Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Wewe naona unadunda dunda kama kitenesi ,leo tunaongelea hoja za malamiko ya waislamu kama vile suala la sensa,ujenzi wa shule na hospitali zinazomilikiwa na dini,memerundum of understanding between Government and christians affliated organisations.masuala ya Dr Slaa na Lissu yanaingiaje hapa?Jifunze kujenga hoja na kama hauna hoja ni vema kukaa kimya!

Mkuu hii forum huru usiwafunge watu wala usiwachagulie maneno ya kuandika wapi mlikaa mkapanga Dr Slaa na Lissu wasiongelewe au wewe upendi kama upendi Slaa atajwe kaa pembeni.
 
Afadhali ya CCM inajumuisha watu wenye imani na mtizamo mbalimbali kuhusu uislam, lakini kwa mwenendo wanaoonyesha mashabiki wa CDM kwenye JF itakuwa kosa kubwa kuwapa kura CDM. Kimsingi washabiki wengi wa CDM hapa JF wanachuki zaidi ya uislam na waislam kuliko walivyokuwa na chuki na CCM. Mwenyekiti wa CCM akibadilika na mgombea wa urais akitoka kwenye imani yao, si ajabu kuona wengine wakabadilika sana. Leo washabiki wa CDM wanataka kuwashawishi waislam kuwaunga mkono, mbona wao hawakutaka kukiunga mkono CUF pale kilipopigwa propaganda kwamba ni chama cha Kiislam. Tunawasihi wakina Molemo wasikubali kuwaachia washabiki wao kuonyesha kwamba adui yao ni uislam kwa kumoderate comment zao.
Ndio maana nikasema CDM haitakuja kushika hii nchi, CCM ni chama cha dini zote na makabila zote, leo hii hakuna hata kiongozi mmoja alieweza kujitokeza humu JF na kukalipia maneno ya wana CDM juu ya waislamu. Zinaletwa topic humu kibao na utaona viongozi wao wanatoa maoni yao, hata msemaji mkuu mpya wa CDM bi Josephine amekaa kimya
 
Nchi hii imefikishwa apa tulipo na wasomi wa Kikisristo, ebu nipe faida kidogo nyie wasomi wa Kikiristo mmelisaidiaje taifa letu kutoka kwenye dimbwi la umasikini?
Mkuu nashangaa statement kama hii kutoka kwako,nchi yetu toka ipate uhuru imekuwa chini ya utawala wa wakristu na waislamu na hata wapagani,maendeleo na mapungufu ni makosa ya waislamu na wakristu!ni vema wakati mwingine mngekuwa mnatoa elimu kwa waislamu wenzenu na siyo kuendelea kuwadanganya na kuwajengea chuki zisizokuwa na maana,ili watapokuwa wanaulizwa kwa nini wanafanya au wanalamikia kitu fulani wawe na hoja za msingi kuliko kuonekana kituko kila mara na kuvunja heshima ya dini ya kiislamu!
 
Kilichonishangaza wakati naangalia taarifa ya habari ITV wakihoji waandamanaji, kulikuwa na wadau wengine wakristo wamejichomeka mle, mfano ni yule aliyejitambulisha kwa jina la Eliud masawe (kama nimenukuu vizuri); Hadi sasaiv najaribu kutafakari nia yao hasa ilikuwa ni ipi kujipenyeza kwenye maandamano yale.
.
 
Mkuu hii forum huru usiwafunge watu wala usiwachagulie maneno ya kuandika wapi mlikaa mkapanga Dr Slaa na Lissu wasiongelewe au wewe upendi kama upendi Slaa atajwe kaa pembeni.

Mimi nimejibu kitu alichoniuliza mimi binafsi,vipi mbona unakuja juu kiasi hiki au umeanza kupandwa na jazba?kama jazba imepanda ni vema unywe maji ya baridi ili tuendelee na mjadala wetu wa leo!jifunze kujenga hoja bila kupaniki!
 
Kwani hawajahesabiwa?shehe Issa Ponda mwenyewe ameshahesabiwa kwa maelezo mazuri kamuulize Mkurugenzi wa sensa Bi Hajat Amina Mrisho!

Wewe ndio muulize Hajat Amina kwa nini kawadanganya Ponda kahesabiwa halafu huyo Ponda anaongoza maandamano.
 
