Kama na wewe hamna kitu kichwani utashindwaje kumchagua....huku mbeya mjini, mbunge wetu hatujui hata kaishia darasa La ngapi! ila namkubali tu hvyohvyo! dunia duara
Necta wanasema hawatambui daud bashite, wala Paul makonda .sasa hayomatokeo in ya kutoka wapi au nayo bashite part twoNa haya feki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]![]()
Alipata bashite ya six mosh tech four alikua vizuriOle sendeka nae sinasikia alipata bashite bashite form 4
Bashite hata elimu ya darasa la nne alifeli akabahatisha kufika la 7 kwa mipango! Akafeli kwa hiyo hata cheti cha darasa la 7 hana!Unapenda habari ya kumsifu Bashite! hebu tuambie ana elimu gani zaidi ya la saba
Umechoka wewe Bashite sio sisi. Watu tuna vyeti vyetu bwana lakini kwakuwa haya mambo ni kwa kujuana basi Bashite atapewa hata kama Standard SevenTumechoka kusikia habari hii
Unajua mnajua kuwa Watanzania baada ya kumnyimwa elimu basi wanaishia kwa matukio. Mkaona hili mlisahaulishe kwa kwenda kuvamia Kituo lkn ndio mkaongeza moto, mkaleta mabadiliko ya mawaziri napo imeshindwa kufuta Bashite, mkaleta sijui kutimbua majipu wapii watu wanaye tu, mmeleta la bastola haijabamba, mkakimbilia mchanga watu wapo nae tu.... Asante Watanzania.Kawekeni mabango majiji yote Tanzania na tengenezeni matangazo kwa Tv na Radio stations. Naona hapo mtasikika
Yani wanaongozwa na kulaza wa mwisho kabisa Tanzania.Tumechoka kusikia habari hii
Sasa kikakuwasha nini matakoni kuisoma?Na mimi hapa
Tunajadili vikwazo vya maendeleo ya elimu,au wewe unadhani maendeleo ni kujenga madaraja tu,Watoto wamejaa humu Jf kila kukicha kujadili mambo ya watu badala ya maendeleo, hebu vijana wangu tujaribu kutumia fursa hii kupost threads zenye kuelimisha. P/se let us be real great thinkers.