Wana JF,
Ninategemea kusafiri kesho kwenda MOSHI kutokea Dar es salaam.
Naomba kujua Nauli,Basi zuri na mwendo salama la kupanda.Na muda nitakao tumia.
Pia Moshi...sehemu confortable kwaajili ya malazi.....
Asante sana.Mungu awape baraka tele.
Pa kulala ndugu yangu....kama unapajua maeneo hayo.Asante sana Asprin-Be blessed.