Kilichonishangaza wakati naangalia taarifa ya habari ITV wakihoji waandamanaji, kulikuwa na wadau wengine wakristo wamejichomeka mle, mfano ni yule aliyejitambulisha kwa jina la Eliud masawe (kama nimenukuu vizuri); Hadi sasaiv najaribu kutafakari nia yao hasa ilikuwa ni ipi kujipenyeza kwenye maandamano yale.
.
Mkuu uislamu au ukristu sio jina bali ni matendo ya mtu!kama unatambua uislamu au ukristu wa mtu basing on names,some times you will be puzzled!kwamfano mtu anaishwa ramadhani frank,au abdalah mgulunde unaweza kunitajia dini zao?
 
Mkuu nashangaa statement kama hii kutoka kwako,nchi yetu toka ipate uhuru imekuwa chini ya utawala wa wakristu na waislamu na hata wapagani,maendeleo na mapungufu ni makosa ya waislamu na wakristu!ni vema wakati mwingine mngekuwa mnatoa elimu kwa waislamu wenzenu na siyo kuendelea kuwadanganya na kuwajengea chuki zisizokuwa na maana,ili watapokuwa wanaulizwa kwa nini wanafanya au wanalamikia kitu fulani wawe na hoja za msingi kuliko kuonekana kituko kila mara na kuvunja heshima ya dini ya kiislamu!
Nchii imepiganiwa na wafuasi wa dini zote, maendeleo yameletwa na wafuasi wa dini zote, tumeishi vizuri miaka nenda rudi lakini leo hii kinakuja chama chenye watu wenye maslahi binafsi halafu wanataka kututenganisha. CDM lazima mbadilike na kuonyesha kuwa kwanza ni utaifa ili dini zote ziwakubali lasivyo mtabaki kuwa wabwekaji tu Bungeni.
 
Mkuu uislamu au ukristu sio jina bali ni matendo ya mtu!kama unatambua uislamu au ukristu wa mtu basing on names,some times you will be puzzled!kwamfano mtu anaishwa ramadhani frank,au abdalah mgulunde unaweza kunitajia dini zao?

unaweza ukawa sahihi mkuu, ndo mana nikabaki najiuliza tu.
 
Wewe ndio muulize Hajat Amina kwa nini kawadanganya Ponda kahesabiwa halafu huyo Ponda anaongoza maandamano.

Ponda anawaadaa waislamu wenzake,ukweli ni kwamba shehe ponda alihesabiwa kupitia mke wake kwa kuwa wale waislamu waliokuwa vinara wa mgomo their residential places were earmarked in order to pave the way for a thorough follow up!
 
Mkuu uislamu au ukristu sio jina bali ni matendo ya mtu!kama unatambua uislamu au ukristu wa mtu basing on names,some times you will be puzzled!kwamfano mtu anaishwa ramadhani frank,au abdalah mgulunde unaweza kunitajia dini zao?

unaweza ukawa sahihi mkuu, ndo mana nikabaki najiuliza tu.

Precisely!kwa mfano huyu Abdalah Mgulunde ambaye kwa sasa ni marehemu alikuwa askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Tabora miaka ya tisini!!!
 
Hao ni waislmu wenye umoja, sio wakuu wa chama fulani wakianza kupigwa watu wao wao hukimbia na wengine hufa !

mkuu umoja huu mbona unakinzana na mikakati ya maendeleo ya nchi ambayo si dhambi? Ningeelewa kama labda kila anayehesabiwa angekuwa analazimishwa kunywa chupa moja ya bia! Sababu za kugomea sensa hazina mashiko!
 
Umoja kwenye maandamano hautoshi tunataka umoja pia katika shughuli za maendeleo ambayo mwisho wa siku utachochea maendeleo ya waislamu!

nani kakwambia waislam hatuna huo moja!...
 
Mkuu nashangaa statement kama hii kutoka kwako,nchi yetu toka ipate uhuru imekuwa chini ya utawala wa wakristu na waislamu na hata wapagani,maendeleo na mapungufu ni makosa ya waislamu na wakristu!ni vema wakati mwingine mngekuwa mnatoa elimu kwa waislamu wenzenu na siyo kuendelea kuwadanganya na kuwajengea chuki zisizokuwa na maana,ili watapokuwa wanaulizwa kwa nini wanafanya au wanalamikia kitu fulani wawe na hoja za msingi kuliko kuonekana kituko kila mara na kuvunja heshima ya dini ya kiislamu!

