Dar: Mkuu wa Mkoa, Amos Makala aagiza Mabasi yote kushushia abiria Stand ya Mbezi

Mkuu hujawahi kusafiri?.
Mikoa mingine baadhi kuna huu utaratibu wa abilia wote kushukia kituo kikuu, isipokuwa kwa masaa ya usiku ambapo huduma ya usafiri mwingine as daladala haupo.

Pia hiyo siyo sheria ya mkuu wa mkoa NO ni utaratibu upo kwenye transportation contract and agreements, hivyo mkuu wa mkoa mnampiga jiwe kimakosa.

Asubuhi kama unaanzia gongolamboto au kigamboni hakuna shida ila basi lifike pale Magufuri bus station then ondokeni mnakokwenda, jioni pia ingieni pale shukeni wote, chukua tax, bajaj, toyo au matatuu then nenda kwa nyumbani kwako.
Hivi wewe umewahi kusafiri nchi za wenzetu uone usafiri ulivyo ukishuka toka mikoani, dala dala zetu zina nafasi ya mtu mwenye begi au mabega.
Suala is toyo, bajaj, n.k linatakiwa iwe uamuzi wa kusafiri na sio shurti na kiongozi.
N.a. zaidi ya hapo umbali wa kukodi hiyo toyo, bajaj n.k upo sawa. Mbezi kwenda mbagala, tegeta n.k ni shs ngapi .
Wakati hapo kuna gharama kama hizo alipotoka nyumbani kwenda stand, nauli ya basi mfano toka Dodoma kwenda Dar, 25,000.00 , chakula njiani 7000.00, ufike Dar ule kwa Mama lishe 3000.00 , halafu uchukue toyo mpaka ulipofikia 10000 au zaidi na kurudi ni hivyo hivyo.
Na hapo ni mtu moja katika familia. Sasa uwe na mke na watoto wawili
 
Euro 2020 has been unfair for fans and a challenge for teams because of the vast difference in distances they have had to travel during the tournament, says Uefa president Aleksander Ceferin.

England play Italy in Sunday's final at Wembley after a championship that has been played in cities in 11 countries.
ADVERTISEMENT

Switzerland travelled the furthest, 15,485km (9,622 miles), while Scotland clocked up the shortest at 1,108km.

"I would not support it anymore," Ceferin told BBC Sport.

Speaking to BBC sports editor Dan Roan on a special Euro 2020 episode of The Sports Desk podcast, Ceferin conceded the format had been "too challenging".

He added: "In a way, it is not correct that some teams have to travel more than 10,000km while others have to only travel 1,000km.

"It is not fair to fans, who had to be in Rome one day and in Baku over the next few, which is a four and a half hour flight.

"We had to travel a lot, into countries with different jurisdictions, different currencies, countries in the European Union (EU) and Non-EU, so it was not easy.

"It was a format that was decided before I came [into post] and I respect it. It is an interesting idea but it is hard to implement and I don't think we will do it again."

Matches have been held in London, Glasgow, Amsterdam, Copenhagen, St Petersburg, Seville, Munich, Baku, Rome, Bucharest and Budapest.

Belgium, knocked out in the quarter-finals, travelled the second furthest at 10, 245km.

The format was called a "joke" by Wales defender Chris Gunter after his side were beaten in the last-16 by Denmark in Amsterdam, having travelled a total of 9,156km. They played their first two group games in Baku, Azerbaijan, before heading to Rome for their final group game.

Finalists England and Italy both played their three group games at home in London and Rome.

England, who also played their last-16 and semi-final games at Wembley have only travelled 3,874km in the tournament, for their quarter-final against Ukraine in Rome.

Italy, who played their last-16 game at Wembley before going to Munich for their quarter-final win over Belgium, and returning to London for the semi-final and final, have travelled 4,714km.

However, Ceferin also said Euro 2020, the first under his tenure, was the "most interesting" European Championship.

The tournament had been delayed by a year because of the Covid-19 pandemic and Ceferin said thorough testing at all venues has prevented any significant outbreak between any of the players.

"It has been a special Euros, for sure," the 53-year-old Slovenian added. "I will remember it as the beginning of normality and the return of fans.

"I have never seen a dramatic Euros like this one, with great matches and surprising results.

"Our health protocols are extremely tough, and everyone is tested, even those who have been vaccinated. I was tested 76 times.

