Mleta mada acha ubinafsi mbaya kiasi hiki, ungekuwa unakaa kigamboni ungetamani ile njia ifunguliwe hata kesho ili kuondosha adha ya usafiri kwa sisi wananchi tunaokaa kigamboni na vitongoji vyake na maeneo ya mbagala. Daraja lile litasaidia kupunguza foleni kwa njia zote mbili za kilwa road na pale kivukoni kwenda kigamboni. Binafsi naipongeza serikali na wabia wake kama nssf katika kuja na mradi huu mkubwa na wenye malengo mahsusi kwetu sisi wana kigamboni na njia ya kilwa road.
Nikushauri tuu mtoa uzi kwamba tatizo la foleni ya dar siyo kuleta DART tuu, ni pamoja na kuimarisha njia za mitaani ili kupunguza foleni kwenye njia kuu. ukiangalia tabia ya foleni za dar utaona foleni zipo kwenye makutano ya barabara kuu kama pale ubungo, tazara, chang'ombe, magomeni, moroko, mgulani, kwa aziziali, mtongani na njia ya kilwa road, mbezi ya kimara, vingunguti na makutano katika njia ya pugu nk. Kama njia za mtaani zikiboreshwa na zikapitika kiasi cha kwamba mtu anayekaa kimara aweze kwenda gongolamboto pasi na kwenda mpaka ubungo, buguruni, tazara ndio ashike njia ya pugu ilihali zipo njia za mkato ila tuu hazipitiki kwa ubovu. Njia hizi zikiboreshwa foleni ya dar itapungua kwa kiasi kikubwa.
kitu kingine ni kujenga flyovers kwenye makutano ya barabara kuu mambo hayo yakitendeka foleni itapungua sana hapa dar
Oh My God! Siwezi hata kufikiri kwamba kuna kiumbe anaye weza kuja na hoja kama hii. It's a total embassment. I thought hii forum ni ya Great Thinkers. What a waste of time!
Think about congestion ya traffic in the inner city. Think about mafuta yanayo potea bure kwenye hizo foleni, think about kuboresha sehemu zingine za jiji, think about maendeleo ya satellite cities, etc. Halafu eti unasemaje???
Waache kiherehere cha kupeleka pua zao kunusa wasivyostahili,wanajifanya wawekezaji na kuanza kupiga danadana wanachama wanaotaka mafao wakati hela hakuna wameinvest kwenye real estate ambayo inachukua more than 10 years to break even.Dah! Hakika wewe unazidi kuonesha upuuzi wako. Labda nikueleze ni kwamba NSSF ni mfuko wa hifadhi ya jamii. Ni taasisi ambayo watu binafsi, mashirika ya umma na hata taasisi za serikali huitumia kwa ajili ya kuweka fedha zao ambazo huitwa mafao. Yapo mafao ya uzeeni, ulemavu, uzazi nk. Kwa kuwa fedha hizo ni nyingi, taasisi hiyo imekuwa ikijihusisha na uwekezaji kwenye miradi mbalimbali. Kwa maana hiyo, taasisi hiyo inafanya biashara kama wanavyofanya watu binafsi na wanatumia fedha za wanachama wao kama mtaji na dhamana katika biashara zao. Wanajenga majengo makubwa ya kibiashara, kuna mkakati pia wa kuwekeza kwenye uzalishaji wa umeme na kuiuzia TANESCO na huo mradi wa daraja la Kigamboni.
Kama hujui ni vema ukauliza ili ufahamushwe. Hivyo NSSF wanapowekeza kwenye miradi miradi hiyo si ya serikali. Ni mali ya NSSF
Tufanye kahesabu kadooogo. 200,000,000,000 /500,000=400,000 Nadhani ni mradi fair tu ukizingatia na uwekezaji unaoendelea kigamboni sh laki nne kwa kila mwananchi inalipika kwa maisha ya daraja husika ie lifespan.
according to jamaa hapo juu ni 200bn ,idadi ya wakazi km 500,000 hivi kwa hiyo ukikokotoa naona kwa maisha ya daraja ni mradi ambao ni endelevu ukizingatia uwekezaji wa unaotaka kufanyika kigamboni pia nadhani watu wameangalia zaidi miaka ijayo na sio matumizi ya leo tu.Hayo mahesabu yako yanasema nini? Ningekuomba ufanunue kama ukiweza kwa maana hesabu bila ya maelezo inabakia kuwa kama namba tu ambazo hazidasii sana!
Oh My God! Siwezi hata kufikiri kwamba kuna kiumbe anaye weza kuja na hoja kama hii. It's a total embassment. I thought hii forum ni ya Great Thinkers. What a waste of time!
Think about congestion ya traffic in the inner city. Think about mafuta yanayo potea bure kwenye hizo foleni, think about kuboresha sehemu zingine za jiji, think about maendeleo ya satellite cities, etc. Halafu eti unasemaje???
