Dar zinawasaidia hadi wakazi hao wa kigamboni

Bilioni 200 zingejenga reli ya uhakika ndani ya Dar ikaondoa foleni

Kigamboni kuna shida ndio lakini solution yake hafiki hata bilioni 40

Hatujatumia akili tu vya kutosha
 
Barbarosa why unapinga hili la Magufuli kujenga daraja kigamboni?
huku hutaki magufuli akosolewe?
unajua Magufuli anajenga 'white elephant ' ingine mwanza inaitwa daraja la furahisha?
 
Mabilioni yaliyowekezwa kwenye Ujenzi wa hili Daraja ni kama yamepotea bure kwa maana halihitajiki, halina umuhimu mkubwa kiasi hicho kwa maana ya kwamba halitasaidia kuboresha maisha ya wakazi wa Dar kwa walio wengi ukilinganisha na gharama ya Ujenzi wake hii ni prestige project ambayo kwa nchi masikini na yenye kila aina ya shida inayojulikana na binadamu hapa Duniani hatukupaswa kulijenga badala yake hizi fedha zingewekezwa kwenye miradi mikubwa kama DART kwa mfano hii fedha ingetosha kujenga DART nyingine kutoka Mwenge mpaka Kivukoni hivyo kuwa na DART mbili ambazo zingesadia sana wakazi wa Dar, kuliko hili Daraja!

Itatuchukuwa muda sana sisi Watanzania kuja kuendelea, mpaka tuje tuweke vipaumbele vyetu sawa tuna safari ndefu sana, mradi mwingine ambao nasikia uko mbioni na namwomba Rais Magufuli auzuie huu mradi kama ule wa bandari ya Bagamoyo ni wa kujenga daraja baharini ktk daraja la Salenda kuunganisa na Coco Beach, hili daraja hatulihitaji badala yake hizi fedha ziende kujenga DART nyingine labda ya Br. ya Mandela- Buguruni -Kariakoo!

Duh kichwa cha habari na habari na maelezo yake ni tofauti kama kifo na usingizi! Umetumia maneno mazito sana "white elephant"; lakini ukakosa maelezo ya kukata kiu yetu kwa nini mradi huo haufai?! Hebu tuchambulie zaidi hofu yako ni nini!? Gharama, idadi ya wakazi wa kigamboni, athari za kiuchumi etc etc
 
Duh! Hata kama ni upinzani basi wa kwako umepindukia. Kwanza utambue kuwa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kwa kiasi kikubwa unatekelezwa na NSSF. Kwa maana hiyo ni kwamba ni mradi wa Taasisi Binafsi kwa kushirikiana na Serikali kupitia PPP. Ujenzi wa daraja hilo ni kama Ujenzi wa barabara ya njia sita kutoka Ubungo hadi Chalinze. Huwezi kumpangia mtu mradi ambao anataka kuwekeza.

By the way, wanaojua umuhimu wa daraja la Kigamboni ni wakazi wa Kigamboni. Wewe Mburula ambaye upo hapo Arusha Mjini utajuaje adha ya usafiri wanayokumbana nao wakazi wa Kigamboni?
Umeharibu hapo ulipo muita mwenzio mburula. Unashindwaje kujua kuwa naye ana haki ya kutoa maoni, sasa wewe ndio unakuwa na sifa hiyo ya mburula.
 
Barbarosa watu watakupinga humu bila kukuelewa
ila nakubaliana na wewe asilimia 100

Bilioni 200 kuinvest kigamboni ni ukosefu wa mipango tu
sababu hata flyover ya tazara ambayo tumepewa msaada asilimia 70 ni bilioni 100 tu
ina maana hizi bilioni 200 za daraja la kigamboni zinaweka fly over mbili Dar,,,
na faida za kuondoa foleni Dar zinawasaidia hadi wakazi hao wa kigamboni

Bilioni 200 zingejenga reli ya uhakika ndani ya Dar ikaondoa foleni

Kigamboni kuna shida ndio lakini solution yake hafiki hata bilioni 40

Hatujatumia akili tu vya kutosha


Na labda kibaya zaidi pia NSSF ambao ndiyo wametoa hizo fedha wako hoi kifedha na hata kulipa Mishahara ya Wafanyakazi inasumbua, ni nani aliweza kufikiria kwamba NSSF watakuja kupata shida kulipa Mishahara? Lkn ndiyo hivyo na wanaonitukana hapa wanategemea siku wakistaafu waende NSSF kuchukuwa malipo yao wakati hakuna hata shilingi sasa sijui watakula hilo daraja ngoja, tusubiri!
 
Hivi Watanzania tuna matatizo gani wajameni ?hivi mtu Kama huyu tumuweke fungu gani?

JIBUNI HOJA ZA MDAU NA SI KUMSHAAA ... HOJA YAKE INA MASHIKO, TUPENI ZENU MNAOMPINGA!![/QUOTE]


Nielewavyo mimi hilo daraja baada ya kukamilika kila gari itayopita italipia isipokua watembea kwa miguu kifupi limejengwa na NSSF kilicholengwa ni maslahi ya daraja ili serikali kuilipa NSSF
 
Mabilioni yaliyowekezwa kwenye Ujenzi wa hili Daraja ni kama yamepotea bure kwa maana halihitajiki, halina umuhimu mkubwa kiasi hicho kwa maana ya kwamba halitasaidia kuboresha maisha ya wakazi wa Dar kwa walio wengi ukilinganisha na gharama ya Ujenzi wake hii ni prestige project ambayo kwa nchi masikini na yenye kila aina ya shida inayojulikana na binadamu hapa Duniani hatukupaswa kulijenga badala yake hizi fedha zingewekezwa kwenye miradi mikubwa kama DART kwa mfano hii fedha ingetosha kujenga DART nyingine kutoka Mwenge mpaka Kivukoni hivyo kuwa na DART mbili ambazo zingesadia sana wakazi wa Dar, kuliko hili Daraja!

Itatuchukuwa muda sana sisi Watanzania kuja kuendelea, mpaka tuje tuweke vipaumbele vyetu sawa tuna safari ndefu sana, mradi mwingine ambao nasikia uko mbioni na namwomba Rais Magufuli auzuie huu mradi kama ule wa bandari ya Bagamoyo ni wa kujenga daraja baharini ktk daraja la Salenda kuunganisa na Coco Beach, hili daraja hatulihitaji badala yake hizi fedha ziende kujenga DART nyingine labda ya Br. ya Mandela- Buguruni -Kariakoo!
ungeweka 'opportunity cost' kwa tarakimu za hyo miradi watu wangeamini wewe ni great thinker,tofaut na hapo unaonekana akili zako zinafikiri kwa nguvu ya pombe ya mnazi tu
 
gharama inayotumika kujenga DART ilitosha kabisa kuweka mfumo wa METRO kwa sababu METRO nyingi duniani nchi zilizoendelea hazihitaji kuwavunjia watu majumba yao wala kulipa watu,zinapita juu ya barabara zetu tu ,hakuna njia rahisi ya usafiri kama TRAIN metro hizi nyingine zote porojo tu
huwa hamna jema nyie,mumezowea kuviona kwa watu,wacha miradi ikamilike mukapige selfie muweke dp
 
Back
Top Bottom