Dar: Mkuu wa Mkoa, Amos Makala aagiza Mabasi yote kushushia abiria Stand ya Mbezi

Sasa Mheshimiwa Makalla, mfano: sisi tunaoishi Mbagala tumepanda basi la kutoka Mtwara au Songea, ina maana tufike Mbezi Louis tushuke halafu tutafute daladala ya kurudi Mbagala?

Ukumbuke mabasi mengine yanaingia Dar usiku.

Haya mateso yote ya nini?
Nyinyi ndiyo wahamiaji haramu mnaosemwa.
 
Mama naona ametuletea waleta vibwagizo. Akipanda kwenye V8 GXR anadhani wasafiri wanajitakia. Esater Bus inakwenda mpaka Chanika lakini iwashushe Wasafiri Mbezi wanaokwenda Chanika halafu Bus iende tupu. Mbona ni Upumbavu huu!!!
 
Unakoenda nauli 27000-33000Tshs ila mpaka kufika Mbezi kama hutolala Guest za karibu ambazo ni kuanzia Tshs 10000 na kuendelea matumizi ya kufika Mbezi ya yanazidi nauli.

Mkuu wa Mkoa jifikirie tu kidogo hatuko zama za 1800.
Kuna kampuni sasa zinafuata watu mpaka walipo kwa Mabasi unataka yakajazane pale ili iweje?

Mnatuangusha saana wasomi wetu nyie msio na akili za kujitafakari kisa Ugali.
 
Huyu ni mjinga na mpumbavu, asitoe maagizo bila yeye mwenyewe kufanya jaribio la kusafiri na bus toka mikoani akiwa na mizigo mingi na watoto wadogo, uwepo wa hiyo stand na miundombinu isiyokamilika unasababisha adha kubwa sana kwa abiria hasa wa kipato cha chini, wengi wao wakiwa ni akina mama, abiria hao wanaingia gharama kubwa kukodi matoroli na kuvusha mizigo na watoto kutoka stand kuu kwenda stand ya daladala ambayo nayo imejaa vuruguna usumbufu kutoka kwa wapiga debe, mazingira ya hizo stand mbili siyo rafiki kabisa kwa low income earners, yametengenezwa kuwanyonya watu wa tabaka la chini na kuwafavour wafanyabiashara.

Ningemuona huyo RC ana akili iwapo angesafiri kwa daladala toka mjini hadi hapo Mbezi halafu apande bus alfajiri akiwa na mizigo na watoto wadogo, kisha jioni arejee toka mkoani akiwa na watoto na mizigo, ashuke hapo avuke barabara, atafute usafiri wa daladala kwenda mjini, baada ya hapo atumie experience hiyo kutoa matamko, vinginevyo atakuwa amefanya upumbavu mkubwa mno kutoa maamuzi bila kujionea hali halisi ilivyo hapo stand.

Matamko aliyotoa ni ya kipumbavu na kijinga kabisa, amekosa ubunifu wa kuwabaini wahamiaji haramu, badala yake anatafuta njia rahisi ya kukidhi haja yake bila kujua mateso wanayopata wananchi masikini. Huu ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa, wenye mabasi wamekuwa wakiwapa unafuu wasafiri wanaokwenda mjini kwasababu ya adha zilizopo hapo stand, yeye anaongeza shida juu ya shida badala ya kutafuta mbinu ya kuwakabili wahamiaji haramu anawakabili wananchi masikini wenye kipato duni kabisa. Atambue kwamba ukuu wa mkoa ni kuumiza kichwa, siyo kulala na kufikiria pombe, ukuu wa mkoa ni kufikiria namna bora za kuwapa unafuu wananchi, maagizo aliyotoa ni ya kuwatesa wananchi.
Pole sana mkuu. Nimevaa viatu vyako. Ndiyo serikali yetu ya wanyonge.
 