Usikwepeshe mambo toka tupate uhuru Wakiristo ndio wamejaa karibia wizara zote za serikali mashirika ya umma, hata mikataba yote kipuu mibovu ya kuuza nchi, migodi ya dhahabu, Almasi, Ardhi, mabenki, yote imefanywa na wasomi wa Kikirsto ambao kila kukicha mnajitapa kuwa mmesoma.
 
Nchii imepiganiwa na wafuasi wa dini zote, maendeleo yameletwa na wafuasi wa dini zote, tumeishi vizuri miaka nenda rudi lakini leo hii kinakuja chama chenye watu wenye maslahi binafsi halafu wanataka kututenganisha. CDM lazima mbadilike na kuonyesha kuwa kwanza ni utaifa ili dini zote ziwakubali lasivyo mtabaki kuwa wabwekaji tu Bungeni.

Mkuu mbona unanichanganya?tatizo siyo CDM tatizo ni viongozi wa dini wanaowapotosha waumini wao!CDM ni chama cha siasa siku zote wao wanajipanga kuchukua dola kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa!mambo ya dini ni sisi wenyewe wenye dini zetu!Mimi binafsi siamini kama CDM ni chama kinachofungamana na ukristu au CUF kama chama kinachofungama na uislamu,au CCM chama cha freemansons as it is propagated!!!
 
Usikwepeshe mambo toka tupate uhuru Wakiristo ndio wamejaa karibia wizara zote za serikali mashirika ya umma, hata mikataba yote kipuu mibovu ya kuuza nchi, migodi ya dhahabu, Almasi, Ardhi, mabenki, yote imefanywa na wasomi wa Kikirsto ambao kila kukicha mnajitapa kuwa mmesoma.

sa mkuu unataka mtu afuzu madrasa hafu apewe u meneja wa benki. mbona unafikiri kwa distance ndogo kiasi hiko?
 
Usikwepeshe mambo toka tupate uhuru Wakiristo ndio wamejaa karibia wizara zote za serikali mashirika ya umma, hata mikataba yote kipuu mibovu ya kuuza nchi, migodi ya dhahabu, Almasi, Ardhi, mabenki, yote imefanywa na wasomi wa Kikirsto ambao kila kukicha mnajitapa kuwa mmesoma.

Mkuu upo bias in favour of muslims,fedha zilizokuwa zimefichwa nje ya nchi na Malima kigoma miaka ya tisini zilikuwa za msomi wa kikistu?zile fedha walizo kuwa wanahamishiana kati ya Dr Idrisa Rashid na Andrew Chenge wote walikuwa ni wakristu?
 
Mkuu mbona unanichanganya?tatizo siyo CDM tatizo ni viongozi wa dini wanaowapotosha waumini wao!CDM ni chama cha siasa siku zote wao wanajipanga kuchukua dola kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa!mambo ya dini ni sisi wenyewe wenye dini zetu!Mimi binafsi siamini kama CDM ni chama kinachofungamana na ukristu au CUF kama chama kinachofungama na uislamu,au CCM chama cha freemansons as it is propagated!!!
Vingozi wa dini wamevamia siasa, tazama team ya CDM ndio utajua.
 
Ponda anawaadaa waislamu wenzake,ukweli ni kwamba shehe ponda alihesabiwa kupitia mke wake kwa kuwa wale waislamu waliokuwa vinara wa mgomo their residential places were earmarked in order to pave the way for a thorough follow up!

Mkuu wakati mwingine kama unakosa kitu cha kuandika ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha.

Kwanza Ponda sina kiongozi wa Waislam suala la sensa sio la Ponda kwanza unatakiwa hujui ilo kwa Ponda hata Msikiti hana, Ponda ni muislam kama mie tu, kwa kukusaidia dini yetu aifuati mtu inafuata mafundisho yaliyomo kwenye kitabu.
 
Vingozi wa dini wamevamia siasa, tazama team ya CDM ndio utajua.
Mkuu unataka siasa zifanywe na watu wasiokuwa na dini?Maalim seif ,Prof Lipumba,Jussa Ladhu Jussa kwenye CUF hawana dini?Jk Kikwete wa CCM hana dini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom