Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

Necta wamesema hawana jina la paul makonda wala daudi bashite.

Na haya feki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
519428ea77bfcd66e38cda0b110af5be.jpg
 
We ndezi huyo kachaguliwa kwa sanduku la kura lkn huyo mwingine ni appointee post
Tena elimu yake isiwe ya kuungaunga lakini ajabu ya mungu Dar ina Mkuu wa mkoa aliyezungusha form four hii hataree sana
 
Uzi huu hauna umuhimu wowote zaidi ya kuweka kumbukumbu katika hatua ambazo nchi yetu inapitia kama unavyojua JF ni archive ya mabaya na mazuri ya mama Tanzania.

Kwa mfumo wa elimu ya Tanzania unapohitimu kidato cha nne na kupata daraja sifuri hutatunukiwa cheti chochote. Kwa maana kwamba hutatambulika kama "uliyemaliza" form four......means tukiwaita waliohitimu form four wewe ukiitika utakuwa unajidanganya tu,maana huko mbele uyashindwa kutoa cheti

Hivyo kwa kuwa hujahitimu kidato cha nne ila umehitimu na kutunukiwa cheti cha darasa la saba hivyo mtu huyo hatatambulika kama muhitimu wa form four bali muhitimu wa darasa la saba.

Kwa logic huyo basi Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar ni muhitimu wa darasa la saba.

Nimefanya utafiti wa mikoa yote bara na visiwani wakuu wa mikoa yote ni mkoa wa Dar pekee kwenye mkuu wa mikoa darasa la saba

Na pia ni mkuu wa mikoa pekee ambaye haieleweki anaitwa Paul Makonda au Daud Bashite!!

Kumbukumbu hizi ni muhimu sana. Kama Magufuli amelazimisha tuongozwe na mtu wa namna hii atashindwa vipi kulazimisha kumuachia ikulu?

Jioni Njema wakuu
Duh virpba vinakusumbua
 
Thread inahusu wakuu wa mikoa na si wabunge...
Jaribu kuwa muelewa wa mambo, kama unataka kuzungumzia waabunge walioishia la saba anzisha uzi mwingine tutachangia...
Mkuu huyo asitupe tabu atuletee uzi wa Deo sanga a.ka "Jah people" aliyecheza kiduku baada ya kupitishwa kifungu cha sifa ya elimu ya Darasa la saba kwa anayetaka kugombea ubunge
 
Back
Top Bottom