Dar: Polisi waua majambazi watano

Jeshi la police kuna shida pale.mm binafsi sina imani nao.risasi za mguu mtuhumiwa anakufa.is it?
 
Risasi za miguu na wakafariki wakiwa njiani kuelekea hospital... Huu msemo hauna mbadala? Kila mara ni hivo hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongea haya kwa kuwa hujawahi hata kupigwa ngeta na majambazi. Ila ugewahi kuona waathirika wa matukio ya ujambazi, wala usingekuwa na huruma. Juzi tulikuwa na mzee mmoja ukimwangalia kichwani kumebondeka na sehemu nyingine za mwili zimejaa makovu. Alivamiwa na majambazi na kunyang'anywa pesa. Wakati tukiwa wadogo tunakaa mkoani Mza, tulivamiwa na majambazi. Mzee wangu alichezea kichapo sijawahi ona. Majambazi sio watu. Ni bora ukutane na simba kuliko kukutana na jambazi.
Hongera kwa jeshi la polisi kwa weledi wa kuny'ang'anya majambazi silaha haraka haraka kabla hayajaleta madhara makubwa kwa jamii.
 
Niambie range gani hufundishwa majeshi yetu kuanzia kiunoni kushuka chini ukijibu hilo swali nitajua unaelewa kitu. Na pia kwa mujibu was sheria zako hakuna jeshi lolote lina ruhusiwa kuua.na ukijifanya unajua sana sheria lazima utakuwa mpumbavu mana sheria hufunga vitu vyenye msingi na tija ili tuwe wajinga tusiweze songa mbele
 
Risasi za miguu na wakafariki wakiwa njiani kuelekea hospital... Huu msemo hauna mbadala? Kila mara ni hivo hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa jambazi akipigwa risasi ya mguu, ukavunjika vibaya, unafikiri wakati anakimbizwa kwenda hosp kuna guarantee afike akiwa hai? Sometimes sio ya mguu, unaweza kuta imepiga ya moyo kwa sbb wanakimbizana, sasa ya moyo ukiwa hata kabla ya kufika hosp unatangulia mbele za haki, ndio hivyo yaani..!! Tii sheria bila shuruti
 
Uongo mtupu, risasi za miguu tu Halafu wote wakafa? Nakumbuka kuna kauli iliwahi kutolewa "Ukimkamata Jambazi mmalize Hakuna haja ya kesi.... "
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…