Kwa hiyo wabunge wa upinzani ndiyo wababaishaji!Pls unaonekana wewe huelewi kabisa kitu hapa, upizani ununue wabunge na NINI, hawa wabunge wa upizani ujue wananunuliwa na hela za walipa kodi wa tz, na wanaambiwa ccm itatumia MAMBAVU kuwarudisa mbunge, na pia uelewa ccm ina POLICY, STRATEGY au nini ndio hao wabunge wahamie ccm. hao wabunge wote ni NJAA TUPU na kutohesimu katiba