Au kwa mfano nimetoka Arusha na BM kufika Mbezi kituoni limeshusha abiria na likitoka hapo linaelekea kwenye ofisi zao zilizopo Shekilango,nami naishi Manzese.
Je hawaruhisiwi kuja kunishusha Shekilango?.
Ni lazima nishukie Mbezi?.
Akili ya kupewa ongeza na ya kwako mkuu
 
Kwa
Au kwa mfano nimetoka Arusha na BM kufika Mbezi kituoni limeshusha abiria na likitoka hapo linaelekea kwenye ofisi zao zilizopo Shekilango,nami naishi Manzese.
Je hawaruhisiwi kuja kunishusha Shekilango?.
Ni lazima nishukie Mbezi?.
mujibu wa boss ni lazima gari ishushe abiria wote Mbezi we utapanda dala dala
 
Naomba watembelee hapo kariakoo ajionee malori yalivyochafua hilo eneo,
Yaani ni kama vile hakuna serikali,
Mizigo na malori yanawekwa barabarani kiasi hata utashangaa kweli hii ndio ilala jiji?
 
Kama ni hivyo kila wilaya iwe na stand yake. Dar ni mji mkubwa sana. Kama mtu unakaa geza ulole na unakaa kwenda mbeya au tunduma. Ina maanisha lazima ukalale stendi basi
 
Kilimanjaro express wana ofisi kigamboni imefanya wasafiri wanaoenda kilimanjaro na Arusha kusafiri vizuri sana wanapoenda au kurudi na kwa urahisi, hivi hawa watu waliopewa dhamana hizi huwa wanafikiria sawasawa juu ya haya maagizo yao au wanakurupuka tu, wanaelewa adha itakayoletwa na huo uamuzi wao? Watu wanafurahia pale mambo yanaporahisishwa anakuja mwingine anakuja anavuruga.
 
Makal
Asema utaratibu wa Sasa ni rahisi ata kusafirisha wahamihaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha kuanzia Sasa Mabasi yote yanashusha na kupakia abiria kwenye kituo kikuu Cha Mabasi Cha Mbezi Louis.

RC Makalla amesema hayo wakati alipotembelea kituo hicho na kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za Wafanyabiashara kituoni hapo.

Amesema Serikali inatambua kituo kimoja pekee Cha Mabasi ambacho ni Mbezi na uwekezaji uliofanyika ni mkubwa hivyo hakuna maana Kama kila mmiliki wa mabasi atakuwa na kituo chake kupakia na kushusha abiria.

Aidha RC Makalla ameelekeza uongozi wa Stendi hiyo kuweka utaratibu wa baadhi ya Mabasi kushusha abiria kwenye eneo la kulaza magari ambapo kuna Banda la Mamalishe ili kuchochea biashara.

Kuhusu changamoto ndogondogo zilizojitokeza kituoni hapo, RC Makalla ameelekeza Viongozi wa Halmashauri ya Ubungo na kituo kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Mhe.Makalla pia ameelekeza Wafanyabiashara kituoni hapo wapangwe Katika utaratibu mzuri na bora kuendana na hadhi ya kituo.

Wakati huohuo RC Makalla ametembelea Soko la Machinga lililopo pembezoni mwa Stendi hiyo na kutaka Wafanyabiashara wote wahamishiwe sokoni hapo na uchunguzi ufanyike kwa wale waliopatiwa vibanda kwa upendeleo na kujuana ambapo Wafanyabiashara hao wamesema wapo tayari kuhamia sokoni apo na wamechoka kufanya biashara barabarani.

Amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kuweka utaratibu wa Daladala kushusha abiria sokoni apo ili kuchagiza biashara.
View attachment 1846949View attachment 1846950View attachment 1846951View attachment 1846952View attachment 1846954
Makala anarudia makosa yale yale ambayo yalimfanya mwendazake amtose, hivi anafikiria kweli upande mwingine wa shilingi? yeye anawaonea huruma watu wa bodaboda, Taxi na bajaji badala ya kuwaonea huruma abiria ambao wapo barabarani kwa zaidi ya saa 16 au sababu yeye anasafiri kwa Air Tanzania na VX8? kuna abiria wanakaa mbali sana ambako mabasi ndiko yanakolala kwa hiyo basi washushwe halafu wapande hizo taxi,bajaji na boda boda hizo pesa za kulipa usafiri hizo wanazo kweli? mtu atoke Mbezi aende Mbagala kwa huo usafiri sababu hata daladala zinakuwa zimejaa na hazibebi viroba , haya mambo ya kutoa matamko bila kufikiria matokeo yake wanaoumia ni wengi, kama mwenye bajaji au Taxi au bodaboda hapati wateja si ahame kituo, watu wamewekeza na wanataka tusafiri kwa usalama bila bugudha za wahuni wapiga debe ambao ni kero nyingine na wengi wao ni wezi. Makalla unakotupeleka siko, Dar Es Salaam ni jiji kubwa ,kulazimisha kila abiria ashuke na kupandia Stand ya Magufuli kule Mbezi unahatarisha usalama wa abiria, nyakati za matamko zimepitwa na wakati.
 
