Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,033
- 9,785
Kwa hiyo majambazi wote huwa wanapigwa za miguu na kufa.... Hao huwa wanawaua maksudi... rejea kesi ya wale wauza madini wa mererani polisi waliwapora na kuwapiga risasi baadae wakasema walikua majambazi wanakimbia... Kumbe waliwakamata wakawapeleka mabwepande wakawapora na kuwapiga risasi za kichwa wakiwa wamewafunga mikono.... Polisi wana madudu mengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa jambazi akipigwa risasi ya mguu, ukavunjika vibaya, unafikiri wakati anakimbizwa kwenda hosp kuna guarantee afike akiwa hai? Sometimes sio ya mguu, unaweza kuta imepiga ya moyo kwa sbb wanakimbizana, sasa ya moyo ukiwa hata kabla ya kufika hosp unatangulia mbele za haki, ndio hivyo yaani..!! Tii sheria bila shuruti
Sent using Jamii Forums mobile app