Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Usikwepeshe mambo toka tupate uhuru Wakiristo ndio wamejaa karibia wizara zote za serikali mashirika ya umma, hata mikataba yote kipuu mibovu ya kuuza nchi, migodi ya dhahabu, Almasi, Ardhi, mabenki, yote imefanywa na wasomi wa Kikirsto ambao kila kukicha mnajitapa kuwa mmesoma.
Huu ndiyo ujinga tunaousema kila siku. Sasa kama hao wakristu waliosaini mikataba ya kipuuzi wamejazana serikalini, wewe unafanya nini kubadilisha hali hiyo? Mimi ni mkristu lakini napigana juu chini kuleta mabadiliko ili kuuonda mfumo huu wa kifisadi bila kujali anayefanya ufisadi ni mkristu au muislam...wewe unafanya nini? Wewe na wenzako si ndiyo mnatukejeli sisi hapa kila siku kwamba ccm itatawala milele na chadema tulie tu? Huoni wewe unakuwa ndiyo mpuuzi wa mwisho kabisa kwa kuponda kitu kilele unachoshabikia? Hizi lawama zako unazipeleka kwa nani hasa wakati ni wewe mwenyewe na wenzako umewapa viongozi wa serikali ridhaa ya kusaini mikataba mibovu na ufisadi mwingine? Unamlaumu nani wewe?? Ndiyo maana wengine tunasema shule ni muhimu...
 
Mkuu wakati mwingine kama unakosa kitu cha kuandika ni bora ukae kimya kuliko kujidhalilisha.

Kwanza Ponda sina kiongozi wa Waislam suala la sensa sio la Ponda kwanza unatakiwa hujui ilo kwa Ponda hata Msikiti hana, Ponda ni muislam kama mie tu, kwa kukusaidia dini yetu aifuati mtu inafuata mafundisho yaliyomo kwenye kitabu.

Mkuu naona umeanza kuchemsha,mimi nimesema wale viongozi wa dini ya kiislamu waliokuwa mstari wa mbele kuhamasisha waislamu wagomee sensa walihesabiwa akiwemo Sheh Issa Ponda!
 
Ninawashauri Chama cha democrasia na maendeleo kuitisha maandamano nchi nzima ili kuwashukuru waislamu kufanikisha maandamano yao kwa amani na kudhihirishia umma kuwa bila polisi maandamano huwa ni ya amani, na polisi ndio chanzo cha vurugu kwenye mikutano, pamoja na hayo maandamano hayo pia yalenge kulaaani mauwaji ya raia katika maandamano ya kisiasa.
pia kuna kila sababu za kuwapongeza waislamu kuweza kutetea haki za watanzania wasio na hatia kuwekwa mbali. na serikali ishtakiwe kwa hilo.

NI MTAZAMO WANGU.....
 
Huu ndiyo ujinga tunaousema kila siku. Sasa kama hao wakristu waliosaini mikataba ya kipuuzi wamejazana serikalini, wewe unafanya nini kubadilisha hali hiyo? Mimi ni mkristu lakini napigana juu chini kuleta mabadiliko ili kuuonda mfumo huu wa kifisadi bila kujali anayefanya ufisadi ni mkristu au muislam...wewe unafanya nini? Wewe na wenzako si ndiyo mnatukejeli sisi hapa kila siku kwamba ccm itatawala milele na chadema tulie tu? Huoni wewe unakuwa ndiyo mpuuzi wa mwisho kabisa kwa kuponda kitu kilele unachoshabikia? Hizi lawama zako unazipeleka kwa nani hasa wakati ni wewe mwenyewe na wenzako umewapa viongozi wa serikali ridhaa ya kusaini mikataba mibovu na ufisadi mwingine? Unamlaumu nani wewe?? Ndiyo maana wengine tunasema shule ni muhimu...

