Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

Ohh Bashiiiite
79c0f075edd2991b17576505e21df304.jpg
 
Kusoma sana, sio kua na akili wala kuto soma sana sio kutokua na akili.


Kuna watu wameishia la saba kwa sababu fulani fulani za kimaisha na wengine chini ya lasaba. Lakini uwezo wa uongozi wanao.

Lakini kuna walio soma sana, ila hawana uwezo wa uongozi.


Point yangu ni kwamba, wenye elimu ya chini wasidhalauliwe maana hata nao Mungu amewapa uwezo wao wakipekee sana.

Elewa kwanba, kiongozi huzaliwa.


Elimu ya gavana, awe nayo asiwe nayo sio shida, shida ni maadili basi.
 
Uzi huu hauna umuhimu wowote zaidi ya kuweka kumbukumbu katika hatua ambazo nchi yetu inapitia kama unavyojua JF ni archive ya mabaya na mazuri ya mama Tanzania.

Kwa mfumo wa elimu ya Tanzania unapohitimu kidato cha nne na kupata daraja sifuri hutatunukiwa cheti chochote. Kwa maana kwamba hutatambulika kama "uliyemaliza" form four......means tukiwaita waliohitimu form four wewe ukiitika utakuwa unajidanganya tu,maana huko mbele uyashindwa kutoa cheti

Hivyo kwa kuwa hujahitimu kidato cha nne ila umehitimu na kutunukiwa cheti cha darasa la saba hivyo mtu huyo hatatambulika kama muhitimu wa form four bali muhitimu wa darasa la saba.

Kwa logic huyo basi Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar ni muhitimu wa darasa la saba.

Nimefanya utafiti wa mikoa yote bara na visiwani wakuu wa mikoa yote ni mkoa wa Dar pekee kwenye mkuu wa mikoa darasa la saba

Na pia ni mkuu wa mikoa pekee ambaye haieleweki anaitwa Paul Makonda au Daud Bashite!!

Kumbukumbu hizi ni muhimu sana. Kama Magufuli amelazimisha tuongozwe na mtu wa namna hii atashindwa vipi kulazimisha kumuachia ikulu?

Jioni Njema wakuu
Masahihisho - Mtu aliyefeli darasa la 4 haiwezekani kumaliza darasa la 7
 
Ni mkuu wa mkoa pekee ndani ya nchii hii iliyobatikiwa mito, milima , ambaye wananchi wake wanahisi kuwa ni shoga
 
Back
Top Bottom