DAR: Mbunge wa Mikumi Joseph Haule (Proffesor Jay) CHADEMA,avunjiwa nyumba yake

Watanzania ni wakatili sana kuliko Nchi nyingi nikizopita swala si wangewaambia watoe Mali zao wabomoe Nyumba...jirani zangu hapa wanatuita Boko haramu kwa ukatili unaofanywa Tanzania...
Taratibu tutaanza elewana kuwa tz hata wanaoambiwa na elimu ni makanjanja, nyuo vinafunisha ujinga mtupu. Ndio maana hawaoni thamani ya kitu chochote.Huo ukatili kila mhali upo, hata wanavyofelishana shule bila kujali hela za serikali na maisha ya mwanafunzi, wakuu wa wilaya ni wahuni tuu, wanatumia polisi hata ktk issue za kugombea mademu, na dili za kukomoa watu,wakiwepo watu waliojijenga zaidi yao na hivyo kuwa wapinzani wao.
 
Wanadhani kwa kuwabomolea wananchi nyumba zao ndiyo watapata kura 2020???? Mahakama inasiginwa waziwazi!!!!!! D/U fahamu ubungo na kibamba hutokaaa upate kura na hutukaa upate amani hata uombewe na wanyarwanda elfu
 
Sisi tusio na kibanda ndio tunaujua uchungu wa kutokuwa na makazi.
Hii ni mipango ya Mungu,hujui amekuepushia nini
Tuzidi kumshukuiru kwa kila hatua.






Ameandika katika Mitandao ya kijamii:


View attachment 599579

Mimi ni mmoja wa wahanga wa hili zoezi la kubomolewa nyumba zetu huku Mbezi Kimara Tarehe 29/9/ 2017.

Jana nikiwa katika majukumu jimboni Mikumi Majira ya saa kumi mbili hivi jioni, nilitaarifiwa kwamba, watu wa Tanroads wakiwa wameambatana na grader mbili na magari mawili ya polisi (defenders) yenye askari waliokuwa na silaha mbalimbali za moto walikuwa wanabomoa nyumba yangu.(sijawahi kuumia kiasi hiki ).

Nimesikitishwa sana jinsi Tanroads wanavyoweza kujichukulia maamuzi bila ya kujali mhimili muhimu wa Mahakama wametoa maagizo gani. Na taratibu zilizotumiwa kubomoa nyumba yangu bila ya mimi na Tanesco kupewa taarifa saa kumi na mbili jioni (haukuwa muda wa kazi). Poa kubomoa nyumba huku Umeme ukiwa unawaka ni kitendo ambacho kwanza kina hatarisha maisha ya wabomoaji wenyewe, maisha ya familia yangu pamoja na majirani zangu, LIMENISIKITISHA zaidi.

Nasema hivi kwasababu Tanesco wamenipigia simu baada ya masaa 24 au zaidi baada ya zoezi la kubomoa nyumba kufanyika kunitaarifu kuja kukata Umeme kabla ya ubomoaji huo, pindi nilipo waambia kwamba mbona nyumba IMESHABOMOLEWA kabisa na sijaweza kuokoa kitu chochote na hata hiyo meter yenu mnayoiulizia mkaitafute kwenye kile kifusi cha nyumba yangu kilichokusanywa kwa pamoja na watu wa Tanroads. Tanesco walishangazwa sana kuvunjwa nyumba yangu kwa taratibu hizo.

Lakini naamini kila kitu kinatokea kwa sababu maalum. Nimejifunza kumtegemea Na kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Na hili ni moja ya mitihani ya hapa duniani. Nimepokea na kumsikiliza Mungu ana mipango gani juu yetu katika familia yangu mbeleni. Tumelipokea na Naamini tutashinda .
 
Huyu bwana hadi muda wake uishe atakuwa ameua watu wengi sana kwa presha kwa kuibomoa tanzania.

Na kibaya zaidi Huyu bwana yeye anacho jua ni kubomoa tu.
Mbona National housing wanajenga. Sio kweli, anajenga pia
 
Sheria imechuku mkono wake. Ukijenga barabarani bomoa, acha kukimbilia mahakamani kutafuta huruma za mahakama. Bomoa.
 
prof, acha tu uisome namba na wewe, by the way wewe ni mbunge utajenga nyingine. mkiwa huko bungeni muwe mnawafikiria maskini wa nchi hii wanavyoteseka.
kuna waliofukuzwa kazi kwa uonevu, kuna waliofilisiwa biashara zao, walionyang'anywa mashamba n.k, ninyi mpo kimya hatusikii kabisa mkisema chochote..
kwa kweli hakuna namna, "wacha waisomee nambaa eeh, wajinga wale.." just singing, lol
 
u
prof, acha tu uisome namba na wewe, by the way wewe ni mbunge utajenga nyingine. mkiwa huko bungeni muwe mnawafikiria maskini wa nchi hii wanavyoteseka.
kuna waliofukuzwa kazi kwa uonevu, kuna waliofilisiwa biashara zao, walionyang'anywa mashamba n.k, ninyi mpo kimya hatusikii kabisa mkisema chochote..
kwa kweli hakuna namna, "wacha waisomee nambaa eeh, wajinga wale.." just singing, lol
unajibu kama vile unaangalia bongo muvi... mfyuuuuuuuuuuuu:cool:
 
u

unajibu kama vile unaangalia bongo muvi... mfyuuuuuuuuuuuu:cool:
wewe mwalla, hujamboo? acha na yeye aonje machungu wanayoyapata wananchi masikini wanaoteseka kila siku. kuna watu wanaishi kama mashetani sasahivi kwa uovu, hawa mabwana hatuwasikii wakienda mahakamani kuwasaidia. wanakula bata tuuu
 
wewe mwalla, hujamboo? acha na yeye aonje machungu wanayoyapata wananchi masikini wanaoteseka kila siku. kuna watu wanaishi kama mashetani sasahivi kwa uovu, hawa mabwana hatuwasikii wakienda mahakamani kuwasaidia. wanakula bata tuuu
mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu anaesababisha hayo matatizo unajifanya humjui
 
mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu anaesababisha hayo matatizo unajifanya humjui
ndugu mwalla acha jazba. hawa wabunge wameshindwa kufanya chochote ili kunusuru mateso hayo? kweli? kuna haja gani sasa ya kuwa na wapinzani ambao wameufyata. acha tu waisome namba na wao, labda akili zitawarudi
 
Lazima mliokuwa mnaishi kama malaika muishi kama mashetani.

Tanzania mpya naiona inakuja kwa mbali

We ndo utakuwa kiongozi wa hayo mashetani paka shume mkubwa ukionyeshwa Tanzania mpya utaijua kenge wewe laana khum son**** a bitch!! Pole sana kamanda ndiyo mitihani ya maisha
 
Duh naijua hii nyumba,ilikuwa nzuri kwa kweli,ila mara ya mwisho nadhani wiki iliopita niliona ilibakia peke yake haijabomolewa,walioko nyuma yake walisha bomolewa,alipaswa hata hiyvo mh.Prof J kuishi kwa tahadhari kubwa,na jengo la karibu na yeye pale nililoliona ni la kanisa sijui kama nalo limebomolewa.
 
Haya ndo madhara ya kuchagua viongozi ambao wakati wakiwa watoto walishawahi kuugua ugonjwa wa kwashiorkor. Ajali, ushamba na ulimbukeni wa madaraka.
 
Back
Top Bottom