FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Kwa jinsi polisi walivyojibu kwa kejeli tena kirahis rahisi as if waliopotea ni ng’ombe, basi naamini wapo wamehifadhiwa sehemu na wataachiwa
Hao watakuwa walikuwa wanapika IMEI za simu za ishu! Hio ni Cartel yao na huenda kulishakuwa na cases nyingi sana Obey pale sema wakajifanya manunda.Hii habari kila nikiwaza sipati jibu. Vijana watano wametoweka siku moja?
Hizi fununu za kupika IMEI zimetoka wapi?Hao watakuwa walikuwa wanapika IMEI za simu za ishu! Hio ni Cartel yao na huenda kulishakuwa na cases nyingi sana Obey pale sema wakajifanya manunda.
Maana uzuri wale ma Pie huwa wanakupa last warning kuwa acha mambo ya kingese ukiendelea utashangaa siku tu umetaitiwa na kuwa eliminated!
Nimewaza tu coz inasemekana ni ma dealer wa simuHizi fununu za kupika IMEI zimetoka wapi?
Waliopotea ni watanzania au waingereza?
Mleta mada acha uduwanzi hukutulipia ada!
Mwenzio nakula matunda ya nchi kwny kitengi nyeti ila hiyo hainizuii kutambua mchango wa mwambAhahahaha.
Pole, hope vyuma vyako vitalegea tu.
Mama anaupiga wa kutosha
Mimi pia nakula kwa urefu wa kamba yangu.Mwenzio nakula matunda ya nchi kwny kitengi nyeti ila hiyo hainizuii kutambua mchango wa mwamb
Na wanapumua ujue, baada ya kuinewa na kubanwa sana kwa miaka 5Kipigo kiko pale pale tena mkuu? Si mlisema nchi ishafunguliwa
Safi sana kama hadi nyie wapinzani mmemkubali mamaAhahahaha.
Pole, hope vyuma vyako vitalegea tu.
Mama anaupiga wa kutosha
Hahahhahah naskia mbuzi kakata kamba wanakula hadi mboga za majirani
Duu,Yaani una maana wanawadedisha?..kama ishu zao ni kupika IMEI za simu za wizi basi huo ndio mwisho wao! Polisi huwa ina mtindo wa kuweka records za wahalifu ila kesi ikiwa reccuring huwa wanaamua kuwa eliminate tu kwa namna wanaoijua wao. Ila ni baada ya kuwapa maonyo sana kuwa acheni hio michezo😅
Weka ushahidi hapa wa benkstatamenti zake zilizotapakaa kila pembe ya duniaNahis ww ni mmoja kati ya wale vyeti feki , na nyinyi ndo mlikuwa mnabania ajira kwa vijana wenye elimu kuwazid mkihisi watachukua vyeo vyenu , hata umtungie JPM stori za uongo , JPM hajaacha mali yyte yenye thamani kufikia hizo ela unasema aliiba , wezi unawajua ila chuki inakufanya uwe mpumbav , Familia ya JPM inaishi maisha ya kawaida tu km watanzania wengine , JPM alipambania watz , mliokuwa mnakula kwa njia za rongo rongo ndo mnachukia
We jamaa una ugonjwa wa akili wahi tiba haraka.Litanichapaje wakati linaliwa tigo na mapepo huko kuzimu likiendelea kukusanya kuni.
Kama ni kweli.....Polisi waseme wamewapeleka wapiHili swala ni la kiserikali zaidi.. mara ya mwisho inasemekana walipiga simu kwa ndugu zao kwamba wamekamatwa na wanaelekea polisi post fulani.. baada ya hapo hawakujulikana wapo wap?
Wakati wenzako wanafundishwa wewe ulikua unawaza sanne ifike ukale visheti, bagia na viazi, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
bila shakaKazi ya kingai na magenge yake hiyo.