Mkuu hilo ndiyo tatizo la nchi yetu,watuwashabebeshwa propaganda za kidini na kusahau kuondoa mfumo wa kifisadi!kesho huyu huyu utamkuta anautetea mfumo wa kifisadi mpaka povu linamtoka,kumbe anakuwa anasumbuliwa na udini!!we should trade off between ufisadi na udini !
 
Mkuu upo bias in favour of muslims,fedha zilizokuwa zimefichwa nje ya nchi na Malima kigoma miaka ya tisini zilikuwa za msomi wa kikistu?zile fedha walizo kuwa wanahamishiana kati ya Dr Idrisa Rashid na Andrew Chenge wote walikuwa ni wakristu?

Mkuu Kigoma Malima kaweka kiasi gani cha pesa? Vipi Dr.Slaa naye pesa ya ziara ya Papa hunajua kama ndio ilimfukuzisha upadri...tuanzie hapo kabla atajazama kwa Mkapa, Mahalu, Balali, Mkono, Chenge, Liyumba, Yona, Lowassa, wengine wapo kwenye list ya ufisadi ya Dr. Slaa.
 
Mkuu naona umeanza kuchemsha,mimi nimesema wale viongozi wa dini ya kiislamu waliokuwa mstari wa mbele kuhamasisha waislamu wagomee sensa walihesabiwa akiwemo Sheh Issa Ponda!

Mkuu mie tena wa kuchemsha kwako au wewe ndio unataka kutoka nduki mie nipo mkuu, kauli yako umesema Ponda ni gaidi namba moja pili ukasema Ponda anawaadaa Waislam mie ndio nimekujibu hivyo...labda uniambie ugaidi ya Ponda ni upi?
 
"Dr Slaa aliacha upadri kwa hiari hakushinikizwa, kufukuzwa wa kuliibia kanisa pesa yeyote" cardinal pengo
- sasa ww nani unaetuletea utumbo huu hapa
Mkuu Kigoma Malima kaweka kiasi gani cha pesa? Vipi Dr.Slaa naye pesa ya ziara ya Papa hunajua kama ndio ilimfukuzisha upadri...tuanzie hapo kabla atajazama kwa Mkapa, Mahalu, Balali, Mkono, Chenge, Liyumba, Yona, Lowassa, wengine wapo kwenye list ya ufisadi ya Dr. Slaa.
 
Huu ndiyo ujinga tunaousema kila siku. Sasa kama hao wakristu waliosaini mikataba ya kipuuzi wamejazana serikalini, wewe unafanya nini kubadilisha hali hiyo? Mimi ni mkristu lakini napigana juu chini kuleta mabadiliko ili kuuonda mfumo huu wa kifisadi bila kujali anayefanya ufisadi ni mkristu au muislam...wewe unafanya nini? Wewe na wenzako si ndiyo mnatukejeli sisi hapa kila siku kwamba ccm itatawala milele na chadema tulie tu? Huoni wewe unakuwa ndiyo mpuuzi wa mwisho kabisa kwa kuponda kitu kilele unachoshabikia? Hizi lawama zako unazipeleka kwa nani hasa wakati ni wewe mwenyewe na wenzako umewapa viongozi wa serikali ridhaa ya kusaini mikataba mibovu na ufisadi mwingine? Unamlaumu nani wewe?? Ndiyo maana wengine tunasema shule ni muhimu...

Wewe ndio mwenye akili waislam wote kwako ni wapuuzi hawajaenda shule, sasa mtu ambaye mpuuzi mjinga ajasoma unaangaikanae wa nini jikusanyeni nyie waelevu mliosoma fanyanyeni hayo mabadiliko yenu waislam wapuuzi na wajinga waacheni tatizo lipo wapi mkuu.
 
