Dar to Mtwara, mdogo wangu kafariki kwa basi gani?

Dar to Mtwara, mdogo wangu kafariki kwa basi gani?

Ng'wanapagi

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
9,116
Reaction score
8,658
Nimepata sms asubuhi hii mdogo wangu amefariki kwa ajali ya basi lililokuwa linatokea Dar kwenda Mtwara. Maiti ziko hospital gani, aliyenipigia nimeshindwa hata kumuuliza sehemu ilipotokea ajali na jina la basi.

Hivi sasa simpati kwenye simu, simu ya bwana mdogo tangu jana haipatikani japo mchana akitoka Dar waliwasiliana na dada. Ma rafiki zake walioko Mtwara hata wao wanadai mawasiliano yalikata gafla.

Nisaidieni mlioko huko na tushamtuma dada yetu yuko njiani kwenda huko Mtwara na huku tukielekea stand kuanza safari.

Duuu!! Mkuu bro amefariki akiwa na basi liitwalo: Baraka Bus, maiti iko Kilwa Kivinje Hospital wamefariki sita!! Nimempata kwenye simu aliyenijulisha ajali.
 
mkuu katika hilo basi hakuna mwanasiasa yoyote? ukiwasiliana nao jaribu pia kutuulizia kama kuna mgombea yoyote humo wa udiwani, ubunge na hata urais.
 
Nadhani mngefika kwenye ofisi za mabasi yanayokwenda huko,pale inakua rahisi kupata taarifa maanake huwa wanapeana taarifa kwamba basi fulani limepata ajali.

Dada yuko Dodoma kikazi ameondoka asubuhi hii kwenda huko Mtwara mwingine ametangulia asubuhi hii na atakuwa ameshavuka Nzega. Home kwa wazazi ni Geita na mwili utaletwa huku.
 
Dada yuko Dodoma kikazi ameondoka asubuhi hii kwenda huko Mtwara mwingine ametangulia asubuhi hii na atakuwa ameshavuka Nzega. Home kwa wazazi ni Geita na mwili utaletwa huku.

poleni sana.
nilifikiri mpo Dar ama kuna ndugu wa karibu aliyeko dar,
mngeweza kutumia njia hiyo kupata taarifa za awali.
 
Dada yuko Dodoma kikazi ameondoka asubuhi hii kwenda huko Mtwara mwingine ametangulia asubuhi hii na atakuwa ameshavuka Nzega. Home kwa wazazi ni Geita na mwili utaletwa huku.

Pole sana ndugu
 
poleni sana.
nilifikiri mpo Dar ama kuna ndugu wa karibu aliyeko dar,
mngeweza kutumia njia hiyo kupata taarifa za awali.

Hapana ndugu bwana mdogo yuko Mtwara vijijini ni Mwalimu kwa mwaka wa pili tu!!
 
poleni sana.
nilifikiri mpo Dar ama kuna ndugu wa karibu aliyeko dar,
mngeweza kutumia njia hiyo kupata taarifa za awali.

Duuu!! Mkuu bro amefariki akiwa na basi liitwalo: Baraka Bus, maiti iko Kilwa Kivinje Hospital wamefariki sita!! Nimempata kwenye simu aliyenijulisha ajali.
 
Inaweza isiwepo ajali jaribu kutulia siku hizi mtuakiibia simu mijizi/fund viatu inaanza kutuma sms eti ndugu yako yupo hospital tuma pesa asaidiwe wakati yamepiga simu yake.
 
Inaweza isiwepo ajali jaribu kutulia siku hizi mtuakiibia simu mijizi/fund viatu inaanza kutuma sms eti ndugu yako yupo hospital tuma pesa asaidiwe wakati yamepiga simu yake.

Hapana bro ni kweli na hadi sasa walimu wezake wamedhibitisha ametutoka pia aliyetupatia taarifa hakuomba pesa na ametupatia hadi jina la basi na hospital ulipo mwili.
 
Back
Top Bottom