Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

Wa darasa la 7 anaweza akawa the best na ni mchapa kazi mzuri kabisa kuliko aliefika form 6 or chuo kikuu. Ni maoni yangu tu.
 
Acha uongo hata elimu yako haifiki hata nusu ya elimu ya Makonda,kule Chuo cha Ushirika ulisoma wewe?halafu tuambie mwenyekiti wako Dj kafika darasa la ngapi
Uzuri wa Makonda ni kwamba watu kama hawa huwa anawajibu kwa vitendo, halafu anawaachia kazi ya kutafuta uhalali kupitia maandishi ya hapa jamii forum na kule facebook.
Siasa nyepesi sana za mleta mada, kibaya zaidi hazimsaidii kwa namna yoyote ile.
 
Nenda Nairobi kamjulie hali Tundu Lissu ,hizo habari za mkuu wa mkoa hazitusaidia wangapi wamesoma na wameshindwa kudeliver?Makonda ni mchapa kazi hodari angalia mambo anayoyafanya jijini Dar Es Salaam,chuki binafsi zako hazitusaidii wala hazimfanyi Makonda ashindwe kufanya kazi wewe endelea kuloloma na kushinda humu mitandaoni kwa kupoteza bundle zako kwa gubu lako dhidi ya Makonda,haya tuambiwe wewe uliyesoma una nini cha zaidi kama si kuleta ujinga kila siku humu mitandaoni,hangaika na ya kwako badala ya kupoteza muda kwa kuhangaika na ya wengine
Lissu ameingiaje? tena hapa mkuu,kujenga hoja haujui mpaka umtaje mmeo mwenzio! au Lissu anakufanya haulali kwa kumfikiria kila mara,maana hii ndiyo dalili ya Mtu amuwazae mwenzio
 
Wa darasa la 7 anaweza akawa the best na ni mchapa kazi mzuri kabisa kuliko aliefika form 6 or chuo kikuu. Ni maoni yangu tu.
La 7 ni la 7 tu na hauwezi mfananisha na form six labda kama una maslahi binafsi kutoka kwa huyo wa la 7,ndiyo utajitoa akili kwa kulisema hili
Sugu Ni form 4 leaver na hajafoji popote tofauti na Bashite ambae hajulikani kama ni Nyani au Tumbili.
 
Ni kweli kabisa inawezekana hata darasani hajaingia ila hao wengine wenye PHD wamefanya nini kwenye mikoa yao wekeni fitna pembeni muungeni mkono basi khaaa
 
Pamoja na kuwa STD 7
Unaona anavyo wanyesha watu kama wewe wenye
PhDs na MaMBA yenu ya Harvard au Oxford au ile ya Dar inaitwaje Vile ? Wote.
Mtalia sanaaaaaa tu.Ohh rudini mikoani maana hamna namna.
 
Back
Top Bottom