digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,909
- 14,413
Mbunge wa Wawi (CUF) Mkoa wa Kusini Pemba, Ahmed Juma Ngwali amejivua uanachama wa chama hicho na kuhamia CCM
Tutaheshimiana tu,CCM for 2020-2025
=======
Mbunge wa Jimbo la Wawi, Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba kwa tiketi ya CUF Ndugu Mohammed Juma Ngwali amejivua vyeo vyake vyote ndani ya Chama hicho na kuomba kujiunga na CCM leo.
Mbunge huyo ambaye alikuwa Kundi la Maalimu Seif amepokelewa na Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa akiwa pamoja na Wanachama wa CUF na ACT 1854.
Imetolewa na,
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
CHAMA CHA MAPINDUZI
Tutaheshimiana tu,CCM for 2020-2025
=======
TAARIFA YA HIVI PUNDE
02 March 2020
NG'OME YA MAALIMU SEIF YASAMBARATISHWA - PEMBA
02 March 2020
NG'OME YA MAALIMU SEIF YASAMBARATISHWA - PEMBA
Mbunge wa Jimbo la Wawi, Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba kwa tiketi ya CUF Ndugu Mohammed Juma Ngwali amejivua vyeo vyake vyote ndani ya Chama hicho na kuomba kujiunga na CCM leo.
Mbunge huyo ambaye alikuwa Kundi la Maalimu Seif amepokelewa na Ndugu Humphrey Polepole Katibu Mwenezi wa CCM Taifa akiwa pamoja na Wanachama wa CUF na ACT 1854.
Imetolewa na,
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
CHAMA CHA MAPINDUZI