Asema utaratibu wa Sasa ni rahisi ata kusafirisha wahamihaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha kuanzia Sasa Mabasi yote yanashusha na kupakia abiria kwenye kituo kikuu Cha Mabasi Cha Mbezi Louis.

RC Makalla amesema hayo wakati alipotembelea kituo hicho na kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za Wafanyabiashara kituoni hapo.

Amesema Serikali inatambua kituo kimoja pekee Cha Mabasi ambacho ni Mbezi na uwekezaji uliofanyika ni mkubwa hivyo hakuna maana Kama kila mmiliki wa mabasi atakuwa na kituo chake kupakia na kushusha abiria.

Aidha RC Makalla ameelekeza uongozi wa Stendi hiyo kuweka utaratibu wa baadhi ya Mabasi kushusha abiria kwenye eneo la kulaza magari ambapo kuna Banda la Mamalishe ili kuchochea biashara.

Kuhusu changamoto ndogondogo zilizojitokeza kituoni hapo, RC Makalla ameelekeza Viongozi wa Halmashauri ya Ubungo na kituo kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Mhe.Makalla pia ameelekeza Wafanyabiashara kituoni hapo wapangwe Katika utaratibu mzuri na bora kuendana na hadhi ya kituo.

Wakati huohuo RC Makalla ametembelea Soko la Machinga lililopo pembezoni mwa Stendi hiyo na kutaka Wafanyabiashara wote wahamishiwe sokoni hapo na uchunguzi ufanyike kwa wale waliopatiwa vibanda kwa upendeleo na kujuana ambapo Wafanyabiashara hao wamesema wapo tayari kuhamia sokoni apo na wamechoka kufanya biashara barabarani.

Amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kuweka utaratibu wa Daladala kushusha abiria sokoni apo ili kuchagiza biashara.
View attachment 1846949View attachment 1846950View attachment 1846951View attachment 1846952View attachment 1846954

Ni mpumbavu na ataenda kushuka na BABA yake. Mfano Mimi nakaa Temeke natoka Moshi nimepanda Bus la Kilimanjaro ambalo litanishusha Shekilango,hii ni urahis kwangu , now he is pushing me to drop JPM STAND halafu nichukue daladala , na kama ikiwa usiku itakuwa ni mateso na Usalama pia .

Ni mpumbavu na mjinga APUUZWE.

Sometimes viongozi muwe mnafanya research JUU ya uhalisia kabla ya kuropoka. Tafuten njia bora ya kuongeza mapato na sio kusumbua watu

KENGE
 
Huyu ni mjinga na mpumbavu, asitoe maagizo bila yeye mwenyewe kufanya jaribio la kusafiri na bus toka mikoani akiwa na mizigo mingi na watoto wadogo, uwepo wa hiyo stand na miundombinu isiyokamilika unasababisha adha kubwa sana kwa abiria hasa wa kipato cha chini, wengi wao wakiwa ni akina mama, abiria hao wanaingia gharama kubwa kukodi matoroli na kuvusha mizigo na watoto kutoka stand kuu kwenda stand ya daladala ambayo nayo imejaa vuruguna usumbufu kutoka kwa wapiga debe, mazingira ya hizo stand mbili siyo rafiki kabisa kwa low income earners, yametengenezwa kuwanyonya watu wa tabaka la chini na kuwafavour wafanyabiashara.

Ningemuona huyo RC ana akili iwapo angesafiri kwa daladala toka mjini hadi hapo Mbezi halafu apande bus alfajiri akiwa na mizigo na watoto wadogo, kisha jioni arejee toka mkoani akiwa na watoto na mizigo, ashuke hapo avuke barabara, atafute usafiri wa daladala kwenda mjini, baada ya hapo atumie experience hiyo kutoa matamko, vinginevyo atakuwa amefanya upumbavu mkubwa mno kutoa maamuzi bila kujionea hali halisi ilivyo hapo stand.