Hivi Watanzania tuna matatizo gani wajameni ?hivi mtu Kama huyu tumuweke fungu gani?[/QUOTE]
Mimi siyo Great thinker na wala sijawahi na sitowahi kujitambulisha hivyo ila kama wewe unaona unastahili kuitwa hivyo hiyo ni juu yako!
Haya niambie hili daraja litapunguza msongamano wa kiasi gani kwenye huu Mji? Ni asilimia ngapi ya wakazi wa Dar watalitumia kila siku kwenda na kurudi kazini ikilinganishwa na gharama iliyotumiwa kulijenga?
Hoja yako imeegemea zaidi kukosoa zaidi ya kujenga ndo maana unasema halihitajiki daraja la kigamboni. Itakuwa ngumu kwa unaemkosoa kukusikiliza sababu ni kama vile una chuki au vivu mbaya. Watu wa aina yako ukipotezwa usijemlaumu yeyote maana hizi si zama zile. Kiongozi wetu ameonyesha njia na nia thabiti na tunamsupport bila kujali kama tulimkataa au la kwenye sanduku la kura maana sisi wananchi matakwa yetu ni maendeleo bila kujali ni chama au itikadi gani inaongoza nchi.
Mradi wa Bil 200 kwa wakazi wasiozidi laki tano (5)...
Ni usanii wa hali ya juu.
yaani mpaka hapo hujaelewa tu? Kama unajitambua kuwa wewe siyo great thinker ni vema ukakaa kimya. Achana na kuanzisha mada wakati uwezo wako ni Kiduchu.Mimi siyo Great thinker na wala sijawahi na sitowahi kujitambulisha hivyo ila kama wewe unaona unastahili kuitwa hivyo hiyo ni juu yako!
Haya niambie hili daraja litapunguza msongamano wa kiasi gani kwenye huu Mji? Ni asilimia ngapi ya wakazi wa Dar watalitumia kila siku kwenda na kurudi kazini ikilinganishwa na gharama iliyotumiwa kulijenga?
Unapoteza muda bure. Daraja linafunguliwa mwezi Machi wewe unajifanya kupinga sasa! Kichekesho kweliBarbarosa
Wengi humu na dhani hawajaelewa hoja iliyopo mezani..
Mimi kwa maoni yangu hili daraja Lingekuja pale tuu Jiji litakapoweza kutatua tatizo la msongamano hasa kwenye makutano makuu,
hilo lingewezekana kwa kufungua barabara za michepuko ambazo kwa sasa ni mbovu kutupa, Lingine tungewekeza kwenye flyovers na Lamwisho huu mradi wa DART utasaidia sana kuondoa foleni ndani ya CBD..
Kihualisia hili daraja halitakua na effect yeyote kwenye kuondoa foleni ukizingatia Hatahao wakazi waKigamboni watavuka nakuja kukwama kwenye Foleni..
Barbarosa
Wengi humu na dhani hawajaelewa hoja iliyopo mezani..
Mimi kwa maoni yangu hili daraja Lingekuja pale tuu Jiji litakapoweza kutatua tatizo la msongamano hasa kwenye makutano makuu,
hilo lingewezekana kwa kufungua barabara za michepuko ambazo kwa sasa ni mbovu kutupa, Lingine tungewekeza kwenye flyovers na Lamwisho huu mradi wa DART utasaidia sana kuondoa foleni ndani ya CBD..
Kihualisia hili daraja halitakua na effect yeyote kwenye kuondoa foleni ukizingatia Hatahao wakazi waKigamboni watavuka nakuja kukwama kwenye Foleni..
Oh My God! Siwezi hata kufikiri kwamba kuna kiumbe anaye weza kuja na hoja kama hii. It's a total embassment. I thought hii forum ni ya Great Thinkers. What a waste of time!
Think about congestion ya traffic in the inner city. Think about mafuta yanayo potea bure kwenye hizo foleni, think about kuboresha sehemu zingine za jiji, think about maendeleo ya satellite cities, etc. Halafu eti unasemaje???
Hivi Watanzania tuna matatizo gani wajameni ?hivi mtu Kama huyu tumuweke fungu gani?
Mkuu, labda tueleweshane, ni mji gani mkubwa duniani ambao unaufahamu ambao uko kando ya bahari kama Dar es Salaam wenye metro? Nafikiri tabia ya nchi, udongo na miamba una nafasi kubwa sana katika hilo la kujenga metro. Halafu huo umeme wa kuendesha hayo ma train hatunao bado. Labda unachosema wewe ni kwamba tuanze kwa kuangalia upper stream devlelopmental investments?gharama inayotumika kujenga DART ilitosha kabisa kuweka mfumo wa METRO kwa sababu METRO nyingi duniani nchi zilizoendelea hazihitaji kuwavunjia watu majumba yao wala kulipa watu,zinapita juu ya barabara zetu tu ,hakuna njia rahisi ya usafiri kama TRAIN metro hizi nyingine zote porojo tu