Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,227
- 138,721
- Thread starter
- #61
Nakupuuza bure,mwambieni Bashite aweke vyeti hewaniPia ni Jimbo la Ubungo pekee lenye mtunga sheria wa mwenye elimu ya hapa na pale.
Nakupuuza bure,mwambieni Bashite aweke vyeti hewaniPia ni Jimbo la Ubungo pekee lenye mtunga sheria wa mwenye elimu ya hapa na pale.
Hakuna kuchoka mpaka haki itendekeTumechoka kusikia habari hii
Yule amehitimu form four,six ndio akazungushaOle sendeka nae sinasikia alipata bashite bashite form 4
Huyo ni bashite achana naye hajui kua sugu..Huu ni ubashite,hata hujaelewa
Huu uzi ni kwa ajili ya wakuu wa Mikoa.huku mbeya mjini, mbunge wetu hatujui hata kaishia darasa La ngapi! ila namkubali tu hvyohvyo! dunia duara
Huu uandishi huu ni wa mtu Dizaini ya BashiteStd seven then akafanya kazi ga ulinz pale BP alipoanza kuimba ndio akaenda kukaa usa kwa washkaji akajifunza kiingereza cha kubabia
Unknown namesHivi Huyu RC anatumia nickname au fake name..?
Nauliza tu
Sisi hatujachoka, umechoka wewe tu....Tumechoka kusikia habari hii