BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Ni upumbavu haswaa...hawa maRC na UDC wanatuonaje! Kwanini wanapenda kuwatesa wananchi!.. wao wana maV8 na isitoshe wanatumia usafiri wa angani....kwanini wanatusumbua lakini!....Msafiri anatoka Mwanza anashukia mbezi, alafu anafikiria usafiri wa kutoka mbezi adi mjini, na haoo una watoto, mizigo na kama umepanga kufikia hotel ndio akili inachoka haswaaaaaaaaa......ni kutesana tu hakuna kingine.
Naomba serikali iliangalie upya swala hili, ikiwezekana abiria washushiwe mjini/Urafiki atleast...mfano; abiria wa kutoka kanda ya ziwa musoma, mwanza, Shinyanga na kahama bus linawasili saa 5 usiku, alafu ukifika stand utafute tena usafiri wa kukupeleka adi mjini jamani!!!!!, hamuoni ni mateso haya!...na isitoshe kuna gharama tena za usafiri ....aisee treni ya umeme ikamilike haraka, otherwise tutaendelea kuteseka.
Naomba serikali iliangalie upya swala hili, ikiwezekana abiria washushiwe mjini/Urafiki atleast...mfano; abiria wa kutoka kanda ya ziwa musoma, mwanza, Shinyanga na kahama bus linawasili saa 5 usiku, alafu ukifika stand utafute tena usafiri wa kukupeleka adi mjini jamani!!!!!, hamuoni ni mateso haya!...na isitoshe kuna gharama tena za usafiri ....aisee treni ya umeme ikamilike haraka, otherwise tutaendelea kuteseka.