figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Mkuu wa wilaya ya Ilala Ngw'ilabuzu Ndatwa Ludigija ametahadharisha Wananchi wa Dar kwamba Wasinunue mafuta ya kwenye Madumu.
Kasema Pwani ya Dar kuna Meli inamwaga mafuta, fukwe zote zimejaa mafuta ambayo bado haijafahamika, hivyo watu wanachota na kwenda kuuza Mtaani. Mafuta haya yanaweza kuharibu Injini ya gari. Na wale wanaoishi jirani na Dar wawe makini. Mafuta haya yapo Mkuranga Bagamoyo na Tanga
Pia amepiga marufuku watu kutumia maji ya bahari hadi Uchunguzi utakapo kamilika. Haijajulikana mafuta yale yana mchanganyiko wa Vitu gani.
Kasema Pwani ya Dar kuna Meli inamwaga mafuta, fukwe zote zimejaa mafuta ambayo bado haijafahamika, hivyo watu wanachota na kwenda kuuza Mtaani. Mafuta haya yanaweza kuharibu Injini ya gari. Na wale wanaoishi jirani na Dar wawe makini. Mafuta haya yapo Mkuranga Bagamoyo na Tanga
Pia amepiga marufuku watu kutumia maji ya bahari hadi Uchunguzi utakapo kamilika. Haijajulikana mafuta yale yana mchanganyiko wa Vitu gani.