Matamko aliyotoa ni ya kipumbavu na kijinga kabisa, amekosa ubunifu wa kuwabaini wahamiaji haramu, badala yake anatafuta njia rahisi ya kukidhi haja yake bila kujua mateso wanayopata wananchi masikini. Huu ni ujuha wa kiwango cha juu kabisa, wenye mabasi wamekuwa wakiwapa unafuu wasafiri wanaokwenda mjini kwasababu ya adha zilizopo hapo stand, yeye anaongeza shida juu ya shida badala ya kutafuta mbinu ya kuwakabili wahamiaji haramu anawakabili wananchi masikini wenye kipato duni kabisa. Atambue kwamba ukuu wa mkoa ni kuumiza kichwa, siyo kulala na kufikiria pombe, ukuu wa mkoa ni kufikiria namna bora za kuwapa unafuu wananchi, maagizo aliyotoa ni ya kuwatesa wananchi.
Mkuu huyu hajawahi kupanda basi wala daladala, yey ni AirTanzania au VX8 aliyeshiba hamujui mwenye njaa, badala ya kuwasikiliza abiria yeye anawasikiliza wapagazi na madereva wa bodaboda! anafurahiakiona abiria tukihangaika na viroba vyetu vya mihogo na watoto wachanga tukihangaika nao, anajua kila abiria ana pesa ya kikodi bajaji au taxi, sijui hivyo viroba vyetu tutavibebaje kwenye boda boda.
 
Asema utaratibu wa Sasa ni rahisi ata kusafirisha wahamihaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha kuanzia Sasa Mabasi yote yanashusha na kupakia abiria kwenye kituo kikuu Cha Mabasi Cha Mbezi Louis.

RC Makalla amesema hayo wakati alipotembelea kituo hicho na kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za Wafanyabiashara kituoni hapo.

Amesema Serikali inatambua kituo kimoja pekee Cha Mabasi ambacho ni Mbezi na uwekezaji uliofanyika ni mkubwa hivyo hakuna maana Kama kila mmiliki wa mabasi atakuwa na kituo chake kupakia na kushusha abiria.

Aidha RC Makalla ameelekeza uongozi wa Stendi hiyo kuweka utaratibu wa baadhi ya Mabasi kushusha abiria kwenye eneo la kulaza magari ambapo kuna Banda la Mamalishe ili kuchochea biashara.

Kuhusu changamoto ndogondogo zilizojitokeza kituoni hapo, RC Makalla ameelekeza Viongozi wa Halmashauri ya Ubungo na kituo kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Mhe.Makalla pia ameelekeza Wafanyabiashara kituoni hapo wapangwe Katika utaratibu mzuri na bora kuendana na hadhi ya kituo.

Wakati huohuo RC Makalla ametembelea Soko la Machinga lililopo pembezoni mwa Stendi hiyo na kutaka Wafanyabiashara wote wahamishiwe sokoni hapo na uchunguzi ufanyike kwa wale waliopatiwa vibanda kwa upendeleo na kujuana ambapo Wafanyabiashara hao wamesema wapo tayari kuhamia sokoni apo na wamechoka kufanya biashara barabarani.

Amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kuweka utaratibu wa Daladala kushusha abiria sokoni apo ili kuchagiza biashara.
View attachment 1846949View attachment 1846950View attachment 1846951View attachment 1846952View attachment 1846954
Kwani nchi zingine suala la ma bus kushusha abiria lipoje.maana tunachofanya ni kujaribu kufuata viwango vya wenzetu na sio kauli za kisiasa.
Pili miundo mbinu ya usafiri baada ya mtu kushuka na mizigo yake hapo mbezi upoje.
RC umewahi kuona miundo mbinu ya usafiri wa Nchi za wenzetu.
Na stand za mwisho za mabus zipo zote sehemu moja . Fikiria mtoto anatoka shule anafika saa 4 usiku na anafika mbezi , halafu anaishi tegeta, Mbweni au mjini inakuwaje kufika nyumbani na trunk lake.
 
Hawaruhusiwi ndio....

Huu utaratibu niliukuta Dodoma nilipoenda mwezi wa 5, yani abiria woote mnashushwa stand ya nanenane kisha basi linaenda mjini likiwa tupu.
Waambie waache huo ujinga mara moja. Stand za mabus zinatakiwa ziwe nyingi katika kanda au wilaya tofauti, ili kufupisha gharama za usafiri kwa abiria na mizigo yao.
 
Back
Top Bottom