kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,351
- 12,687
Nilitaka tu kujua jinsia yako mkuu.Acha umaku Dada nani hapa? Au babako ndo Dada?
Nilitaka tu kujua jinsia yako mkuu.Acha umaku Dada nani hapa? Au babako ndo Dada?
Hao taleban nakumbuka kuna siku walimvamia mtu mchana kweupe wakampola na kumjeruhi watu walikua wanaangalia tuKimanga hapana tofauti na afghanistani maana kuna kikundi cha wahuni hapo wanajiita taleban
Mawazo bora kabisa mkuu!Kitu kimoja ninachojiuliza kila siku ni tunatumia fedha nyingi kuchagua viongozi wa serikali za mitaa. Hawa kazi zao ni zipi? Kwanini kila mtaa usiweke utaratibu wa usalama kwa makubaliano na wakazi wa maeneo hayo? Ilipaswa tukio linapotokea mtaa fulani viongozi wa serikali za mitaa wahojiwe ili kueleza hatua wanazochukua kiusalama. Kama mtaa unakuwa na rekodi za uhalifu mfululizo viongozi husika wachukuliwe hatua kwa uzembe kama hawana sababu za msingi. Sungusungu ilirejee badala ya kutegemea Polisi ambao hawawezi kulinda mitaa yote.
Hao jamaa hawafai kuna rafiki zangu nao ni wana kikundi hicho yani wakitaka kumpora mtu dk zero tu wanabeba vyaoHao taleban nakumbuka kuna siku walimvamia mtu mchana kweupe wakampola na kumjeruhi watu walikua wanaangalia tu
Nilishangaa sana
Nina wasiwasi na hiyo picha ya mkono.Mkono ka mguu wa pig![]()
![]()
![]()
Sio gari zote. Ila Toyota nyingi hata za zamani kidogo ukitembea ukifikisha 18-20kph tu milango inaji-lock.Hivi ukitembea mwendo fulani milango si huwa inajilock?... Au sio gari zote?
Hivi kuwa mwanamke ni laana?..mbona ukifananisha hata kwa bahati mbaya na ke.....povu hiloooNilitaka tu kujua jinsia yako mkuu.
Kwahio hayo yote uliyosema yanaiondoa SA na miji yake kuwa hatari. Crime rate sio hisia zako wala zangu. Ni facts zibazotakana na uhalifu. Hayo yote ulioorodhesha ni crimes kubwa na zinaifanya SA na miji yake kuwa hatari kuliko TzRrondo SA kuna gangster fight ambayo katika hiyo miji yote uliyotaja wapo na wanapewa namba zao 26,27 na 28 na ndio wana deal na kuuza nyunga ,wapo PAGAD huko Cape Town na transit Robbery kwa ajili ya Magari yanayosafisha fedha nyingi,wapo wezi wa Magari kwenye mataa free way nyingi zina ulinzi sana...Mimi mnunuzi wa bidhaa SA au yeyote tupo busy Kerk Street na kwa Wachina robbery zao hawadeal na Wageni kama robbery zao zingekua kama kwetu watu wangeanzia kuibiwa Border zote maana wageni wanaingia na USD na kila siku mabus na private car za kutosha zinaingia Jozzi kwa ajili ya shopping...kiwango kikubwa cha mauaji ni gangster fight kila siku wanauana huko cape kuna cross road hapo ni hatari sana Guguletu na huko Hanover park kuna East na west Side...na kuibiwa SA ni mchongo wakati bongo hata bila mchongo jamaa wakikutamani una mpunga muda huo huo wanakuua na kuondoka na mpunga...
sitakishari mojaduuuu watoto wa keko hao...kituo kidg cha keko au chang'ombe wanauwezo wa kujua....kwani huwa wanajua nani ws kumfinya atasema tuuuu
Leo mhasibu nimesikia kaokotwa baharini Dar ipo salama endelea kukariri MkuuKwahio hayo yote uliyosema yanaiondoa SA na miji yake kuwa hatari. Crime rate sio hisia zako wala zangu. Ni facts zibazotakana na uhalifu. Hayo yote ulioorodhesha ni crimes kubwa na zinaifanya SA na miji yake kuwa hatari kuliko Tz
Upuuzi kabisa wauaji wanatumia Simu na hawakamatwi wapo busy kukamata wanaokashifu harafu unalikuta kuna mtu yupo busy kusema Dar ipo salama...Police are bussy with dangerous man known as mbowe