"The teams are highly professional and they all respect the bubble system. Also, in the stadiums, we are very strict and when I see politicians saying people were infected at the matches, without any proof, it disappoints me a bit.

"Some say 2,000 Scottish fans were infected, but the Scottish fans who went to the match [against England at Wembley] were tested.

"There were also 20,000 who came to London without tickets. You are not tested in the park, but to accuse all football of spreading the virus is irresponsible in my opinion."
 
Asema utaratibu wa Sasa ni rahisi ata kusafirisha wahamihaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha kuanzia Sasa Mabasi yote yanashusha na kupakia abiria kwenye kituo kikuu Cha Mabasi Cha Mbezi Louis.

RC Makalla amesema hayo wakati alipotembelea kituo hicho na kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za Wafanyabiashara kituoni hapo.

Amesema Serikali inatambua kituo kimoja pekee Cha Mabasi ambacho ni Mbezi na uwekezaji uliofanyika ni mkubwa hivyo hakuna maana Kama kila mmiliki wa mabasi atakuwa na kituo chake kupakia na kushusha abiria.

Aidha RC Makalla ameelekeza uongozi wa Stendi hiyo kuweka utaratibu wa baadhi ya Mabasi kushusha abiria kwenye eneo la kulaza magari ambapo kuna Banda la Mamalishe ili kuchochea biashara.

Kuhusu changamoto ndogondogo zilizojitokeza kituoni hapo, RC Makalla ameelekeza Viongozi wa Halmashauri ya Ubungo na kituo kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Mhe.Makalla pia ameelekeza Wafanyabiashara kituoni hapo wapangwe Katika utaratibu mzuri na bora kuendana na hadhi ya kituo.

Wakati huohuo RC Makalla ametembelea Soko la Machinga lililopo pembezoni mwa Stendi hiyo na kutaka Wafanyabiashara wote wahamishiwe sokoni hapo na uchunguzi ufanyike kwa wale waliopatiwa vibanda kwa upendeleo na kujuana ambapo Wafanyabiashara hao wamesema wapo tayari kuhamia sokoni apo na wamechoka kufanya biashara barabarani.

Amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kuweka utaratibu wa Daladala kushusha abiria sokoni apo ili kuchagiza biashara.
View attachment 1846949View attachment 1846950View attachment 1846951View attachment 1846952View attachment 1846954
Yuko sahihi 100%
 
Au kwa mfano nimetoka Arusha na BM kufika Mbezi kituoni limeshusha abiria na likitoka hapo linaelekea kwenye ofisi zao zilizopo Shekilango,nami naishi Manzese.
Je hawaruhisiwi kuja kunishusha Shekilango?.
Ni lazima nishukie Mbezi?.
Mbunge wa Gairo aliongea kuhusu hiyo changamoto ya hizo stendi kuu, abiria utalazimika kukodi bajaji au pkpk kufika mwizho wa safari yako
 
Asema utaratibu wa Sasa ni rahisi ata kusafirisha wahamihaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha kuanzia Sasa Mabasi yote yanashusha na kupakia abiria kwenye kituo kikuu Cha Mabasi Cha Mbezi Louis.

RC Makalla amesema hayo wakati alipotembelea kituo hicho na kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za Wafanyabiashara kituoni hapo.

Amesema Serikali inatambua kituo kimoja pekee Cha Mabasi ambacho ni Mbezi na uwekezaji uliofanyika ni mkubwa hivyo hakuna maana Kama kila mmiliki wa mabasi atakuwa na kituo chake kupakia na kushusha abiria.

Aidha RC Makalla ameelekeza uongozi wa Stendi hiyo kuweka utaratibu wa baadhi ya Mabasi kushusha abiria kwenye eneo la kulaza magari ambapo kuna Banda la Mamalishe ili kuchochea biashara.

Kuhusu changamoto ndogondogo zilizojitokeza kituoni hapo, RC Makalla ameelekeza Viongozi wa Halmashauri ya Ubungo na kituo kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Mhe.Makalla pia ameelekeza Wafanyabiashara kituoni hapo wapangwe Katika utaratibu mzuri na bora kuendana na hadhi ya kituo.

Wakati huohuo RC Makalla ametembelea Soko la Machinga lililopo pembezoni mwa Stendi hiyo na kutaka Wafanyabiashara wote wahamishiwe sokoni hapo na uchunguzi ufanyike kwa wale waliopatiwa vibanda kwa upendeleo na kujuana ambapo Wafanyabiashara hao wamesema wapo tayari kuhamia sokoni apo na wamechoka kufanya biashara barabarani.

Amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kuweka utaratibu wa Daladala kushusha abiria sokoni apo ili kuchagiza biashara.
View attachment 1846949View attachment 1846950View attachment 1846951View attachment 1846952View attachment 1846954

Barabani kuna askari wa trafic kila sehemu Check point kila sehemu. Kama hao hawajawaona wahamiaji haramu sidhani kama hapo Mbezi ndipo wanaweza kuonekana kwa urahisi.

Na mtu anayesafirisha wahamiaji haramu kwa kusudi, au mhamiaji haramu anayejua yeye ni haramu, si rahisi kukaa kwenye basi hadi afike Mbezi.

Mheshimiwa, naomba waimarishe ulinzi wa mipakani, pamoja na check points, lakini pia vichochoro vinavyounganisha nchi na miji, ili kudhibiti watu kama wale wanaokwenda Songea kwenye machimbo, wakitokea Somalia.

Vinginevyo, agizo hili lina maana nyingine.
 
Ina maana kama unatokea morogoro na bus,abria hutakiwi kushukia njiani lazima ushukie stendi ya mkoa??
Ukishuka ndiyo uchukue usafiri wa kuelekea kwako

Ova
 
Ndo mana Magufuli alimtumbua

N miwani zake kama mchomeleaji mageti

Aache matamko ya kiboya hiyo stand miundombinu bado sio rafiki
 
Sasa Mheshimiwa Makalla, mfano: sisi tunaoishi Mbagala tumepanda basi la kutoka Mtwara au Songea, ina maana tufike Mbezi Louis tushuke halafu tutafute daladala ya kurudi Mbagala?

Ukumbuke mabasi mengine yanaingia Dar usiku.

Haya mateso yote ya nini?
Huyu nae atapita kama makonda tu.

Hana akili
 
Huyu mkuu wa mkoa bure kabisa. Anafikiri kuwa na cheo ni kutoa tu matamko hata kama hayana mashiko. Watu wakipakia hapo shekilango, mbagala au riverside kinamuuma nini. Matamko matamko matamko kama haya ambayo hayana mashiko yasifanyiwe kazi
 
Sasa angalau tuna mkuu wa Mkoa na wa wilaya ya Ubungo mpya wanaweza kusimamia changamoto lukuki zilizopo ktk kituo hicho cha kimataifa.
hicho kituo kisipo simamiwa vizuri na mamlaka husika kitapoteza maaana na malengo yaliyo kusudiwa.
lazima viongozi wetu wasimame imara,
waziri Jafo ndiye alikuwa anamudu sasa sijui aliyepewa dhamana ya Tamisemi kama anaweza kukabiliana na changamoto lukuki.
pamoja na kuwa na manaibu waziri 2 lkn bado wanaonekana kama wameelemewa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shekilango palishachafuka
Hata hapo Mbezi ni vurugu tupu. Sijui tunakwama wapi! Ndio kusema wameshindwa kabisa kuweka utaratibu mzuri utakao wawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao bila kuwa adha kwa abiria?
 
South Africa Johanesburg kuna kituo cha Mabus yote yanayoingia na kutoka Jijini Johanesburg.Lakini Mabus haya yanashusha njiani na kupakia na isitoshe yana office zao na pia yanapakia na kushusha kwenye ofisi zao! Zamani Pale Kamata kulikuwa na ofisi za mabus ya Scandavia..Abood pale opposite na Jengo la Club ya Simba..pale maeneo ya mnazi mmoja Lumumba ofis za mabus karibja yote yanayoenda Nairobi na Mombasa zipo pale.....Hicho kituo cha Mbezi kule gorofa ya pili kwenye ofisi za mambus ya kukatia ticket ni kituko akuna partitions za maofisi ya Mabus kama vile kituo cha Dodoma- kuna vimeza kama vya wauza Karanga ..niliingia mwezi jana mle ndani ni kituko!! Boresheni na wekeni miundo mbinu inayotakiwa ili kweli kiwe na handhi staiki!! Juu ya Wahamiaji haramu!! Solutions zipo za kisasa kabisa za kukamata wahamiajj haramu amtaki kuinvest kwenye technology- bado mpo zama za ujima! jamaa zangu wameshatembelea mara kibao pale Uhamiaji kuwaonyesha Technologies za kulinda boders na jinsi ya kukamata Wageni haramu amtaki kununua hizi technology! how Mabus kushusha watu kituo cha Mbezi itasaidia kukamata wahamiaji haramu wakati Abiria wakipanda au kushuka atudaiwi kitambulisho au Passport?????
China iwe unapanda Treni au Bus la kwenda mji Mwingine kama vile ilivyo Kwenye kupanda Boat za Kwenda Zanzibar Upewi Ticket kama ujaonyesha ID au Passport tena yenye Varidi Visa!!
huu mkoa wa Dar viongozi wake wanavituko sana
 