Huu ndiyo ujinga tunaousema kila siku. Sasa kama hao wakristu waliosaini mikataba ya kipuuzi wamejazana serikalini, wewe unafanya nini kubadilisha hali hiyo? Mimi ni mkristu lakini napigana juu chini kuleta mabadiliko ili kuuonda mfumo huu wa kifisadi bila kujali anayefanya ufisadi ni mkristu au muislam...wewe unafanya nini? Wewe na wenzako si ndiyo mnatukejeli sisi hapa kila siku kwamba ccm itatawala milele na chadema tulie tu? Huoni wewe unakuwa ndiyo mpuuzi wa mwisho kabisa kwa kuponda kitu kilele unachoshabikia? Hizi lawama zako unazipeleka kwa nani hasa wakati ni wewe mwenyewe na wenzako umewapa viongozi wa serikali ridhaa ya kusaini mikataba mibovu na ufisadi mwingine? Unamlaumu nani wewe?? Ndiyo maana wengine tunasema shule ni muhimu...

Ni bora wabaki hao mafisadi wa ccm kuliko cdm sijaona matumaini yyte kwa waislam kutoka cdm,nchi inahitaji mabadiliko lakini chama mbadala wa ccm bado hakipo
 
attachment.php



huu mchezo unaitwa bondola. ni mchezo mbaya sana, hasa kama mtu aliye nyuma yako anatabia za kikuda, anaweza kukupiga teke.

Mkuu njiwa, zomba, Ngongoseke, jamaa zake mohamed Mtoi, ambao mwenyewe anasema Chadema inawaunganisha kupambana na haki zao.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio mwenye akili waislam wote kwako ni wapuuzi hawajaenda shule, sasa mtu ambaye mpuuzi mjinga ajasoma unaangaikanae wa nini jikusanyeni nyie waelevu mliosoma fanyanyeni hayo mabadiliko yenu waislam wapuuzi na wajinga waacheni tatizo lipo wapi mkuu.


Ritz hata nawashangaa hawa jamaa waislam wajinga,wapuuzi,hawajaenda shule,wamesoma madrasa tu,sasa mnatoka povu la nini na watu kama hao? Nyinyi wasomi mnaojua kuvaa suti kwanini msihamasishane wenyewe mkawaacha waislam na ujinga wao? Au mnakhofia kura hazitatosha?
 


Mkuu njiwa, zomba, ngongaseke, jamaa zake mohamed Mtoi, ambao mwenyewe anasema Chadema inawaunganisha kupambana na haki zao.

jamaa hajajitambua anaweka siasa mbele na imani yake nyuma .. na kujiita sio muislam wa siasa kali! .. May Allah guide him to the right path EnchaAllah!

 
"Dr Slaa aliacha upadri kwa hiari hakushinikizwa, kufukuzwa wa kuliibia kanisa pesa yeyote" cardinal pengo
- sasa ww nani unaetuletea utumbo huu hapa

kwanini aliacha! .. kutakuwa na jambo tu! hawezakani from no where .. think!
 
Ritz hata nawashangaa hawa jamaa waislam wajinga,wapuuzi,hawajaenda shule,wamesoma madrasa tu,sasa mnatoka povu la nini na watu kama hao? Nyinyi wasomi mnaojua kuvaa suti kwanini msihamasishane wenyewe mkawaacha waislam na ujinga wao? Au mnakhofia kura hazitatosha?

Mkuu wangu Ngongoseke,

Hata mie nashangaa hivi kweli mpuuzi, mjinga, hajasoma, mpumbavu, anaweza kweli kukwamisha kwenye mambo yako, mkuu hujui wakati mwingine huwa nafanya makusudi kuwauliza maswali ya mitego hawa Pro-Chadema JF lakini cha kushangaza wanakuja na majibu hayo kama tunavyoyaona.
 
Last edited by a moderator:
Sipendi, na nisingenda kuingia kwa undani zaidi kujadili dini ya mtu.

Mijadala hii kwanza itawafanya mkufuru bila sababu.

Hivyo epukeni uchochezi kati yenu, yaacheni mambo ya imani za watu, kila mtu anafahamu anavyo sadiki na kumuomba mola wake.

Wengine kama mimi natembea na msalaba shingoni kutwa nzima kwangu naona haki, na watanzania wenzangu waislamu nao wananjia zao kutimiza ibada zao ambazo ni haki kwao.

Enyi wanawatanzania ccm imewachomekea dhana ya udini epukeni marumbano baina yenu muitafute haki kwa adui yenu ccm aliekwama kila kona, elimu - duni, afya - duni, miundombinu - duni nk.

Tujadili kwa undani umaskini wetu, na nini kifanyike kuwaokoa watoto wetu na vizazi vijavyo kutokana na umaskini huu, nachukia sana dhana hii ya udini ilipandwa na kumea vilivyo lakini tunapojadiliana kuhusu dini na imani zetu tuepuke kukufuru.

Kumbukeni tunaunganishwa na utanzania wetu kama taifa na sio ukristo ama uislamu. narudia katika kujadili dini kuweni makini msitoe kashifa walakukufuru.
 
"Dr Slaa aliacha upadri kwa hiari hakushinikizwa, kufukuzwa wa kuliibia kanisa pesa yeyote" cardinal pengo
- sasa ww nani unaetuletea utumbo huu hapa

Mkuu hivi inaingia akilini padri aache upadri wake bila sababu za msingi?
 
waislam hawakufanya maandamano ili kuthibitisha au kukanisha jambo lolote, wala hawakufanyagivyo ili wapewe pongezi na yeyote yule.
Wanadai haki yao kikatiba, wenzao wamekamatwa na kuzuiwa polisi tena bila kupewa dhamana, hayo ndo madai ya waislamu.
Hawahitaji pole, pongezi wala asante ya yeyote yule, wanachodai sikuzote ni dhulma na ukandamizaji wanaofanyiwa ufike mwisho.
 
Mdau naona unadhani CHADEMA ni chama cha maandamano!
Jambo hili si sahihi hata kidogo.
 
waislam hawakufanya maandamano ili kuthibitisha au kukanisha jambo lolote, wala hawakufanyagivyo ili wapewe pongezi na yeyote yule.
Wanadai haki yao kikatiba, wenzao wamekamatwa na kuzuiwa polisi tena bila kupewa dhamana, hayo ndo madai ya waislamu.
Hawahitaji pole, pongezi wala asante ya yeyote yule, wanachodai sikuzote ni dhulma na ukandamizaji wanaofanyiwa ufike mwisho.

Ni vizuri pia huyu MBUFYA akajua ya kuwa tafsiri ya neno "Uislam,Islam,As'salaam"..ni amani. Hivyo usishangae Waislam kufanya maandamano bila kusababisha vurugu. Ni kitu kigumu kwa Chadema lakini kwa waislam sio tatizo hata kidogo. Maandamano makubwa kama yale yangefanywa na Chadema wangemwaga tu damu na kuua angalau mtu mmoja kwa makusudi ili wapate cha kusema majukwaani.
 
Mkuu adolay,
Wewe ni Mkiristo mie ni Muislam siku zote tujadiliana kwa nidhamu bila kejeli za kidini wala dharau mpaka mmoja atapochoka na munakasha anaondoka zake kwa amani.

Mkuu lakini leo naona umeshindwa kuwa fair kwenye bandiko lako kwa kwa kejeli na matusi ya Chadema wenzako na lawama umewatupia CCM.

Mkuu sidhani kama kuna chama cha siasa ambacho kinaweza kufanikiwa kuchukuwa nchi kikitegemea wafuasi wa dini moja, tujenge heshima kwenye imani zetu hakuna mbora zaidi ya mwingine, takuambia kitu kimoja wananchi wakiungana kwa pamoja ndio wanaweza kuibana serikali, lakini jamaa zako wanashindwa kuelewa kejeli na dharau dhidi ya Waislam wanazidi kumualibia Dr Slaa na Chadema mbele ya jamii ya Kiislam.

Kama tutaendelea hivi tusahau kuitoa CCM madarakani.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom