Dar Village Project in Dar es Salaam

Tuangalie upande wa pili huyu mtanzania atatoa upinzani mkubwa wa 'supermarkets' ambazo zimedhibitiwa na makampuni ya afrika kusini.

Huyu bwana anasema anajenga mall. Hao unaowasema ni wapangaji wazuri wa malls. Usidhani kwa sababu kajenga mmatumbi ndiyo hatawapangisha wa Afrika Kusini! Hivi unategemea nani mwingine atapanga kama si hao hao?

Amandla.........

 
Huyu bwana anasema anajenga mall. Hao unaowasema ni wapangaji wazuri wa malls. Usidhani kwa sababu kajenga mmatumbi ndiyo hatawapangisha wa Afrika Kusini! Hivi unategemea nani mwingine atapanga kama si hao hao?

Amandla.........


Mkuu ungejua nini kinacho endelea huko kwenye malalamiko ungeenda fast kusolve...
 
haya mambo ya siasa na plan ya mji ni matattizo makubwa, maamuzi mengi ya kisomi na ushauri wa kitaalamu unakuja kuaribiwa na siasa za hawa jamaa wasiojua hata misingi ya utu, naona ile ya pale mlimani city imeshazoeleka kabisa lakini haikuwa sahii kwa kile kiwanja miaka yote kilikuwa pale kama academic area na upanusi wa chuo kikuu lakini kaja mtu kamegewa kipande
lakini kama kuna mwekezaji wa kweli kwa nini asienda mawneo kama ya manzese na kununua na kuvunja nyumba zote na kudevelop maeneo kama hayo, kuliko kwenda kwenye maeneo ya wazi
 
haya mambo ya siasa na plan ya mji ni matattizo makubwa, maamuzi mengi ya kisomi na ushauri wa kitaalamu unakuja kuaribiwa na siasa za hawa jamaa wasiojua hata misingi ya utu, naona ile ya pale mlimani city imeshazoeleka kabisa lakini haikuwa sahii kwa kile kiwanja miaka yote kilikuwa pale kama academic area na upanusi wa chuo kikuu lakini kaja mtu kamegewa kipande
lakini kama kuna mwekezaji wa kweli kwa nini asienda mawneo kama ya manzese na kununua na kuvunja nyumba zote na kudevelop maeneo kama hayo, kuliko kwenda kwenye maeneo ya wazi

Wana JF,

Mimi nafikiri tatizo tulilonalo hapa kwetu ni kuwa na viongozi wasiojali maslahi ya watanzania badala yake wanaangalia maslahi yao wenyewe. Wamekuwa na mawazo mgando na hawafikirii kuliendeleza jiji la Dar Es Salaam/nchi kwa maana ya kulipanua badala yake kila mtu anataka ajenge hapo hapo katikati ya mji. Some few days ago ilisemekana uwanja wa gymkhana unamegwa kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kujenga ukumbi wa mikutano. Mnakumbuka kelele tulizopiga wakati uwanja huo huo ulipomegwa kujengwa hotel ya sheraton? Kwa nini ukumbi wa mikutano usijengwe nje ya mji?

Juzi katika jitihada zangu za kukwepa foleni ya magari nilipita njia ya mabibo kutokea ubungo external. Nilikuta watu wako busy uwanja wa UFI club wakijenga ukuta chini ya ulinzi wa askari wenye bunduki. Nililazimika kusimamisha gari na kuuliza wenyeji wa maeneo yale kuna nini kinaendelea pale. Jibu nililopata ni kwamba uwanja ule ameuziwa mwekezaji na sasa anajenga uzio na hao askari wanalinda wananchi wa maeneo hayo wasiwafanyie fujo wajenzi kwani waliwahi kuandamana kupinga uwanja huo kuuzwa kwa mtu.

Sijui tunakoelekea lakini nchi inakuwa kama haina kiongozi mwenye uwezo wa kukemea uovu huu.

Inasikitisha!!!!!
 
Wana JF,

Mimi nafikiri tatizo tulilonalo hapa kwetu ni kuwa na viongozi wasiojali maslahi ya watanzania badala yake wanaangalia maslahi yao wenyewe. Wamekuwa na mawazo mgando na hawafikirii kuliendeleza jiji la Dar Es Salaam/nchi kwa maana ya kulipanua badala yake kila mtu anataka ajenge hapo hapo katikati ya mji. Some few days ago ilisemekana uwanja wa gymkhana unamegwa kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kujenga ukumbi wa mikutano. Mnakumbuka kelele tulizopiga wakati uwanja huo huo ulipomegwa kujengwa hotel ya sheraton? Kwa nini ukumbi wa mikutano usijengwe nje ya mji?

Juzi katika jitihada zangu za kukwepa foleni ya magari nilipita njia ya mabibo kutokea ubungo external. Nilikuta watu wako busy uwanja wa UFI club wakijenga ukuta chini ya ulinzi wa askari wenye bunduki. Nililazimika kusimamisha gari na kuuliza wenyeji wa maeneo yale kuna nini kinaendelea pale. Jibu nililopata ni kwamba uwanja ule ameuziwa mwekezaji na sasa anajenga uzio na hao askari wanalinda wananchi wa maeneo hayo wasiwafanyie fujo wajenzi kwani waliwahi kuandamana kupinga uwanja huo kuuzwa kwa mtu.

Sijui tunakoelekea lakini nchi inakuwa kama haina kiongozi mwenye uwezo wa kukemea uovu huu.

Inasikitisha!!!!!

Mosi, Inasikitisha kuona kwamba priority ya serkali yetu haipo katika kumwendeleza mwananchi wa kawaida.

Pili, Naona kuna haja ya kuwa na 'Singapore model' ya uendesheshaji wa nchi kama business entity. Kwamba waziri analipwa kulingana na alichodeliver na si vinginevyo.

Tatu, Kuendeleza elimu ili kuweza kuendana na kasi ya maendeleo. Lakini cha kusikitisha dira za viongozi wetu haziko huko.

Nne sheria za Rushwa zipo vitabuni lakini mambo ya 'huyu mwenzetu' zimetufanya tusipige hatua yoyote.

Mwisho, inabidi mwananchi wa kawaida aamke na kusema enough is enough na kuacha kupiga kura kwa sababu ya ahadi hewa. Tupige kura kwa sababu ya conscious zetu. Unampa mtu miaka 5 kama ameshindwa kudeliver kwa nini umrudishe tena madarakani?
 
...issue ndogo sana hii msitake kuifanya ndio mwisho wa dunia,sehemu za kujenga hizo fire station zipo kibao na wala hazihitaji sehemu kubwa sana,kama kweli kuna mpango wa kujenga hiyo fire station itajengwa tuu na plot haitakuwa issue,acheni wajenge hizo malls mji upendeze,watu wajipatie kazi hata za kufagia kupunguza umaskini
 
Simu 2000 ilikuwa chini ya nani? Peter Maro, Peter Maro ni nani? Mtoto wa Basil Mramba.Basil Mramba alikuwa nani? Waziri wa Mawasiliano aliyeanzisha Simu 2000 na kumpa mtoto wake Peter Maro kazi ya kuuza assets za TTCL.

Pia, Peter Maro ni mtoto wa Anna Mkapa na stepson wa Benjamin Mkapa.

Ufisadi mbele nyuma na katikati!
 
Bora kumpa kura chizi 2010 kuliko CCM. Hata imuweke nani badala ya JK. Nitapiga kura chama pinzani hata mvua inyeshe vipi na mtakao chagua CCM msinilaumu...mtaendelea tu kulumbana mara uongozi, mara Zadok, mara so and so..bila CCM kung'oka hakuna maendeleo
 
Mali ya bil. 2/- yauzwa kwa mil. 800/- na Mwandishi Wetu


UUZAJI wa mali za umma unazidi kuzua maswali, ambapo sasa imebainika kuwapo mali iliyouzwa kwa thamani ndogo, licha ya kuwapo mnunuzi aliyekuwa tayari kutoa fedha nyingi.


Mali hiyo ya umma, ni kilichokuwa Kitengo cha Uchapaji Kijitonyama (KPU), chini ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL). Mali hiyo, pamoja na nyingine kadhaa, ilikuwa imewekwa chini ya Kampuni ya Simu 2000 Limited, kwa ajili ya mauzo.


Rekodi za umma zinaonyesha kwamba, thamani halisi ya KPU ni sh bilioni 1.954, kati ya hizo, thamani ya ardhi na majengo bila vifaa, ilikuwa sh bilioni 1.6, lakini ajabu ni kwamba, pamoja na mashine zilizopo, vyote viliuzwa kwa sh milioni 800 tu.


Ziliuzwa kwa thamani hiyo, baada ya uongozi wa Simu 2000 Limited, nalo shirika la umma, kuomba kibali Wizara ya Fedha, kuuza mali hiyo chini ya thamani yake.


"Thamani ya mali hiyo ya umma ni kubwa, karibu sh bilioni 2, iweje sasa mali hiyo iuzwe kwa sh milioni 800 tu? Na ni kwa nini hakuna mkataba rasmi wa mauziano ya mali hiyo ya umma?


"Ni vigumu kupata jibu la maswali haya. Kuna upungufu mkubwa, tena wa makusudi katika uuzaji wa mali za umma nchini. Haiingii akilini, kwa nini mkurugenzi mtendaji wa shirika la umma ameuza mali ya umma nje ya taratibu wazi na zinazokubalika," kilihoji chanzo chetu cha habari.


KPU sasa imeuzwa kwa ZEK Group, baada ya mazungumzo yaliyofanyika ofisini ZEK, kati ya uongozi wake na ule wa Simu 2000 Limited, na mawasiliano ya barua kwa mara kadhaa, ikakubaliwa kwamba, ZEK walipe kwanza sh milioni 150, halafu sh milioni 250, zote ndani ya mwezi mmoja.


Ilikuwa pia kwamba, baada ya kulipa kiasi hicho cha fedha, ambacho ni nusu ya bei waliyokubaliana, ZEK wakabidhiwe mali kwa ajili ya mipango ya awali ya kuiendeleza, kisha kiasi kingine kilipwe Desemba 2004.


Hata hivyo, mnunuzi huyo hakulipa salio katika muda uliokubaliwa, kwani malipo ya mwisho alifanya Aprili mwaka huu, yaani kipindi cha miaka miwili tangu akabidhiwe mali yenyewe.


Mauzo hayo yalifanyika kwa jinsi hiyo, licha ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, katika barua yake ya Januari 16, 2003, kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Simu 2000 Limited, iliomba iuziwe majengo hayo yaliyopo kitalu namba 717/3, mali ya umma, na wizara ikiwa inashughulikia zaidi masilahi ya umma.


Ikiwa imesainiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, W.N. Magoi, ilisema iko tayari kununua eneo na majengo hayo, na ikaomba ipewe nafasi, ili ibadilishe eneo hilo litumike kwa ajili ya kuwa Makao Makuu ya Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji.


Kadhalika, Katibu Mkuu alieleza kwamba amewasilisha barua hiyo kutokana na tangazo/notisi ambayo Simu 2000 Limited ilichapisha kwenye gazeti la serikali la Daily News, toleo la Januari 15, 2003, ikimaanisha wizara iliandika barua hiyo siku moja tu tangu notisi hiyo itolewe.
Wizara iliieleza Simu 2000 Limited kwamba, iko tayari kutoa sh 1,957,705,000 kwa ajili ya kununua vitu vyote hivyo. Barua hiyo ilipokewa Simu 2000 Limited Januari 17, 2003, lakini hakuna maelezo zaidi juu ya kilichoendelea, wala sababu za kukataa kuiuzia wizara, inayotumikia umma, kwa kiasi kikubwa cha fedha, iliyokuwa tayari kutoa.


Kumekuwa na malalamiko mbalimbali kuhusu mauzo ya mali za umma, ikiwa ni pamoja na kubinafsisha mashirika nyeti kama yanayotoa huduma ya maji. Serikali ilikuja kufuta mkataba wa kubinafsisha huduma ya maji jijini Dar es Salaam, ambao uliingiwa huku wananchi wakilalamika na kuonya. Mashirika nyeti kama Bandari na Reli nayo yamekuwa yakipigiwa kelele yasiuzwe wala kubinafsishwa.


Aidha, mauzo mengine yamekuwa yakifanywa kwa bei ndogo, tofauti na ile ya soko. Mengine yamefanywa kwa kuzipa kampuni kubwa na kuacha walalahoi, kati ya hizo ni mashamba makubwa ya mpunga ya Mbarali na Kapunga, ambapo wananchi zaidi ya 5,000 wanaendelea kuyalilia.
 
Connect the dots. SIMU 2000 MD is Mr Pater Maro. Who is he, any idea?
Kapinga, gazeti gani limeitafsiri hiyo story?
 
Connect the dots. SIMU 2000 MD is Mr Pater Maro. Who is he, any idea?
Kapinga, gazeti gani limeitafsiri hiyo story?
forgot the name but the link is in JF somewhere just search simu 2000 utaipata hiyo article.
 
Wana JF,

Mimi nafikiri tatizo tulilonalo hapa kwetu ni kuwa na viongozi wasiojali maslahi ya watanzania badala yake wanaangalia maslahi yao wenyewe. Wamekuwa na mawazo mgando na hawafikirii kuliendeleza jiji la Dar Es Salaam/nchi kwa maana ya kulipanua badala yake kila mtu anataka ajenge hapo hapo katikati ya mji. Some few days ago ilisemekana uwanja wa gymkhana unamegwa kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kujenga ukumbi wa mikutano. Mnakumbuka kelele tulizopiga wakati uwanja huo huo ulipomegwa kujengwa hotel ya sheraton? Kwa nini ukumbi wa mikutano usijengwe nje ya mji?


Sijui tunakoelekea lakini nchi inakuwa kama haina kiongozi mwenye uwezo wa kukemea uovu huu.

Inasikitisha!!!!!

Hivi ni watu wangapi wanafaidika na kuwa na huo uwanja wa aghakhan? Uwanja huo ukikaa hivyo ulivyo leo hii unamsaidiaje mtanzania? Kama ipo njia nyingine inaweza kutumika watu wengi zaidi kuweza kuutumia si ni bora kuliko hii habari ya members only? na wengi wao ni wale wale! Kweli tumefika mahali tunapiga kelele kwa sababu ya kumegwa uwanja huu? Wangapi wamewahi kuingia katika uwanja huu? Kufanya nini? Timu zetu ngapi za golf zimetuwakilisha wapi na wamekosa nini so far kwa kumegwa huku? Nikielimishwa huwa mwepesi kuelewa
 
Hivi ni watu wangapi wanafaidika na kuwa na huo uwanja wa aghakhan? Uwanja huo ukikaa hivyo ulivyo leo hii unamsaidiaje mtanzania? Kama ipo njia nyingine inaweza kutumika watu wengi zaidi kuweza kuutumia si ni bora kuliko hii habari ya members only? na wengi wao ni wale wale! Kweli tumefika mahali tunapiga kelele kwa sababu ya kumegwa uwanja huu? Wangapi wamewahi kuingia katika uwanja huu? Kufanya nini? Timu zetu ngapi za golf zimetuwakilisha wapi na wamekosa nini so far kwa kumegwa huku? Nikielimishwa huwa mwepesi kuelewa

Kwa kifupi, mji wowote unahitaji nafasi ya kupumulia. Ndiyo maana kwa wenzetu hawagusi bustani zao. Angalia Central Park, New York ilivyo kubwa na bado wanaiangalia tu. Linganisha hii na uwanja wa Mnazi Mmoja. Au Botanical Garden! Sisi hatuna desturi, utamaduni wa kutunza maeneo ya kijani ya public. Kwa hali hiyo heri tuwaachie hao wakina Gymkhana watutunzie.

Ujenzi wa ukumbi huo una athari si tu kwa sababu unamega sehemu ya Gymkhana. Ukumbi huo utaongeza idadi ya magari yanayoingia City Centre hivyo kuongeza msongamano na pollution ( noise na air) katika mji wetu. Ninavyowajua ndugu zangu bila shaka utatumika zaidi kwa shughuli za harusi! Wangeujenga nje ili watu wavutiwe kwenda huko badala ya katikati ya mji. Na pengine ungevuta maendeleo mengine kutoka kati ya mji. Vitu kama mahoteli, shopping malls n.k.

Amandla......
 
Of course kila mtu anajua kuwa kulitokea uhuni wao kupata ile sehemu na nashangaaa kwa nini wasingepewa maeneo kama kule Pugu wakaweza investment kubwa kama ile...wangejenga retail park nzuri na ardhi kubwa lakini wajanja na mafisadi kule serikalini wakaamua kuinyanganya serikali kiwanja na bila aibu viongozi wakuu serikalini washapalekwa pale kama kuendorse hiyo project

Haya tukubali ndio washaiba, mbona hawa jamaa hawamalizi huo ujenzi tujue moja? Maana bila kukuongopea wale wanaojenga/waliojenga kule milimani City naona walichukua ramani za shule na designs za correctional facilities za ulaya wakaenda kuzipeleka pale na lile jumba a cinema kila wakati umeme unakatika...bila kusahau Panya ambao nishawaona pale

who knows maybe Dar Village might bring vibe tofauti mjini lakini sijui waliotoa vibali kujenga pale kama walizingatia traffic kubwa itakayokwenda pale maana sisi pia ni ovyo kwenye hilo la traffic management
 
Of course kila mtu anajua kuwa kulitokea uhuni wao kupata ile sehemu na nashangaaa kwa nini wasingepewa maeneo kama kule Pugu wakaweza investment kubwa kama ile...wangejenga retail park nzuri na ardhi kubwa lakini wajanja na mafisadi kule serikalini wakaamua kuinyanganya serikali kiwanja na bila aibu viongozi wakuu serikalini washapalekwa pale kama kuendorse hiyo project

Haya tukubali ndio washaiba, mbona hawa jamaa hawamalizi huo ujenzi tujue moja? Maana bila kukuongopea wale wanaojenga/waliojenga kule milimani City naona walichukua ramani za shule na designs za correctional facilities za ulaya wakaenda kuzipeleka pale na lile jumba a cinema kila wakati umeme unakatika...bila kusahau Panya ambao nishawaona pale

who knows maybe Dar City might bring vibe tofauti mjini lakini sijui waliotoa vibali kujenga pale kama walizingatia traffic kubwa itakayokwenda pale maana sisi pia ni ovyo kwenye hilo la traffic management

This is the really GT, straight to the point; Hapo Dar village baba ni mikingamo... na huko Mlimani, ni DDC kibisa ngoma troupe...

Well said bro
 
GT,

hapa wakiletwa wataalamu kutoka jumuia ya kiislam mambo yatakuwa super. Hii ni sababu nyingine ya kujiunga na jumuia ya kiislam. Au wewe unasemaje?
 
Back
Top Bottom