Hata hapo Mbezi ni vurugu tupu. Sijui tunakwama wapi! Ndio kusema wameshindwa kabisa kuweka utaratibu mzuri utakao wawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao bila kuwa adha kwa abiria?
Kituo cha Dodoma walau kina afadhari! Pale Mbezi Wale wapiga debe wanaokugombania kama Nzi upande Bus wanalolisupport ni kero ambayo mimi kama mimi inanikwaza sana kila nikiwa pale.Hao mama Ntilie wanaoalazimisha watu wakale kwao mazingira ni hatarishi kweli pamoja na wale wanaouza Nyama ugali bure pale nje ata sijui kama zile nyama zimekaguliwa na mabwana afya na ni nyama zinazoataili liwa na binadamu
 
Asema utaratibu wa Sasa ni rahisi ata kusafirisha wahamihaji haramu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amelielekeza Jeshi la Polisi kuhakikisha kuanzia Sasa Mabasi yote yanashusha na kupakia abiria kwenye kituo kikuu Cha Mabasi Cha Mbezi Louis.

RC Makalla amesema hayo wakati alipotembelea kituo hicho na kusikiliza kero na changamoto mbalimbali za Wafanyabiashara kituoni hapo.

Amesema Serikali inatambua kituo kimoja pekee Cha Mabasi ambacho ni Mbezi na uwekezaji uliofanyika ni mkubwa hivyo hakuna maana Kama kila mmiliki wa mabasi atakuwa na kituo chake kupakia na kushusha abiria.

Aidha RC Makalla ameelekeza uongozi wa Stendi hiyo kuweka utaratibu wa baadhi ya Mabasi kushusha abiria kwenye eneo la kulaza magari ambapo kuna Banda la Mamalishe ili kuchochea biashara.

Kuhusu changamoto ndogondogo zilizojitokeza kituoni hapo, RC Makalla ameelekeza Viongozi wa Halmashauri ya Ubungo na kituo kuzipatia ufumbuzi wa haraka.

Mhe.Makalla pia ameelekeza Wafanyabiashara kituoni hapo wapangwe Katika utaratibu mzuri na bora kuendana na hadhi ya kituo.

Wakati huohuo RC Makalla ametembelea Soko la Machinga lililopo pembezoni mwa Stendi hiyo na kutaka Wafanyabiashara wote wahamishiwe sokoni hapo na uchunguzi ufanyike kwa wale waliopatiwa vibanda kwa upendeleo na kujuana ambapo Wafanyabiashara hao wamesema wapo tayari kuhamia sokoni apo na wamechoka kufanya biashara barabarani.

Amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kuweka utaratibu wa Daladala kushusha abiria sokoni apo ili kuchagiza biashara.
View attachment 1846949View attachment 1846950View attachment 1846951View attachment 1846952View attachment 1846954
Ndugu Makala anapaswa kufahamu kuwa Dar es Salaam ni kubwa na kinachofanyika ni kwa wenye mabasi kuboresha huduma na kuwaondolea abiria adha ya usafuri na double costs kwa kuwasogezea huduma at least karibu na maeneo wanayoishi. Vilevile atambue kuwa mapato yanayopatikana maeneo mengine nje ya kituo cha Mbezi yanaingia ktk mkoa wake Vilevile. Kuhusu usalama ni jukumu la polisi kuhakikisha usalama wa raia sehemu zote. Hivyo kwa ujumla wake sioni mantiki ya tamko hili.
 
Haaahaaahaaa akili za wateule nusu kopo nusu kojo Kuna mambo mengine nikiona jinsi yanavyoenda naona Bora wakoloni warudi TU maana Kwa akili kama za Makalla ha
Hafai hata kua karani wa kituo Cha garimoshi la kigoma la mwaka 1935

Pumbaf kabisa!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom